Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP) 2022

Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP) 2022

Wale wa Arusha Vs Mwanza jibu limepatikana hapa kazi iendelee akina inshomile jitahidini basi huko chini hakuendani na hadhi yenu bwana
Au watag kabisa
 
Au watag kabisa
😂😂😂😂😂Uzi wenyewe umekaa kiugomvi ugomvi Kila mtu hataki kubali mkoa wake uwe chini si hata wa njombe wanasema wameonewa!!!!... Ila ndugu zangu akina nshomile kazeni bwana mnapitwaje na wakuna nazi wa Tanga hapo
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzi wenyewe umekaa kiugomvi ugomvi Kila mtu hataki kubali mkoa wake uwe chini si hata wa njombe wanasema wameonewa!!!!... Ila ndugu zangu akina nshomile kazeni bwana mnapitwaje na wakuna nazi wa Tanga hapo
Mnaichukulia poa Tanga? Tanga ni jiji. Ina bandari, kilimo, etc. Tuuheshimu aisee. Ni siasa tu zimeiangusha aisee

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Niko hapa kusoma comments za watafuna MIRUNGI🤣🤣🤣🤣
 
Wachagga wanaofanya biashara wapo mikoani wakinga wengi wafanya biashara wapo dar na kwingineko hizo takwim zipo sahihi kabisa sidhan kama wasukuma wamesambaa sana kama wakinga wachagga
 
Utajiri wa mikoa ya Tanzania kwa kuangalia pato la mkoa mmoja mmoja (Regional GDP)

1. Dar es Salaam - sh 25.2 Trillion
2. Mwanza - sh 10.95 Trillion
3. Mbeya - sh 8.3 Trillion
4. Shinyanga - sh 7.589 Trillion
5. Morogoro - sh 7.1 Trillion
6. Tanga - sh 6.9 Trillion
7. Arusha - sh 6.9 Trillion
8. Geita - sh 6.6 Trillion
9. Kilimanjaro - sh 6.6 Trillion
10. Ruvuma - sh 5.6 Trillion
11. Tabora - sh 5.4 Trillion
12. Mara - sh 5.4 Trillion
13. Manyara - sh 4.97 Trillion
14. Dodoma - sh 4.6 Trillion
15. Iringa - sh 4.6 Trillion
16. Kigoma - sh 4.14 Trillion
17. Mtwara - sh 4 Trillion
18. Kagera - sh 3.78 Trillion
19. Rukwa - sh 3.1 Trillion
20. Pwani - sh 2.98 Trillion
21. Lindi - sh 2.95 Trillion
22. Singida - sh 2.7 Trillion
23. Songwe - sh 2.7 Trillion
24. Njombe - sh 2.6 Trillion
25. Katavi - sh 1.99 Trillion
Meno ya ufuta watakuja kupinga
 
Arusha kelele zote wanapigwa na the likes of Tanga! Sasa zile kelele za Arusha vs Mwanza ziishe.
Na hapa vipi?👇

1643456511815.png
 
😂😂😂😂😂Uzi wenyewe umekaa kiugomvi ugomvi Kila mtu hataki kubali mkoa wake uwe chini si hata wa njombe wanasema wameonewa!!!!... Ila ndugu zangu akina nshomile kazeni bwana mnapitwaje na wakuna nazi wa Tanga hapo
Tanga imeuliwa na nyerere kuua viwanda wadigo nao wakasusa kufanya kazi
 
Kwan leo hiyo Dar tukitoa wachagga na wakinga itakuwaje
Dar ya wahindi na waarabu mpaka wachina hao ulitaja ni wachuuzi sana sio wengi kuliko wachina , waarabu ndio wanaendesha uchumi na jua bila dar hao hamna


Namaanisha hao wengeenda wekeza kwao dar ni dar wao ndio wamenufaika na dar
 
Haya ni mapato ya Halmashauri na sio Uzalishaji wa mkoa mzima
Ndio na mimi nilikuwa najibu hoja yako ya kusema Uzi wa Mwanza vs Arusha ufungwe, kwani ulianzishwa kwa kigezo cha GDP ya Mkoa?

Na mimi nikisema Uzi ufungwe kwa sababu Mwanza Jiji pamoja na kurundika watu wengi mjini lakini wanakusanya pesa kiduchu za Halmashauri na za TRA inapitwa na Arusha.
 
Back
Top Bottom