Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaaaa lol mie mwenyewe nilitoamacho balaaMbona ilo tangazo la voda
kama watu hawajakuzushia ushoga au Uteja, basi Bado haujawa Star'' - BirdMan Paulo Sergio De Souz Money Stunna
Na picha ya wife wake pia usisahauHabari wakuu...
Tumezoea maceleb wengi wa bongo huwa hawafichi utajiri wao au mahusiano yao... Wengi wamekuwa wakifanya show off sana... Wengine hufikia hatua ya kukopa au hata kudanganya watu ilimradi aonekane ana pesa...
Sasa huyu jamaa Millard Ayo amekuwa msiri sana......Yaani mwenyewe anapiga mzigo tu utafkiri sio celeb wa Bongo....huyu jamaa msiri kupita maelezo.
Lakini pia natambua uwepo wa serikali ya wambea hapa nchini yenye wanachama kama warumi , Nifah na wengineo ambao sidhani kama huwa wanapitwa na jambo...
Sasa kuna wanaojua huyu dogo ana utajiri kiasi gani?.. Ikiwezekana picha ya Nyumba yake, gari yake na pia mahusiano yake... Ana date na nani?
Naomba kuwasilisha..
Kk unapoint sana, celeb lazma awe na exposure kwa watu wake, we need to kno wot he is wornin'Watanzania wengi wanakuwa masikini kwa kujifanya much know...Yani mtu anaongea pumba halafu anajiona anaongea point za maana...Sasa bila kujua alichonacho how can I be inspired....Inspiration zinapatikana baada ya kujua mafanikio ya mtu anayekuinspire...
I mean, hayo maneno aliyasema BirdMan, so nimewakoti ili kuwapa infoI never said that, bro. Neither do I buy into.
Usipotoshe, Millard hakuwahi kuishi Kimara wala familia yake haikuwahi kuishi Dar. Millard kaishi Arusha,kasoma arusha mpaka alipopata kazi ya uandishi ndio kaja Dar na kupanga chumba hafifu Keko.Huwezi kuamini kama ndiyo yeye huyu huyu alikuwa akitembeza Mayai kwa miguu kutoka kwao Kimara hadi hapo Ubungo karibia na Maji kwa akina Mama Siku huku chini kavaa ndala tu. Ndiyo maana huwa tunasema humu kuwa TUSIDHARAURIANE kwani maisha HUBADILIKA muda na wakati wowote.
Millard Ayo mdogo wangu najua watasema mengi na wameshasema mengi juu yako ila sisi tunaokujua TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI na nina hamu sana Vijana wenzio wajifunze kutoka ulipopitia. Nakutabiria makubwa zaidi mazuri na Mwenyezi Mungu akupiganie. Achana na Waswahili " vijino pembe ".
I mean, hayo maneno aliyasema BirdMan, so nimewakoti ili kuwapa info
Mkuu watu wa hivo kwa kuchepuka ndo balaa mambo yao kimya kimya.. By the way I appreciate him thoHuyu kijana kwa kumuangalia tu anaonekana ni mtu poa,mwenye heshima, mnyenyekevu na ni mchapakazi.na ana focus na kazi.na pia kama sio mtu wa kuchepuka na anajua kum treat mwanamke
Usipotoshe, Millard hakuwahi kuishi Kimara wala familia yake haikuwahi kuishi Dar. Millard kaishi Arusha,kasoma arusha mpaka alipopata kazi ya uandishi ndio kaja Dar na kupanga chumba hafifu Keko.
Hizo stori za kutembeza mayai usimsingizie.
Watanzania wengi wanakuwa masikini kwa kujifanya much know...Yani mtu anaongea pumba halafu anajiona anaongea point za maana...Sasa bila kujua alichonacho how can I be inspired....Inspiration zinapatikana baada ya kujua mafanikio ya mtu anayekuinspire...