Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
Huyu jamaa namfahamu alikuwa anakaa pale Msewe.
Kwa kweli jamaa ni mtulivu, hanywi pombe wala sio wa kujichanganya kwenye vijiwe vya wahuni.
Kizuri zaidi hata hela anayopata anatumia kwa ajili ya asset na si liability kama sisi, ukipata kampunga kidogo unavuta kausafiri kajuu kidogo.
Akimaanisha hilo, hata gari (liability) aliyokuwa anatembelea ilikuwa ya kawaida sana sana ila sitaitaja.
Ila jamaa kama walivyobinadamu wengine ana udhaifu, kwa vile huo udhaifu wake binadamu wengi tunao, sitautaja. Ila jamaa amejua kuucontrol kiasi haukuweza/kuathiri kazi yake.
Ukiniuliza nitaje vijana (maarufu) watano ambao ni mfano wa kuigwa yaani wanaojituma na kutumia akili zao ipasavyo, nitaweka list yao hivi;
1. Millard 2. Loading 3. Loading 4. Loading 5. Failed
Kwa kweli jamaa ni mtulivu, hanywi pombe wala sio wa kujichanganya kwenye vijiwe vya wahuni.
Kizuri zaidi hata hela anayopata anatumia kwa ajili ya asset na si liability kama sisi, ukipata kampunga kidogo unavuta kausafiri kajuu kidogo.
Akimaanisha hilo, hata gari (liability) aliyokuwa anatembelea ilikuwa ya kawaida sana sana ila sitaitaja.
Ila jamaa kama walivyobinadamu wengine ana udhaifu, kwa vile huo udhaifu wake binadamu wengi tunao, sitautaja. Ila jamaa amejua kuucontrol kiasi haukuweza/kuathiri kazi yake.
Ukiniuliza nitaje vijana (maarufu) watano ambao ni mfano wa kuigwa yaani wanaojituma na kutumia akili zao ipasavyo, nitaweka list yao hivi;
1. Millard 2. Loading 3. Loading 4. Loading 5. Failed