Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Wazee wa machimbo ya ndumba tupeanae hizo data asee, au mnakula wenyew tuu[emoji26][emoji26]
 
Sana bro make hata mimi mpaka kuja kujua nilipata shida mno
 
Ramani iko hivi anayeweza kwenda alete mrejesho asikae kmy unaptia boda ya tunduma pale songwe unakata passport ya kuingia zambia nda unavuka unaulizia gar za nkondo ulumba unapanda naul haizid ef 30 ukikosa panda Express ya buku mpk mizani shuka chkua boda mueleze unaenda kwa nkondo ulumba atakuelewa utashushwa karb na boda ya congo na zambia utakata passport tena utavuka ad sehem inaitwa mwange nenda apo kwny kijiji mzee nkondo ulumba anafahamika sana ukienda uwez potea zaidi ya hapo pitia boda ya kabwe kutoka majimoto utavuka kwa maji unavuka unatokea moba congo unaelzia ferri za nkondo ulum
 
Huo utajiri masharti yake yasinizuie kugonga, kunishinikiza kuua mzazi ama kupata watoto, kutembelea gari na kupendeza hapo sawa!
Wewe sio tajiri material.
Ugonge
Usiue mzazi
Upate watoto
Utembelee gari?
Kumbuka wanakujaga na masharti mengine ya kimafumbo.
Anaweza akakuambia panda mgomba halafu mkungu wa kwanza niletee. Kumbe mkungu Ni mwanao wa kwanza.
Lazima damu imwagike ndio shetani aachie pesa. Unafikiri shetani anakula Nini Kama sio damu?
 
Shetani anakula nafsi hai iliyopo kwenye damu. Damu ni uhai ndio maana Mungu alikataza watu kula nyama na kisusio.
 
Nenda kimara Kwa mchungaji kiongozi acha hivi vitu.
 
Wewe umekwenda?
 
ASANTE KWA TAARIFA
 

Kwaiyo unatushauri nn sis tunaotaka kuzama huko,
 
Mrejesho unamagari mangapi?
 
Huu uzi umefika mwisho!!
Nina kesi nzito sana, kuna mtu kanizulumu na polisi ananiletea, Tafadhali nahitaji huduma
Uchawi upo hata vitabu hivo mnavoamini vitakatifu vimeongelea, hata huko Marekani waliooenda shule vizuri bado wana hizi mambo
 
Mbona nasikia ngene IPO msituni
 
Huu uzi umefika mwisho!!
Nina kesi nzito sana, kuna mtu kanizulumu na polisi ananiletea, Tafadhali nahitaji huduma
Uchawi upo hata vitabu hivo mnavoamini vitakatifu vimeongelea, hata huko Marekani waliooenda shule vizuri bado wana hizi mambo
Njoo pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…