Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Mkuu hz mambo Ni za kweli nilianza harakat za waganga tangu Niko primary school nilichoka na maisha ya geti nilitamani maisha yangu binafsi ya kiuchumi na kila nilipoenda kwa mtaalamu umri ulikuwa mdogo na walishangaa saana

Shule sikuipa nafas na nilisoma sababu TU ya mazingira ya home na nikapata vyet vizuri na taaluma Zaid ya moja lakini si pesa nayopata ndio ninayo hitaji

Nishazunguka kwa waganga Hadi Malawi changamoto kubwa nijitoe kafara au nitoe mtu hapo ndio naposhindwa nimeshafika mpaka mlango wa kuzimu yote Ni sababu ya pesa kwa umri nilio kuwa nao nishazunguka saana katika vilinge vya uganga

Mkuu hz mambo Ni za kweli nilianza harakat za waganga tangu Niko primary school nilichoka na maisha ya geti nilitamani maisha yangu binafsi ya kiuchumi na kila nilipoenda kwa mtaalamu umri ulikuwa mdogo na walishangaa saana

Shule sikuipa nafas na nilisoma sababu TU ya mazingira ya home na nikapata vyet vizuri na taaluma Zaid ya moja lakini si pesa nayopata ndio ninayo hitaji

Nishazunguka kwa waganga Hadi Malawi changamoto kubwa nijitoe kafara au nitoe mtu hapo ndio naposhindwa nimeshafika mpaka mlango wa kuzimu yote Ni sababu ya pesa kwa umri nilio kuwa nao nishazunguka saana katika vilinge vya uganga

Nakubaliana na wewe asilimia 100 ,shetani yupo, utajiri wa njia za kishirikina upo, makafara yapo, uchawi upo, nguvu za giza zipo. Ila ninacho kiamini sio rahisi kama mleta mada ambavyo amezungumzia kwenye hii thread.
Ingekuwa ni rahisi hivyo leo wewe ungekuwa na magorofa na unasukuma bmw x6 au unatembelea range rover discovery.

Kama nachozungumza ni uongo wewe sii unasema masharti magumu ya kafara yalikushinda haya nenda kwa mtoa mada akupeleke kwenye hayo masharti marahisi ya kupeleka shilingi 10 kila mwaka, halafu uje ulete mrejesho hapa
 
Tumegundua wewe ni kanjanja unatumia ID mbili tofauti kufanya utapeli humu.

Mwanzoni ulikuja na uzi wa kuabudu mashetani na majeneza ili upate utajiri.

Leo umekuja na ID nyingine ya Sandali Ali unataka kuwapumbaza watu ili wakufuate ukawatapeli.

Mchawi mjinga sana wewe!

Moderator unganisha ID za huyu mchawi kanjanja.

Maxence Melo

This female witch is playing a very dangerous game of luring people. He is a fraud and a thief.
Msirumbane huu uzi tunapeane machimbo ya utajir wa fasta ,utajir wa kujitoa kafara au kutoa kafara
 
Mchepuko wangu nini shida ? Naona umemaindi kweli, hizi tuhuma sababu ni muhogo sijakupa mpenzi? Au kuna kingine
Naona umelegea kwa sababu nimepasua jipu.

Sasa subiri wahusika waje wakukamue vizuri.

This is not a forum for witches and thieves.

Hutaki kufanya kazi unataka mtelezo wa kutapeli watu kwa ujanja ujanja.

Sasa subiri tukubinye hayo matako.

Moderator and Maxence Melo...... please examine these two ID's together with their details and merge them or BAN this illeterate witch forever.

Leo niko na wewe hapa mpaka nihakikishe umeshughulikiwa to the full effect.

Hatuwezi ku entertain WACHAWI na majizi humu.
 
Nakubaliana na wewe asilimia 100 ,shetani yupo, utajiri wa njia za kishirikina upo, makafara yapo, uchawi upo, nguvu za giza zipo. Ila ninacho kiamini sio rahisi kama mleta mada ambavyo amezungumzia kwenye hii thread.
Ingekuwa ni rahisi hivyo leo wewe ungekuwa na magorofa na unasukuma bmw x6 au unatembelea range rover discovery.

Kama nachozungumza ni uongo wewe sii unasema masharti magumu ya kafara yalikushinda haya nenda kwa mtoa mada akupeleke kwenye hayo masharti marahisi ya kupeleka shilingi 10 kila mwaka, halafu uje ulete mrejesho hapa
Hiv vitu viko katika category nying saana na hiz level za utajir zinatofautiana kabisaaaa lakin level kubwa kabisaaaa Ni "DAMU na KULAWITI" Basi hzo ndio kubwa kuliko damu unaweza ukaua au kumuweka mtu ndondocha akawa anatema udenda tu au ukamfanya mtoto wako hanisi asiweze kusimamisha kabisa na kumfanya kuwa msimamiz wa Mali zako zote

NB: ogepeni saana kuacha hovyo mbegu zenu za kiume katika mahotel na magest mtakuja kunishukuru baadae
 
Machimbo gan tena mkuu na unayo kama yote sema hujaweza masharti, kifup hakuna utajiri wa kichawi usio na kafara ya damu, inaweza kua mwanzon au mwishon wakat utajiri umekukolea.
Yako meng tu bariad huko nikija tanga,kigoma,mbeya njombe ,shinyanga hapo,tukivuka boda congo hapo sio mbali Sana ukitokea boda upande wa tunduma
 
Dah nimeshtuka hio.ya kuacha mbegu gest, sisi wanaume na hii michepuko yetu kama huyo anayenituhumu hapo juu, tunazunguka sana huko magesti nao sasa dah kumbe ni hatari hivi
Sasa unamuachia mtu uhai wako na maisha yako halisi kwanini watu wasiendelee kuwa matajiri tu
 
Dah somo zur sana hili , au wanawake wengine wanapangusa shahawa zako kwa kutumia kanga yake halafu anaondoka na kanga yake, wewe unaona ni mapenzi kumbe ndio imetoka hio, unakuta wanacheza dili na matajiri
Tena hyo ogopa Sana aiseee akiamua kukufanyia unyankuz hata mashine haisimami kabisaa yaaani labda kwake TU na akikupiga limbwata lake huchomoi lazima likupate
 
Haha fools! Mimi na pesa zangu unanipangia pa kula, gari la kununua, hivi una akili kweli wewe? Hata tukiondoa ishu ya masharti hapa, kweli unampangia matumizi ya pesa zake, una question kama nani, hua mnahangaika nini kutaka kujua kwanini flan anakula kwa mama ntilie na pesa zake nyingi, kwanin anatumia ust badala ya harrier, you must be a fool kwakweli.

Idiot ana akili kidogo, a fool hana akili kabisa ni zezeta...mmekaa mnataka kuwapangia watu namna ya kutumia pesa zao, huo ni upumbavu..mmekaa kabisa vijiweni mnaanza kujiuliza flan ni tajiri lakin anakula kwa mama ntilie kwanini, fools x 100 !!
You are both a consumate idiot and a fool all rolled in a miserable being.
 
Sawa, ila humu bongo tunanafikiana tu sio kila mtu anaweza kutoa connection, hatupendani, na tuna roho za kwanini, kwanini flan awe tajiri na mimi niendelee kua maskini, japo mimi maskini nina connection za uhakika, lakini kukupa wewe ufanikiwe sitaki, ndio mana tutaendelea kuwashangaa waarabu na wahindi wakiendelea kua matajiri wa kutupwa tena nchini mwetu, ila sisi waafrika kila mtu atapambana na hali yake , akitokea mtu wa kukupa connection bila kinyongo mshukuru sana na muweke karibu, haya ndio niliyojifunza katika safari yangu ya kuusaka utajiri wa nguvu za giza.
Ndio hvyo mzee baba ghafra ghafra tu mtu kukupa connection Ni issue mm nilipambana tangu huko chini japo sijafanikiwa kihvyo ila mjini pesa za kujenga na matumiz kidogo hazipig chenga ukipita sehemu flani kapita Sasa hiv tunaish hvyo
 
Idiot ana akili kidogo, a fool hana akili kabisa ni zezeta...mmekaa mnataka kuwapangia watu namna ya kutumia pesa zao, huo ni upumbavu..mmekaa kabisa vijiweni mnaanza kujiuliza flan ni tajiri lakin anakula kwa mama ntilie kwanini, fools x 100 !!
An idiot is someone who lacks intelligence.
 
Mjinga tu ndio ataamini hayo uliyoeleza hapo juu, Mbona hamna ndagu za kilimo? Nipande leo na kuvuna leo leo.
Kitu kama hujawahi kuki experience usidhani hakipo.

Muulizie bibi fisi (RIP) maajabu yake yalikuwa kama hayo.

Kuna kipindi mpaka baba wa Taifa alienda kwake ili akunjue roho jambo flani la kitaifa lifanyike katika eneo lake
 
Haina haja ya kulumbana. Kale kwa mama ntilie na utajiri wako.
Mwisho uta question kwa nini mtu akae first class kwenye ndege wakati safari ni hiyo hiyo. Kwa nini mtu anunue Harrier wakati hata IST itafanya safari hizo hizo. Kwa nini mtu alale Hotel kama Kampeski badala ya Guest House wakati usingizi ni huo huo. Ndiyo small mentality yako.
Kwa kweli mkuu uelewa wako uko tofauti sana!!

Haya labda nikuulize, na kwanini ununue gari na sio kwenda kwa miguu?

Ukipata majibu utaelewa tofauti ya IST na V8 wakati zote ni gari
 
Mkuu naomba unikutanishe na huyo mganga wa kumpelekea shilling 100 kiangazi hiyo haiwezi kunishinda nitamtumia hata kwa Mpesa



au unamlipa in advance miaka kadhaa mbele ijayo huko...aanabaki hata hakudai ww unakuwa unakula maisha tu
 
Kuna nyingine hio Kuna watu wanamhisi anayo jamaa flan hv ni kwamba akikukopesha kitu(fedha) huwezi kurudisha bond ni nyumba tu....kwa hio jamaa ni tajiri kupitia hio michezo ukifeli kurudisha hela anachukua nyumba
Yupo uyo jamaa lindi, manunguniko ya wati alipata ajali mbaya akapata stroke
 
Kwa kweli mkuu uelewa wako uko tofauti sana!!

Haya labda nikuulize, na kwanini ununue gari na sio kwenda kwa miguu?

Ukipata majibu utaelewa tofauti ya IST na V8 wakati zote ni gari
Tatizo hujafuatilia hoja ilikoanzia. Huwezi kupata dhana nzima na maana ya kulinganisha ukianzia somewhere katikati.
After all imepoteza connection na topic yenyewe ya mleya maada.
 
Back
Top Bottom