Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,043
Kwa wajinga labdaNot everything is for everyone..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wajinga labdaNot everything is for everyone..
Hi Mara nying Hawa wanao kopesha kwa riba mtaani yaani ukianza nao TU utakuwa mtu wa hvyo hvyo kwao yaaani Kuna jamaaa Yuko kitaa flan nae zake Ni nyumba TU humaliz deni ana nyumba kibao mjini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna nyingine hio Kuna watu wanamhisi anayo jamaa flan hv ni kwamba akikukopesha kitu(fedha) huwezi kurudisha bond ni nyumba tu....kwa hio jamaa ni tajiri kupitia hio michezo ukifeli kurudisha hela anachukua nyumba
Sijasema hivyo. Lakini ukweli ni sehemu duni kwa wenye kipato kidogo. Haitarajiwi tajiri ale huko kila siku iendayo kwa MunguMama ntilie sio binadamu kwamba hafai ule kwake?
Hayo Ni maagano nilishapelekwa sehemu nikawekwa kwenye kigoda ndani ya pango saa nane usiku alipita chui nikastahimili,akapita cobra black mamba nikastahimili hatua mwisho only nilishindwa my son kumpeleka kwa ngai hapana aiseee wacha TU nibaki hiv hviShida sio hayo masharti kufuata ila hawa wataalamu wana tabia za kukusahaulisha ili ufeli na madude yake yapate sababu ya kukufilisi
Yaani wee jamaa kwa akili hizo wazazi wako bora wangezaa tu kigoda wakalie. Shida sii kuwa mlokole au kuamini waganga kila mmoja na maamuzi yake.Hata wewe na wenzako walokole ni wajinga, mnaabudu na kupiga mayowe ovyo kwa kitu ambacho hamkioni, nyie mkiendelea kua maskini na kuwatajirisha manabii wenu na wachungaji
Kwa hyo hakuna utajiri wa uchawi ?...Unajua mimi kwa ''ujinga'' wangu nilikuwa sidhani kama kuna binadamu tena kijana aliyesoma anaweza kuamini hayo mambo ya ''ngende'' na utajiri. Kumbe hata meseji za kitapeli zinazotumwa kwenye simu huwa zinapata ''mabwege'' wa kuliwa. Hata huyu mwanzisha thread anatafuta bwege wa kumliza na huenda kabisa akapata wengi. Kweli dunia ni mzunguko.
Haina haja ya kulumbana. Kale kwa mama ntilie na utajiri wako.Hujajibu swali, kuna shida gani na utajiri wangu kula kwa mama ntilie ? Kwani chakula chao kina sumu? Kwani unaangalia uduni wa sehem au kupata hitaji la chakula ushibe uondoke, hizi mindset za kipuuzi mlizojiwekea waafrika hua nazishangaa sana, tena kwa matajiri, kwani ni lazima tajiri ale hotel ya nyota tano..hata kama ni masharti, kila jambo lina taratibu zake na lazima zifuatwe, lakini sioni sababu yoyote katika uhalisia kwanini mwenye pesa asile kwa mama ntilie.
Kuna masharti mengine au hilo la kugegeda tu?? Sasa unashindwaje?? Bora tu anavyokukataa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sio mbali Kuna mwana mmoja asaiv ana vyuma hatarii alikula kiapo yeye na mkewe hakuna kuchepuka akitaka mwanamke lazima afunge nae ndoa Kwanza ndio amgegede.
Jamaa alikuwa Hana vyuma nikampeleka Hilo chimbo alivyofanikiwa kanikataa kabisa yaaani kisa mm sijataka huo utajiri habar ya kupangiana kugegeda sitak kusikia kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio mbali Sana nikupita mto wami TU kwa mbele
Kiuchumi kwa ukoje? Na ulipewa mashart gan?Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.
Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,
Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
Umpeleke ili awe kafara?? Hapo hapana aiseeHayo Ni maagano nilishapelekwa sehemu nikawekwa kwenye kigoda ndani ya pango saa nane usiku alipita chui nikastahimili,akapita cobra black mamba nikastahimili hatua mwisho only nilishindwa my son kumpeleka kwa ngai hapana aiseee wacha TU nibaki hiv hvi
Mkuu hz mambo Ni za kweli nilianza harakat za waganga tangu Niko primary school nilichoka na maisha ya geti nilitamani maisha yangu binafsi ya kiuchumi na kila nilipoenda kwa mtaalamu umri ulikuwa mdogo na walishangaa saanaYaani wee jamaa kwa akili hizo wazazi wako bora wangezaa tu kigoda wakalie. Shida sii kuwa mlokole au kuamini waganga kila mmoja na maamuzi yake.
Ila ninacho kimaanisha kwa mganga yupi utaenda akupe utajiri wa mabilioni halafu malipo yake yawe kupeleka sindano au shilingi 100 kila mwaka.
Wabongo wengi ni wajinga usikute wewe ni jitu zima na mindevu imekujaa unaamini huo upuuzi.
Hii Ni hatua ya awali huko mbeleni ndio utajua vizuri huwa changamoto inapokuja Mali zikishaanza kukubali na umenawili na una jina ndio utaelewa somo vizuriKuna masharti mengine au hilo la kugegeda tu?? Sasa unashindwaje?? Bora tu anavyokukataa
YaaaapUmpeleke ili awe kafara?? Hapo hapana aisee
Bora tu ulivyokataa aiseeYaaaap
HahahaaaaHii Ni hatua ya awali huko mbeleni ndio utajua vizuri huwa changamoto inapokuja Mali zikishaanza kukubali na umenawili na una jina ndio utaelewa somo vizuri
Usione mtu katajirka ghafla ghafla tu ukajua rahisi Aiseeee Kuna meng nyuma ya paziaBora tu ulivyokataa aisee
Kiasi chochote unachohitaji Ila kurudisha huweziAnakopesha kiasi chochote ? Au ana limit!
Kabisa mkuu....!!Yani unaweza kukopa ata kiasi cha fedha unachoweza kukilipa lkn baada ya hapo huwezi kurudisha io fedha....jamaa ni tajiri wa nyumba maana bond yake ni nyumbaHi Mara nying Hawa wanao kopesha kwa riba mtaani yaani ukianza nao TU utakuwa mtu wa hvyo hvyo kwao yaaani Kuna jamaaa Yuko kitaa flan nae zake Ni nyumba TU humaliz deni ana nyumba kibao mjini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]