Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du. Yaani wewe unataka kusema watu watapeliwe tu kwa sababu haimhusu? Wewe huwa unaona raha watu wengine wakiibiwa kwa sababu tu haikuhusu? Kila mwanadamu angekuwa na ubinafsi namna hii dunia ingekalika? Ni jukumu la kila mmoja wetu kuzuia uhalifu wa aina yoyote na utapeli ukiwemo. Huu ujinga wa kusema kuna mtu atakufanyia dawa uwe tajiri ni wa kizamani sana japokuwa bado kuna wajinga wanaliwa. Aliyeanzisha thread ni mwongo na anayoelezea siyo kweli na pengine lengo lake ni kutapeli watu hapa. Anataka aulizwe alipo huyo mganga ili aelekeze hao wajinga kwa huyo mganga tapeli amabye anaweza kuwa ndugu au rafiki yake. Mnakolalia ndiko tulikoamkia.Kwani wengine wakitapeliwa wewe inakuuma nini, unaumia vipi na pesa za watu wengine ..kuna utafiti wangu hua nimeufanya kua ukiona sehem mtu anaipinga kwa maneno makali na shutuma nzito zisizo na ushahidi basi ujue ndio sehem sahihi na watu weng waliofanikiwa japo sio wote waliopitia sehem husika hua wabinafsi na selfish hua wana mawazo ya kwamba wote tukiwa matajiri nani sasa watatupigia magoti kutuomba hela hela za vocha na kuwafanya vibarua..? Ndio mana kuna sehem zikitajwa ama mtu akitafuta sehem hizo watakupinga kwa nguvu zote wengine hujifanya hata wameokoka na walokole alimradi tu wakutoe kwenye ramani yao ya siri..
Utakuwa ni utopolo...mi nikipata pesa mingi kabla hata ya kujenga cha kwanza namtafuta paula kajala fasta..Huo utajiri masharti yake yasinizuie kugonga, kunishinikiza kuua mzazi ama kupata watoto, kutembelea gari na kupendeza hapo sawa!
Acha porojo..leta nondo hapa jamviniBaki hivyo hivyo na wala usitake kujua, mana you are not qualified to know sababu hauhusiki
Natengua shilingi mkuu nimeteleza tuFool! Utawaitaje wapumbavu na hizo ni imani kama nyingine, ifike mahali tuheshimiane katika mipaka kwenye imani, hata nyie walokole ni wapumbavu basi, na wewe nikuita mpumbavu unaenda kanisani kuomba omba na kuwachangia wachungaji na maaskofu wawe matajiri wewe ukibaki fukara, ntakosea kukuita mpumbavu..
Akina lwanda magere nilimchallenge kwenye uzi wake akakimbilia kwa dogo davista sijui, hakuna chochote mnachojua, hayo uliyosema ni nadharia tu mana mnasikia kwenye stori za akina magere na youtube huko
Nadhani huwa wanaanza na simple Ili utamu kolea.Hela ya shetani haiendi bure ni lzm utaiuza tu nafsi yakoHayo masharti ni simple sana.kama unachemka kwa masharti simple Kama haya,Basi ww ni mzembe kupindukia.yapo masharti ukiambiwa,unamwambia mganga akupe muda ukatafakari,hata yy anakwambia Rudi kwanza halafu ukishaamua njoo tuendelee.
Watu 100 wasiofanana hawawezi kuwa wrongFool! Utawaitaje wapumbavu na hizo ni imani kama nyingine, ifike mahali tuheshimiane katika mipaka kwenye imani, hata nyie walokole ni wapumbavu basi, na wewe nikuita mpumbavu unaenda kanisani kuomba omba na kuwachangia wachungaji na maaskofu wawe matajiri wewe ukibaki fukara, ntakosea kukuita mpumbavu..
Akina lwanda magere nilimchallenge kwenye uzi wake akakimbilia kwa dogo davista sijui, hakuna chochote mnachojua, hayo uliyosema ni nadharia tu mana mnasikia kwenye stori za akina magere na youtube huko
Duh! Watu mnatoka mbaliii!!!Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.
Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,
Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
Haya chukua sharti rahisi kabisa......unaweza kumu amber rutty mama yako ?? Kama jibu no NDIO SEMA SUUUUUUUUUUUUUUUUU......ukishindwa ondoka kimya kimya..........lingine ni kwamba Kira ukiliwa nyuma unapata pesa mpaka watu wanakuogopa......yaani kupata kwako pesa wewe ni kupewa mjengo Tu......lakini anayekupa umuoni unaisikia iko Tu ndani.....je uko tayar??Bado nasaka ajira kwa miaka 5 sasa na GPA yangu yangu ya 4.2, na bado NO JOB hadi sasa. Huko kujiajiri wanakopigapiga kelele nako nimejaribu but wapi!Sasa nimeamua kujiajiri kwenye utapeli,nimeanza na ndugu na baada ya kupata uzoefu wa kutosha sasa natapeli kila mtu,hadi wagonjwa mahututi.Huku si kutafuta laana kweli?
Hatia iliyonijaa moyoni inaniambia niachane na udhulmati na ukanjanja wote.Sasa nifanye kipi kingine kama si kwenda huko Ngende?Hivyo visharti vidooogo wanavyotoa vitanishinda kweli na huu msoto niliokwisha pitia.Sharti pekee ambalo siwezi kulikubali ni la kugeuzwa James Delicious, ila mengine yote (hata kulala makaburini in the midnight naweza).
Nipeni ramani ya kufika huko.
Kwa Mungu kuna uhakika japo uchelewa lakini ni salama zaidi ukifika wakati utosumbuka utashangaa KILA ugusacho tikiKatika kila jambo muweke Mungu mbele. Mwenyezi Mungu ndiye muweza wa kila jambo.
Utajiri wa mateso.Hakuna kitu kizuri kama familia kufaidi nayo matundaHaya chukua sharti rahisi kabisa......unaweza kumu amber rutty mama yako ?? Kama jibu no NDIO SEMA SUUUUUUUUUUUUUUUUU......ukishindwa ondoka kimya kimya..........lingine ni kwamba Kira ukiliwa nyuma unapata pesa mpaka watu wanakuogopa......yaani kupata kwako pesa wewe ni kupewa mjengo Tu......lakini anayekupa umuoni unaisikia iko Tu ndani.....je uko tayar??
Fool ni wewe unayejaribu kudanganya watu hapa kuwa kuna utajiri wa dawa. Tena idiot mkubwa. Ondoa upumbavu wako hapa na usidhani watu ni wajinga kama wewe. Umezoea kuishi kwa kulamba vidonda kama nzi badala ya kufanya kazi. Kwenda kafanye kazi na usilete imani zako za kijijini hapa.Fools! Kwanini mseme jambo halina evidence / ushahidi, elimu zenu zinawasaidia nini, kama shutuma hazina evidence ni zinabaki shutuma tu, na zaidi ni kua pesa au jasho la mtu mwingine wewe unahusikaje hapo, kama mtu ameamua kwenda ni yeye, msiwe tu mnachukua maneno juu juu tu, jiridhishe, kupotea ndio kujua njia sahihi, fools!
Hahahahah unauza nae utu kwanzaUtakuwa ni utopolo...mi nikipata pesa mingi kabla hata ya kujenga cha kwanza namtafuta paula kajala fasta..
Hilo jambo halipo...hayo ni viini macho tu.Jambo usilolijua litakusumbua!
Jambo nisilojua?? Uchawi wa kumfanya mtu awe tajiri? Du... nasema tena nenda kwa wajinga wenzako mkaongozane lakini siyo hapa. Hapa utaambiwa ukweli tu.Hahhaha unateseka ukiwa wapi, nakuacha na upumbavu wako, jambo usilolijua litakusumbua.
ndio mkuu...kazi ya pesa ni starehe na kula tu...Hahahahah unauza nae utu kwanza
Wewe nadhani utashindwa kabla ya kufika home kwako.Mkuu naomba unikutanishe na huyo mganga wa kumpelekea shilling 100 kiangazi hiyo haiwezi kunishinda nitamtumia hata kwa Mpesa