APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 5,316
- 9,596
Sandali Ali we wamekupa sharti gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe rafiki yetu upo!🤗🤗🤗Abeeeee
yes nipo kabisa Mungu mwemaKumbe rafiki yetu upo!🤗🤗🤗
Yaani had wewe ulobahatika kwenda shule ulienda?? Aisee.Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.
Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,
Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
Bwana Yesu asifiweyes nipo kabisa Mungu mwema
amina mkuu Bwana Yesu asifiwe sana.Bwana Yesu asifiwe
So ukipata zaidi uwe unapunguzia wengine Mana wewe umeomba gari ndogo na vyumba viwili mkuu. Wa kiume watakuwa wanalala sebuleniUtajiri wa Ngende siutaki kwakweli labda utajiri wa kibongo wa vyumba viwili na gari ndogo unatosha.
So ukipata zaidi uwe unapunguzia wengine Mana wewe umeomba gari ndogo na vyumba viwili mkuu. Wa kiume watakuwa wanalala sebuleni
Bahati yako ulitapeliwa pesa tu ungefirw* fanyeni kazi vijana pesa za bure hakuna dunia hii.Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.
Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,
Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
Meneja ana gari kali boss anakomaa na baiskeliMambo vipi wazee!
Aisee duniani kuna mambo sana.
Ukienda gende yenyewe original kutafuta utajiri hakika utaupata endapo tu utazingatia masharti yao.
Sharti lao kuu uwe na biashara, hili sharti halihitaji biashara kubwa. Hata biashara ya kuuza nyanya chungu poa tu, hata kuuza mishikaki ya mia mia poa tu.
Jamaa watakupa pesa either ya noti au sarafu ingawa sarafu ndio kipaumbele chao zaidi. Ile pesa utaambiwa kaiweke kwenye mkoba au chombo unachotunzia fedha za mauzo.
Jioni ukipega hesabu utakuta imeji double mara kadhaa.
Kuhusu gharama ya ndagu jamaa kwa ufupi ni Kama wanatoa bure vile maana mara nyingi wanasema utarudi kushukuru wazee ukifanikiwa.
Hapo ndipo utajiri unakujia.
Nitatoa mifano ya watu 4 ninaowafahamu walioshindwa masharti kabla au baada ya utajiri:
1. Huyu jamaa alipewa sharti la kupeleka sh. Mia moja ya sarafu kila mwaka wakati wa kiangazi. Aliweza kupeleka misimu miwili tu akadharau. Aliishia kuwa fukara.
2. Huyu jamaa alipewa sharti la kupeleka sindano ya mkono moja kila mwaka wakati wa kiangazi alipekeka mara moja tu akaona ni ujinga, atoke na gari Iringa mpaka Liwale ngende kupeleka sindano ya sh. Hamsini huku anatumia mafuta ya laki 3 . Sasa ni fukara anaomba mpaka sigara.
3. Alipewa sharti la kutokusalimiana au kupeana mkono na mtu yeyote kutoka Liwale Lindi mpaka Dar. Akaona simple. Nakuambia huyu alichemka vibaya. Akarudi kwa bibi akabadilishiwa sharti. Akatajirika ila mwishowe alichemka sharti la pili la kutokuchepuka. Unaambiwa baada ya kuwa na mipesa mastaa wa Bongo warembo unaowafahamu walimzonga kila kona akachepuka nao wawili watatu akafilisika.
4. Huyu alipewa sharti la kusafiri kwa mguu au baiskeli tu. Akafanikiwa sana mpaka alijenga hoteli za kisasa. Akiangalia meneja wa hotel zake zote mbili wana magari yeye ni mwendo wa baiskeli tu. Akanunua magari ya kutembelea. Akafulia.
Visa ni vingi takuja kusimulia vingine.
Naomba rejea mkuu ayo mandikoUfalme mmoja hauwezi kufitiniana.
Rejea maneno ya Yesu aliposema shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake.
Mathayo 12Naomba rejea mkuu ayo mandiko
Unajua mimi kwa ''ujinga'' wangu nilikuwa sidhani kama kuna binadamu tena kijana aliyesoma anaweza kuamini hayo mambo ya ''ngende'' na utajiri. Kumbe hata meseji za kitapeli zinazotumwa kwenye simu huwa zinapata ''mabwege'' wa kuliwa. Hata huyu mwanzisha thread anatafuta bwege wa kumliza na huenda kabisa akapata wengi. Kweli dunia ni mzunguko.Yaani had wewe ulobahatika kwenda shule ulienda?? Aisee.
Unajua mimi kwa ''ujinga'' wangu nilikuwa sidhani kama kuna binadamu tena kijana aliyesoma anaweza kuamini hayo mambo ya ''ngende'' na utajiri. Kumbe hata meseji za kitapeli zinazotumwa kwenye simu huwa zinapata ''mabwege'' wa kuliwa. Hata huyu mwanzisha thread anatafuta bwege wa kumliza na huenda kabisa akapata wengi. Kweli dunia ni mzunguko.
duh, ya kweli mkuu!!?Mambo vipi wazee!
Aisee duniani kuna mambo sana.
Ukienda gende yenyewe original kutafuta utajiri hakika utaupata endapo tu utazingatia masharti yao.
Sharti lao kuu uwe na biashara, hili sharti halihitaji biashara kubwa. Hata biashara ya kuuza nyanya chungu poa tu, hata kuuza mishikaki ya mia mia poa tu.
Jamaa watakupa pesa either ya noti au sarafu ingawa sarafu ndio kipaumbele chao zaidi. Ile pesa utaambiwa kaiweke kwenye mkoba au chombo unachotunzia fedha za mauzo.
Jioni ukipega hesabu utakuta imeji double mara kadhaa.
Kuhusu gharama ya ndagu jamaa kwa ufupi ni Kama wanatoa bure vile maana mara nyingi wanasema utarudi kushukuru wazee ukifanikiwa.
Hapo ndipo utajiri unakujia.
Nitatoa mifano ya watu 4 ninaowafahamu walioshindwa masharti kabla au baada ya utajiri:
1. Huyu jamaa alipewa sharti la kupeleka sh. Mia moja ya sarafu kila mwaka wakati wa kiangazi. Aliweza kupeleka misimu miwili tu akadharau. Aliishia kuwa fukara.
2. Huyu jamaa alipewa sharti la kupeleka sindano ya mkono moja kila mwaka wakati wa kiangazi alipekeka mara moja tu akaona ni ujinga, atoke na gari Iringa mpaka Liwale ngende kupeleka sindano ya sh. Hamsini huku anatumia mafuta ya laki 3 . Sasa ni fukara anaomba mpaka sigara.
3. Alipewa sharti la kutokusalimiana au kupeana mkono na mtu yeyote kutoka Liwale Lindi mpaka Dar. Akaona simple. Nakuambia huyu alichemka vibaya. Akarudi kwa bibi akabadilishiwa sharti. Akatajirika ila mwishowe alichemka sharti la pili la kutokuchepuka. Unaambiwa baada ya kuwa na mipesa mastaa wa Bongo warembo unaowafahamu walimzonga kila kona akachepuka nao wawili watatu akafilisika.
4. Huyu alipewa sharti la kusafiri kwa mguu au baiskeli tu. Akafanikiwa sana mpaka alijenga hoteli za kisasa. Akiangalia meneja wa hotel zake zote mbili wana magari yeye ni mwendo wa baiskeli tu. Akanunua magari ya kutembelea. Akafulia.
Visa ni vingi takuja kusimulia vingine.