Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Utajiri wa 'ngende' (ushirikina) una masharti magumu kuliko utajiri wowote ule duniani

Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.

Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,

Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
afadhali umeliweka wazi mkuu
 
Formular ya pesa ni hardworking, nidhamu ya pesa, kuthamini muda, kutafuta na kubuni fursa mpya kila siku, kuhakikisha unadominate soko ya bidhaa yako, uaminifu, kua mkweli, hakikisha huduma au bidhaa yako inakua bora kwa viwango, hakikisha unakua na customer care nzuri, hapo umemaliza mengine ni mbwembwe kwa wasijiamini kwani mganga kama anaweza kukugawia utajiri kwa nini yeye afe fukara unadhani yeye anakupenda sana kuliko anavojipenda,? Wengi wao matapeli tu
Sio wengi wao, wote matapeli tu.

Labda wenye afadhali kidogo ni wale wanaokupa masharti ambayo kimsingi ni mbinu za biashara (e.g. fungua duka mapema-chelewa kufunga, wajue wateja wako, usifuje pesa (acha anasa), weka nia/malengo, be there/get involved kwenye biashara yako hasa pesa kila siku (hii knasaidia kutoibiwa nk), etc. etc.)
 
Bado nasaka ajira kwa miaka 5 sasa na GPA yangu yangu ya 4.2, na bado NO JOB hadi sasa. Huko kujiajiri wanakopigapiga kelele nako nimejaribu but wapi!Sasa nimeamua kujiajiri kwenye utapeli,nimeanza na ndugu na baada ya kupata uzoefu wa kutosha sasa natapeli kila mtu,hadi wagonjwa mahututi.Huku si kutafuta laana kweli?

Hatia iliyonijaa moyoni inaniambia niachane na udhulmati na ukanjanja wote.Sasa nifanye kipi kingine kama si kwenda huko Ngende?Hivyo visharti vidooogo wanavyotoa vitanishinda kweli na huu msoto niliokwisha pitia.Sharti pekee ambalo siwezi kulikubali ni la kugeuzwa James Delicious, ila mengine yote (hata kulala makaburini in the midnight naweza).

Nipeni ramani ya kufika huko.
Google
 
Formular ya pesa ni hardworking, nidhamu ya pesa, kuthamini muda, kutafuta na kubuni fursa mpya kila siku, kuhakikisha unadominate soko ya bidhaa yako, uaminifu, kua mkweli, hakikisha huduma au bidhaa yako inakua bora kwa viwango, hakikisha unakua na customer care nzuri, hapo umemaliza mengine ni mbwembwe kwa wasijiamini kwani mganga kama anaweza kukugawia utajiri kwa nini yeye afe fukara unadhani yeye anakupenda sana kuliko anavojipenda,? Wengi wao matapeli tu
Akiwa tajiri hawezi kuwa mganga
 
Sio KILA mtu anaweza masharti,pesa sio ttzo kwake ttzo masharti magumu
Babu masharti magumu kama yapi? Kafara au nini?..bado watu wangekuwa wengi sana wanaotajirika kwa hiyo michongo..

Kuna exeggaration sana hapa..huwezi kuacha laki moja kwenye droo,ukaja kukuta millioni kumi..vitu vingine haviingii akilini
 
Kuna mmoja aliambiwa alale chini kwenye box bila godoro,tena asiwe analala chumbani usiku,jamaa akawa na majumba mazuri lakini halali ndani,akaona ujinga,akaenda hoteli siku moja akalala,aliporudi akaanza kuona vibweka,mara nyumba imeungua,gari ikazama mto rufiji mpaka akaishiwa,anagongea fegi sasahivi.
 
Babu masharti magumu kama yapi? Kafara au nini?..bado watu wangekuwa wengi sana wanaotajirika kwa hiyo michongo..

Kuna exeggaration sana hapa..huwezi kuacha laki moja kwenye droo,ukaja kukuta millioni kumi..vitu vingine haviingii akilini
Shetani hana zaidi ya kafara ya damu ya ndugu, watoto, wazazi,au Jamii.
Mfano.
.Mtoe kafara mtoto wako kisha umtwange kwenye kinu Ili wakuu wa giza wanywe damu na nyama yake.
.Toa kafara mama yako mzazi
.Mfanye msukule mama yako mzazi andaa chumba KILA mwisho wa mwezi mlawiti.
.Mtoe kafara mama yako mzazi kisha kata viungo vyake vya Siri vikaange
.Toa lita kadhaa damu za watu kila mwezi
.Sababisha ajali kila mwezi
.Mfanye mtoto wako taahira
Nk zipo nyingi Sana

Wafuasi wa imani za kuishi milele ufanya hivyo Ili kupata utajiri huo kufurahisha nafsi zao.
 
Huo utajiri masharti yake yasinizuie kugonga, kunishinikiza kuua mzazi ama kupata watoto, kutembelea gari na kupendeza hapo sawa!

Siku zote masharti ya kishetani ni magumu, just imagine una pesa ya kutosha halafu eti unakula hovyo, sehemu ya kulala hovyo, kuvaa hovyo, hata usafiri TZ 11, sasa hizo pesa za kazi gani?
 
Shetani hana zaidi ya kafara ya damu ya ndugu, watoto, wazazi,au Jamii.
Mfano.
.Mtoe kafara mtoto wako kisha umtwange kwenye kinu Ili wakuu wa giza wanywe damu na nyama yake.
.Toa kafara mama yako mzazi
.Mfanye msukule mama yako mzazi andaa chumba KILA mwisho wa mwezi mlawiti.
.Mtoe kafara mama yako mzazi kisha kata viungo vyake vya Siri vikaange
.Toa lita kadhaa damu za watu kila mwezi
.Sababisha ajali kila mwezi
.Mfanye mtoto wako taahira
Nk zipo nyingi Sana

Wapumbavu ufanya Ili kupata utajiri kufurahisha nafsi zao.
Na hela zinapatikana vipi mkuu kufanya mtu kuwa tajiri sasa?

Please embu nieleweshe hapo..
 
Acha kutapeli watu mkuu,labda Kama unazungumzia ngende ya mgodini,Ila Kama unazungumzia ngende ya liwale iliyoko Kijiji Cha mpigamiti Basi jua unataka kutapeli watu hapa.

Kiufupi huwezi nificha kitu kuhusu huyo Bibi njumwite,na vibaraka wake,wale wote ni matapeli,ukienda pale wako radhi wakupukitushe Hadi chupi uliyovaa,

Wakuu nashauri msijaribu hata kumfuata huyo bwana PM,Ila Kama mnataka kuibiwa Basi jaribuni,I speak from my experience,nimewahi kufika huko,nilichoambulia ni kutapeliwa kila kitu na hao jamaa wa ngende,hakuna jipya nililoliona.
Mr. Siko hapa kutangaza business.
Sitaomba hata mia kutoka kwa mwana jf kwa uzi huu au uzi wowote ule.
Am here just to share my experience I heard and I seen .
Narudia tena , sihitaji misaada wala pesa ya mwana jf kwa njia yoyote
 
Back
Top Bottom