kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Ni binti mdogo wa miaka 25 tu. Lakini kwa sasa anamiliki maduka mengi tu hapa mjini
Pia anamiliki Niffer Mall
Pia anamiliki ndinga kali za Gharama kama RangeRover Sport, RangeRover Evoque, na Range Rover vogue kwa sasa ya milioni 160 wakati mimi ndo kwanza nina Nissan duals[emoji23]
Huyu ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaoishi kwa kupambana sio wanawake wengine wanaotegemea kudanga
Pia soma:Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150
Pia anamiliki Niffer Mall
Pia anamiliki ndinga kali za Gharama kama RangeRover Sport, RangeRover Evoque, na Range Rover vogue kwa sasa ya milioni 160 wakati mimi ndo kwanza nina Nissan duals[emoji23]
Huyu ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaoishi kwa kupambana sio wanawake wengine wanaotegemea kudanga
Pia soma:Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150