Utajiri wa Niffer unatisha! Anatembelea Range ya milioni 160

Utajiri wa Niffer unatisha! Anatembelea Range ya milioni 160

Mimi mjomba angu ukiambiwa story yake ya Maisha ni kwamba alianza biashara kwa kuuza chai badae akapata mali nyingi sana na kuwa moja ya watu wenye pesa eneo lake lakini kama mtu mzima unaelewa tu kuna issue alifanya ambazo hawezi kumwambia mtu japo the common accepted version ni kwamba alianza maisha na Biashara ya kuuza chai
 
Mbona wengi wanautajiri wa halali bila kafara huu utajiri wa niffer kama sijauelewa bado kutoka mtaji wa elfu 40 hadi kuwa tajiri kwa maono yangu naamini niffer hakuna na mtaji huo inawezekana alikuwa akidanga kwa akili wakati wenzie walidanga na kununua ist yeye akaanza biashara lakini hata hivyo bado hawezi kuchipua kwa haraka hivyo
Kafara hata jasho pia!
 
Sema huyo manzi atakuwa na mashine mnato ile laana.... ni mwanadada aliyeumbika haswa. Anayekojoa pale ndo anaweza kujigamba anakula matunda ya uhuru wa nchi hii. Sisi wengine bado tuko na kina Mzee Dosa Aziz tunapigania uhuru kupitia TANU. Kuhusu utajiri wake iko wazi ni Money Laundering... aombe sana asije akakosea step kwasababu atapotezwa mazima.
hajafika levels za masogange. waliomla maso wanajua. acha kabisa..weka mbali. wacha tu apumzike kaburini.
 
Back
Top Bottom