Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Kwamba laini zote zinatumikaShida ahsubuh yote hii kumnanga mtu anaetumia mwili wake kwa manufaa yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba laini zote zinatumikaShida ahsubuh yote hii kumnanga mtu anaetumia mwili wake kwa manufaa yake
KabisaHawa maceleb wana siri nyingi sana. Ngoja nifunike kombe......!!!! 🤔
Kafara hata jasho pia!Mbona wengi wanautajiri wa halali bila kafara huu utajiri wa niffer kama sijauelewa bado kutoka mtaji wa elfu 40 hadi kuwa tajiri kwa maono yangu naamini niffer hakuna na mtaji huo inawezekana alikuwa akidanga kwa akili wakati wenzie walidanga na kununua ist yeye akaanza biashara lakini hata hivyo bado hawezi kuchipua kwa haraka hivyo
hajafika levels za masogange. waliomla maso wanajua. acha kabisa..weka mbali. wacha tu apumzike kaburini.Sema huyo manzi atakuwa na mashine mnato ile laana.... ni mwanadada aliyeumbika haswa. Anayekojoa pale ndo anaweza kujigamba anakula matunda ya uhuru wa nchi hii. Sisi wengine bado tuko na kina Mzee Dosa Aziz tunapigania uhuru kupitia TANU. Kuhusu utajiri wake iko wazi ni Money Laundering... aombe sana asije akakosea step kwasababu atapotezwa mazima.
Masogange alikuwa level zingine. Na bahati nzuri yeye alikuwa hajifanyi sitaki nataka.hajafika levels za masogange. waliomla maso wanajua. acha kabisa..weka mbali. wacha tu apumzike kaburini.
Wewe ume-connect dots vizuri sana. Eugbert ni zaidi ya mafia.Pastor T na Eubert Angel ni washkaji alaf zama youtube Kaangalie Gold Mafia Series ya Aljazeera
Absolutely Money Laundrymat
Sure pia "private parts"Money laundering mazee shtuka, hawa wanaojiita celeb wanatumika sana kusafisha pesa za watu..
Pastor Irene Uwoya jehajafika levels za masogange. waliomla maso wanajua. acha kabisa..weka mbali. wacha tu apumzike kaburini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba sote tudange ili tumiliki range au sijaelewa somo
Kwa kuuza ice cream za Bakhresa? WoiiiiihNiffer wakishua kitambo........