Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
The secret of success is to know something nobody else knows.
Haya mambo yaoneni tu muyaache
Haya mambo yaoneni tu muyaache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaiba hela zaidi ya uwezo wao halafu wanakosa pa kuzipelekaMoney laundering mazee shtuka, hawa wanaojiita celeb wanatumika sana kusafisha pesa za watu..
Sio wa kishua. Nimesoma nae tuition centre fulani, kasoma na mdogo wangu upande wa mama mkubwa walikuwa darasa moja ila nimesoma shule tofauti nao. Namkumbuka kwa kuongea kwa sauti kubwa.Niffer wakishua kitambo........
Sio ndoo ni majaba ya hela pamoja na mapipa na matenkiToto kama hilo likose spansa wakati kuna watu wana ndoo zimejaa ma dolali ndani na kila siku wanaiba .
Mbona kuna madem wengi wakali lakini choka mbaya hawana hela.Sema huyo manzi atakuwa na mashine mnato ile laana.... ni mwanadada aliyeumbika haswa. Anayekojoa pale ndo anaweza kujigamba anakula matunda ya uhuru wa nchi hii. Sisi wengine bado tuko na kina Mzee Dosa Aziz tunapigania uhuru kupitia TANU. Kuhusu utajiri wake iko wazi ni Money Laundering... aombe sana asije akakosea step kwasababu atapotezwa mazima.
Ndoto zako za mchana hizoTime will tell
SwadaktaMoney laundering mazee shtuka, hawa wanaojiita celeb wanatumika sana kusafisha pesa za watu..
Wewe upo wapi humjui tajiri nifferNdio nani huyo huko Daslam?