Utajiri wa Niffer unatisha! Anatembelea Range ya milioni 160

Utajiri wa Niffer unatisha! Anatembelea Range ya milioni 160

Sema huyo manzi atakuwa na mashine mnato ile laana.... ni mwanadada aliyeumbika haswa. Anayekojoa pale ndo anaweza kujigamba anakula matunda ya uhuru wa nchi hii. Sisi wengine bado tuko na kina Mzee Dosa Aziz tunapigania uhuru kupitia TANU. Kuhusu utajiri wake iko wazi ni Money Laundering... aombe sana asije akakosea step kwasababu atapotezwa mazima.
Ni money laundering na kutwa huko twitter yeye ni kumsifia mama kizimkazi
 
U celebrity unatumika kama daraja tu. Wanatumika sana hawa

Wanatumika kwenye nini ?

Kama ni kwa kugongwa ndio chanzo cha utajiri wao nakataa.. hakuna mwanaume wa kuhonga milioni 100 kisa apate uchi wa niffer..

Kuna warembo kibao wanagongwa sana ila hawana hata biashara ya mtaji milioni kumi. Tena wazuri kweli kweli
 
Dada zangu wakimuona basi wana stress, nao wakijaribu kuanza na mtaji wa biashara wa 40elfu hawatoboi....... masocialites wengi ni wauzaji ila wao ni expensive prostitute. Nicole mwenyewe anadai kilimo kimpa nyumba na magari......... wanazani watu hawajui. Ukitaka kujua story za hawa maslay Queens wa huko social networks waliojificha kwenye biashara, uigizaji na hata mziki. Watafute madereva wa taksi wa Airports hizi hasa za Arusha na Mbeya au wafanyakazi wa hotels kubwa hizo unapewa mafaili yote.

Kuna watu huko migodini Mbeya na Arusha, kuna uwezekano washamaliza hawa maslay Queens wote wanaotrend instagram.
Hili halina ubishi kuna jamaa ana deal na madini ni papaaa asa juzi juzi kaonga demu crown athlete....na nyumba kampangishia mwaka mzima ndani ya geti mtoto anakula upepo mwanana......

Ukienda viral mtoto kafunguliwa duka la vipodozi kama lote....... jamaa anapush range rover vogue nyeusi hizo sport light na fogs lights ni atari na vile vile ana mercedes fulani white ya moto sana 🙌🙌🙌🙌
 
Kuna uzi ulikuwa na sauti yake akimfokea mfanyakazi wake na akasema anatoa mkuu.n.d.u (analiwa ndogo) kupata hela.

Bahati mbaya @mods waliufutilia mbali ule uzi haraka sana.

Naamini maneno mtu anayosema akiwa kwenye hasira yana ukweli 90%
Hiyo video imesambaa sana twitter
 
so unataka kusema nyuma ya pazia ni hyo elfu 40?? hyo tu??? hamna lingine?? yale yale ya shabiby kuanza na kuuza karanga leo ana bus nyingiiiii.jamani hiv mnatuchukuliaje
Afadhari huyo wa kuuza mazao kuna pesa nyingi.
Huyo dada utajiri wake unatakiwa umsifie but take it with a pinch of salt.
 
Back
Top Bottom