Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Mpandie Dau mkuu ili uangalie kama kuna majimhaya atoe wapi mnato pale maji mengi kama dawasco
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpandie Dau mkuu ili uangalie kama kuna majimhaya atoe wapi mnato pale maji mengi kama dawasco
Biashara ya mtandaoni inalipa mno kaka wala usishangaeNi binti mdogo wa miaka 25 tu. Lakini kwa sasa anamiliki maduka mengi tu hapa mjini
Pia anamiliki Niffer Mall
Pia anamiliki ndinga kali za Gharama kama RangeRover Sport, RangeRover Evoque, na Range Rover vogue kwa sasa ya milioni 160 wakati mimi ndo kwanza nina Nissan duals[emoji23]
Huyu ni mfano wa kuigwa kwa wanawake wanaoishi kwa kupambana sio wanawake wengine wanaotegemea kudanga
Pia soma:Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150
Habari za tajiri muulize masikini ndio kama hivi Sasa 🤣Hili halina ubishi kuna jamaa ana deal na madini ni papaaa asa juzi juzi kaonga demu crown athlete....na nyumba kampangishia mwaka mzima ndani ya geti mtoto anakula upepo mwanana......
Ukienda viral mtoto kafunguliwa duka la vipodozi kama lote....... jamaa anapush range rover vogue nyeusi hizo sport light na fogs lights ni atari na vile vile ana mercedes fulani white ya moto sana 🙌🙌🙌🙌
Kwa utajiri ni levels kuna matajiri zaidi yake......Habari za tajiri muulize masikini ndio kama hivi Sasa 🤣
Wa kishua anfefanya biashara ya sh. 40?Niffer wakishua kitambo........
Tafuta hela usielezee Mali za wenzioKwa utajiri ni levels kuna matajiri zaidi yake......
Sawa tajiri.Tafuta hela usielezee Mali za wenzio
Tafuta helaSawa tajiri.
Nimekuelewa tajiri, asante kwa ushauri.Tafuta hela
SawaNimekuelewa tajiri, asante kwa ushauri.
Mkuu nakuomba ikiwezekana ungeelezea kwa kina. Maana kuna watu nawajua personally wanafanya biashara mitandaoni wana followers laki na zaidi ila bado wako na njaa.Biashara ya mtandaoni inalipa mno kaka wala usishangae
Alivyoandika sasa mpaka nimeona aibu😂Habari za tajiri muulize masikini ndio kama hivi Sasa 🤣
😂😂😂😂, gonga Sana ma half life equations wapi, ma circular motionAisee
Nakielimu changu cha kujifanya najua kuchakachua ma sinewave ya umeme wa calculus
halafu juzi nawasikia jamaa vijana nilisoma nao wakaishia njiani kwenda kumsaidia baba yao biashara zake, wanaongelea makusanyo ya kodi la gorofa walioachiwa na baba yao ni zaidi ya millioni 800 kwa mwaka
Nilijiona zoba wakutupwa
Mkuu vipi umeshanunua magari mangapi ya billion? Au na wewe hujitumi kama sisi?biasharazake hamzioni au?Sasa milioni 160 nihelanyingi?🤣🤣🤣
maskini wamwili naakili nyie
hapabongo ukijituma unaweza kununua gari hata labilioni nne nahela inabaki nyingi tuu
Vyovyote alivyozipata bado itabaki kuwa ni 'kupambana' tu, whichever means, whatever tricks bado ni 'kupambana' vilevile. Wengi tuna siri za kustaajabisha na nyingine za kutisha alimradi tu-maintain standards tunazojivuna nazo.Kwa biashara hizi za bongo ni ngumu kupanda kwa haraka hivyo, kaa nae chini akueleze ukweli hela anapatia wapi ila sio kwa kupambana.