Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani


Hhm very interesting perception you got [emoji1433]
 
Yup! Lakini sio kisiwa cha Chumbe.... Ngoja nimsubiri Master, kwa ufafanuzi zaidi!
Inaonekana kwenye huu uzi msomaji wa zanzibar maeneo yalotajwa ni wewe tu.

Inaonekana pia kuna ka course unakasoma hata field bado ujaanza kwenda labda hapa ndo unafanya practical ....kwahiyo kati ya wasomaji humu mjanja wewe peke yako wengine wote 0.

Haya msomi wetu.... Enhee tufumbue macho...
 
Kwa ufupi mimi ni mstaafu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…