Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Punguza ujuaji, kwani umelazimishwa kusoma? Ukiona inakukera ignore, usituharibie story.[emoji2][emoji2][emoji1][emoji2]Asuse tu aisee hz chai nwsho mwaka huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza ujuaji, kwani umelazimishwa kusoma? Ukiona inakukera ignore, usituharibie story.[emoji2][emoji2][emoji1][emoji2]Asuse tu aisee hz chai nwsho mwaka huu
Unawataka wa ninTutaweka cctv camera kwenye corridor
ili tukinunua shamba tuwapigishe kazi hadi wasirudi tenaUnawataka wa nin
😂😂😂😂😂 hapo sawaili tukinunua shamba tuwapigishe kazi hadi wasirudi tena
Mtanzania hafukuzwi kwa kununiwa au kumnyima chakula anafukuzwa kwa kazi nyingi ili asipate muda wa kuangalia runinga kama umughaka akitoka hapo anaenda kusimulia na wenzake kuwa kule kazi ipo😂😂😂😂😂 hapo sawa
Mtanzania hafukuzwi kwa kununiwa au kumnyima chakula anafukuzwa kwa kazi nyingi ili asipate muda wa kuangalia runinga kama umughaka akitoka hapo anaenda kusimulia na wenzake kuwa kule kazi ipo
Mvua nguo ulale sasa,uliweNipo dada'ngu.
Ilitakiwa vimtokee na nani mwengine?Hivi vsa vyote vmekutokea ww tu...?[emoji1][emoji1][emoji2] hizi stry za kijiweni
Ndo hivyo wakiongezeka na kazi unaongeza unanunua na ng'ombe muda wa kuamka unabadilika inakua ni saa 10 alfajiri kwenda kukata majaniHapo sawa watabakia ambao sio wavivu wageni wa faida
Ulikuwa muda mfupi wa kukaa pale ili nirudi chuo,sikuona haja ya kupoteza tena hela kwenda kanda ya ziwaKwanin uliendelea kukaa hapo si ungerudi kwenu kuna familia wana uwezo lakin wachoyo na maskin wa roho.ungepiga simu kwenu urudi
Siondoki ngoo nitakuepo Happ Hadi amalize matukio yake nitamkoZoaa Hadi mwishoIla we mchokozi utuache sie tunapenda stori zake
Mkuu mm huwa sirembagi Wala kutetea upuuzi [emoji41][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usirudie tena kutumia emoji nyingi namna hii zinaumiza macho vinginevyo ntakufungia kutumia jf kwa muda usiojulikana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
My feet we nenda kale matunda yako kimasiara huko acha kuwatisha watu humu ,huna mamla wala uwezo was kufanya hvyo [emoji41]Usirudie tena kutumia emoji nyingi namna hii zinaumiza macho vinginevyo ntakufungia kutumia jf kwa muda usiojulikana
🙌🙌My feet we nenda kale matunda yako kimasiara huko acha kuwatisha watu humu ,huna mamla wala uwezo was kufanya hvyo [emoji41]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Daaaaah,Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 06.
Fedha niliyokuwa nimeitafuta kwa jasho na damu na baada ya kuuza mali za duka letu la vipodozi tukawa tumegawana na rafiki yangu kipenzi ikawa imeishia mikononi mwa ndugu yangu ambaye niliamini tungefanya biashara ikashamiri kama alivyokuwa akiniambia lakini haikuwa kama nilivyodhani!.Nilipanga niendelee kuwa subira uenda mwisho wa mwezi angeenda kwa wale jamaa pale Tandika akapewa faida ya pesa aliyokuwa ameweka hapo dukani kama alivyoniambia,niliamua kuupa muda nafasi ingawa Jamaa baada ya kupewa taarifa na mkewe kuhusu hizo hela alikata mawasiliano kabisa kwa takribani wiki mbili.
Sikutaka kabisa kukaa kizembe pale kwa Kileri,niliamua kuzunguka kutafuta kazi ya kufanya angalau nianze kutengeneza pesa,sasa niliamua kutembea mdogo mdogo kama naelekea Banana na kuna mahali nilifika nikakuta jamaa wanafyatua tofali za blocks,eneo lile halikuwa mbali na nyumbani kwa kileri,ilikuwa takribani mita kama 1000 hivi,nilijisogeza mpaka pale nikawa nimeongea na jamaa mmoja ambaye ndiye alionekana kuwa kiongozi wa ule mradi.
Mimi "Kaka kwema"
Jamaa "Kwema,vipi hali"
Mimi "Safi kaka"
Mimi "Naweza kupata angalau kibarua kaka?"
Jamaa "Kibarua kama kipi unaweza!"
Mimi "Chochote tu kaka"
Jamaa "Unao uzoefu wa kufyatua tofali?"
Mimi "Hapana kaka ila kubeba na kupanga naweza"
Jamaa "Unaitwa nani?
Mimi "Naitwa Umughaka"
Jamaa "Ok sawa"
Aliendelea "Sudiiiiiii !"
Jamaa "Sudi eeeh !"
Sudi "Nambie "
Jamaa "Njoo mwanangu"
Sudi "Nambie "
Jamaa "Jamaa anahitaji kibarua,vp kuna sehemu umchomeke?"
Sudi "Hapa nafasi haziishagi ni nguvu zake tu"
Jamaa "Sawa muangalizieni"
Sudi "Mbona kama umependeza,unataka leo leo au ulikuja kucheki kwanza"
Mimi "Kaka nipo tayari kwa kazi"
Sudi " Hizo nguo huzipendi au!"
Mimi "Nitavua nitabaki na bukta"
Sudi "Sawa,twenzetu"
Baada ya maongezi ya muda mfupi,jamaa aliyeitwa Sudi alinichukia mpaka eneo la kazi kisha nikavua nguo zangu nikawa nimebaki na bukta(boksa),sasa Sudi akawa ameniambia nitakuwa nachukua tofali zitakazokuwa zinafyatuliwa na mashine na kisha kwenda kuzipanga kwenye eneo la wazi lililokuwa limetengwa kwa kazi hiyo.
Niliifanya ile kazi kuanzia muda ule hadj jioni mida ya saa 12,kiukweli haikuwa kazi ya kitoto hata kidogo,kwakuwa niloshafanya kazi nzito na ngumu kuliko ile,sikuona tatizo lolote japo jamaa waliponiangalia walidhani mimi ni lele mama lakini nilipoanza kupiga mzigo hawakuamini!.Eneo lile kulikuwa na kinyumba kidogo na kwa nyuma kulikuwa kumejengwa choo pamoja na bafu,hivyo baada ya kumaliza kazi nikawa nimeingia kuoga,nilipomaliza kuoga,yule jamaa ambaye nilienda kumuomba kazi aliinita akanipatia elfu 3 ambayo ni kama posho ya kibarua.Ilikuwa ni hela ndogo sana lakini sikukata tamaa kwakuwa kwa wakati huo sikuwa na kazi yoyote!.
Baada ya malipo niliondoka zangu kwa kutembea kurudi kwa Kikeri ambapo ndipo nilipokuwa nimefikia.
Niliendelea kuifanya ile kazi kwa siku kadhaa,sasa ilikuwa kwamba mteja amiweka oda ya tofali tunapakia na kwenda kushusha tulikuwa tunapewa posho ya upakiaji na ushushaji elfu 2 kila mmoja,hivyo ukijumlisha na ile posho ya ufyatuaji na ubebaji kwenda kuanika ambayo ilikuwa buku 3,kwa siku nilikuwa napata zaidi ya elfu 10,kwasababu kwenye upakiaji na ushushaji kwa siku tulikuwa tunapata oda hata za wateja 3 hadi 4 kwa siku.
Kuna siku nilipomaliza kazi nimerudi nyumbani pale kwa ndugu yangu Kileri nikamkuta yupo,sasa sikutaka kuzungumza nae pale ndanj ilibidi nimwambie shemu tunatoka kidogo.Dhumuni la mimi kumtoa pale nyumbani nilitaka anieleze ukweli kuhusu ile hela kwasababu ilikuwa ni mwezi umekatika na hakukuwa na mrejesho wowote kuhusu faida kama alivyokuwa ameniambia.
Mimi "Ndugu yangu hujanipa mrejesho wowote kuhusu biashara"
Kileri "Kaka wewe acha tu"
Aliendelea "Kiukweli kaka niwe mkweli,wewe ni ndugu yangu sitaki kukuficha"
Kileri "Ile hela ulinipa nilienda kulipa deni nililokuwa nadaiwa na yule jamaa(Jamal) na kuna kiasi cha fedha niliona nijengee choo kilichokuwa cha mabati"
Aliendelea "Juzi kabla hujaja mama yake mke wangu alisema anakuja sasa nikaona nitengeneze angalau vyumba viwili niweke vigae ili kuwe na muonekano kaka"
Mimi "Kaka ni heri ungeniambia tangu mapema nikiwa Tarime kwamba unashida na hela ningekutumia kwakuwa wewe ni ndugu yangu"
Mimi "Lakini kitendo cha kufanya mimi kuja huku nikiamini tunakuja kufanya biashara wakati ni uongo,umenikosea sana ndugu yangu"
Kileri "Nitampigia Marwa nyumbani nimwambie aniuzie vile vi ndama vyangu halafu nitakulipa,wewe ni ndugu yangu"
Mimi "Wewe acha tu,kama ipo ipo tu kaka!"
Mimi "Wala usijali kuhusu hiyo hela"
Kiukweli nilijisikia hasira sana na nilijiona ni mpumbavu sana kumpatia Kileri ile hela ambayo haikufanya jambo la maana zaidi iliishia kwa wanawake zake na utumbuaji wa starehe,sikukata tamaa niliamini kama niliweza kuipata hiyo hela basi nitaweza kuipata nyingine.Japo alijitahidi kunieleza maneno mengi lakini bado nilimuona ni muongo kwasababu mkewe alikuwa ameniambia kila kitu.
Niliendelea kupambana katika ile kazi ya tofali pasipo kukata tamaa,nilikuwa natafuta hela angalau nikapange chumba changu ili niweze kujisogeza zaidi.Kuna siku nikiwa na jamaa zangu kwenye gari tukiwa tunapeleka tofali kwa mteja,kuna jamaa mmoja nae alikuwa mfanyakazi mwenzangu hapo site alikuwa akituambia kama vipi twende kwenye mradi wa nyumba huko kigamboni uliokuwa ukifahamika kama DEGE.
Mwakisaka " Mwanangu kama mko tayari kesho tuibuke Dege kuna jamaa zangu wako kule wanasema kuna hela nzuri"
Mimi "Dege ndo wapi?"
Mwakisaka "Kigamboni huko kuna nyumba zinajengwa kama utitiri!"
Aliendelea "Halafu kule vibarua kwa siku waliniambia wanakula elfu 15"
Zomela "Tatizo kigamboni ni mbali,hiyo hela inaishia tu kwenye nauli"
Mwakisaka "Sasa hiyo nauli kwani unaenda wapi?,watu huko wamepiga kambi halafu wewe unaongelea masuala ya nauli tena"
Aliendelea "Mimi kesho ngoja niende nikacheki"
Zomela "Tatizo huko unaweza kwenda ukakosa na ukirudi huku nako unakuta wameweka mtu mwingine,tena nianze kufanya kazi kutafuta kazi"
Mwakisaka "Kwani utasema unaenda wapi?,kule tunaenda kimya hivyo si rahisi mtu kujua,tukipata ndo hivyo tusipota tunarudi"
Zomela "Hao jamaa zako wanauhakika?,siyo tunachoma nauli tu!"
Mwakisaka "Aliye tayari kesho twende tukikosa tunarudi"
Baada ya yale mazungumzo nilimwambia Mwakisaka mimi nitakuwa tayari kuungana nae na kuelekea huko Kigamboni kusaka kibarua cha elfu 15.
Mimi "Kwahiyo tutakutana wapi?"
Mwakisaka "Kwani siunasimu?"
Mimi "Ndiyo"
Mwakisaka "Nigei namba yako asubuhi nitakushitua"
Nilimpatia namba yangu ya simu Mwakisaka kisha tukaendelea na mambo mengine.
Ilipofika alfajiri mida ya saa 11,Mwakisaka alinipigia simu na akawa ameniambia tuonane pale Banana na nikifika nimwambie,kweli nilianza kuhangaika na usafiri wa kunitoa huko kivule ambao ulikuwa wa changamoto sana,nilihangaika kupambania usafiri hadi saa 12 asubuhi ikanikuta bado sijapata gari,nilikuja kupata gari imejaa ikabidi nining'inie hivyo hivyo kibishi ilimradi nifike.Nilipofika pale Banana nilimpigia Mwakisaka ambaye yeye alikuwa amefika kitambo akinisubiri mimi!.
Mwakisaka "Shwari?"
Mimi "Shwari kaka"
Mimi "Zomela yuko wapi?"
Mwakisaka "Yule hawezi kwenda,ameshapazoea pale kwa Mushi kama kwao"
Aliendelea "Hapa itabidi tupande magari ya kivukoni"
Tulikaa pale stendi tukawa tunasubiri magari ya kivukoni yaliyokuwa yanatokea Gongo la mboto ili tupande tuondoke,gari nyingi zikawa zinapita zimeshona watu kama utitiri,kiukweli nilikuwa nashangaa sana ile hali kwakuwa hata Mwanza sikuwahi kuona gari zinajaa kiasi kile!.
Baada ya muda kupita kuna gari ambalo lilikuja likiwa angalau na nafasi ya kusimama na tukapanda hilo.
Itaendelea.......