Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ndio nini hii?Koh koh koh
Hahaha!Mmajolo nganwilepo utwala Po utulo tosa twakanaga ukwisa mpaka nalindembwisye shemeji gwako nakomile kimo nutulo twalisile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
ooooppsssssss.....Kukaza mbona kazi ndogo mkuu,,, watu wanaua alafu wanakinga damu wanainywa mbichi !
Pesa Zina Siri Sana
Suuuu🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Sema su?
Njoo inbox tumalizane Mkuu.Suuuu
Ngimba bha ku Mbejhe tulibhingi muno mwa JHEI EFU!!!!!Mmajolo nganwilepo utwala Po utulo tosa twakanaga ukwisa mpaka nalindembwisye shemeji gwako nakomile kimo nutulo twalisile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
unaguna maya atamwagwa majiMhhhhhh
Aiseee yaani hii hadithi inafanya pesa ionekane kuipata ni mzozo mkubwa sana.Asante Shad kweli hakuna pesa rahisi jamanii mbona naanza kuiogopa hii story
Bado ya 19?masai dada njoo huku
Kuna mwamba anaitwa DeepPond hanaga mbambambaMi' nashauri, kwa yeyote anayetaka kutuletea hadithi hapa, awe amejiandaa. Hayo mambo ya tutaendelea..... Yabaki kwenye TV na magazeti.
Wakongwe wenzangu watakumbuka enzi zileeeee za gazeti la SANI, lilikuwa halina siku maalumu. Laweza kutoka leo, litalofuata, basi ni baada ya mwezi, au hata baada ya miezi mitatu!
Basi, wasomaji wa hadithi pendwa zile za akina SAID BAWJI, NICCO YE MBAJO pamoja na ile michoro ya PHILIP NDUNGURU, mtasubiriiiiii weeeee, mpaka mnasahau mlipoishia!
Haya mambo ya… TUTAENDELEA… wasimuliaji wetu, tuyapunguze!