Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Wadau, leo ni mwezi kamili toka hii simulizi ya ndugu yetu UMUGHAKA ianze kusimuliwa, hiyo tarehe 16'Disemba mwaka jaanaaaaa!
Nadhani, itakuwa imevunja rekodi ya muda mrefu inayochukua, kati ya simulizi moja na inayofuata!
Jumatatu saa 4 asubuhi, mwanaume analalamika anataka mwanaume mwenzake aache kazi zake akae amwandikie story ili yeye asome
Sijui lini tutafikia uchumi wa kati
 
Nakushauri kabla ujamchakata Maya mpelekee bafuni mpige maji ya kutosha Kisha mpige miti , au Farah dada ake na Ally mpemba mchakate nae kimya kimya had Ally mpemba anarudi tayari umewamaliza wote
Mkuu, inawezekana huyo Maya, mambo ya usafi hayatakiwi kabisa! Ana masharti kama nini! We uliona wapi mtu wa kula mboga mboga mbichi kama mnyama?
 
Back
Top Bottom