Jamaa unavomwambia "tafuta kazi" utadhani unamlishiaga familia yake,majibu ya kipuuzi kbs[emoji144]Tafuta kazi
Endelea naa hii, ile tuachane nayo kwanza aseeUtajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini shetani
Baada ya kujilaza kitandani maya aliingia chumbani akiwa uchi wa mnyama kama ambavyo huwa siku zote, kwakweli niliingiwa na hofu lakini ilikuwa ni lazima nitimize kile kinachoenda kutokea ili niendelee kujitengenezea jina kwa ally mpemba.
Niliamini ally mpemba ana vitu vingi zaid vya kunifunza kuhusiana na ulimwengu huu wa siri hasa kwa sisi ambao tuliamua kumtumikia shetani. Niliamini katika huu ulimwengu inahitajika roho ya ujasiri kupita maelezo ili kuweza kusurvive,. Basi maya alipanda kitandani huku akiwa ananiangalia usoni yani face to face.
Ghafla kwa mara ya kwanza nilishangaa kumuona maya anatabasamu., Nilishindwa kuelewa kwanini mwanamke huyo aliachia tabasamu pana juu yangu lakini niligundua alifanya hivyo baada ya kuona ile bangili niliyoivaa mkononi ambayo nilipewa na yule mganga kutoka
Kule visiwani.
Basi sikutaka kupoteza time kwa maana muda ulikuwa unakimbia kwa kasi na maya alitakiwa kurudi kwenye makao yake. Nilimlaza chali tayari kwa ajili ya shughuli lakini ghafla nikajikuta mimi ndio nimelazwa chini na maya yupo juu yangu.
sikuelewa tukio la mimi kugeuzwa juu chini chini juu lilifanyika muda gani lakini ilinibidi nitulie ili alichohitaji ally mpemba kitimie..
Sekunde chache mbele kiuno cha maya kilianza kuzungushwa taratibu kwa spidi ya semi kupanda mlima, na mimi bila hiyana nikaanza kumpa ushirikiano ili ally mpemba atakaporudi wasimuliane yeye na jini wake..
Ghafla katika hali isio ya kawaida nikaanza kusikia sauti ya nyororo mwanamke kichwani mwangu "nisaidie,nisaidie,nisaidie" tafadhali nitoe kwenye haya mateso.
sikuelewa ile sauti ilikuwa inatokea sehemu gani kwa maana kila nilipojaribu kumuangalia maya hakuwa akiongea wala kuchezesha mdomo.
Nikabaki na mwaswali ni nani huyo anayeomba msaada..
Nawezaje kumsaidia mtu huyo asiyeonekana..
Itaendelea
Maambukizo kutoka kwa "BAJANGA"!Huo siyo uandishi wa Kinyakyusa. Thats too noisy.
Hivyo ni jinsi kinavyotamkwa, siyo kinavyoandikwa
Chai,Ukisoma malalamiko ya wadau inaona kabisaa tuna kundi kuuubwa na jobless maana msijifanye wote ni walinzi mnaingia shift za usiku[emoji28][emoji28][emoji28] asubuhi, mchqnq jioni na usiku watu wapo hewani, ufanisi wa kazi upo kweli au ndio mnahudhuria kazini nq kusubiri muda ufike mtoke maana hata lama.mtu kajiajiri/kaajiriwa ana-concentrate na kazi sangapi?
Hapo ni sawa kabisa๐คMaambukizo kutoka kwa "BAJANGA"!
Hapo vipi?
Kule "PROUDLY NYAKYUSA", huwa napita tu!
Chai maelezo yangu au stori ya jamaa?Chai,
Nisubiri tuongozane mkuu namie naelekea huko uendako๐ถ๐ผโโ๏ธ๐ถ๐ผโโ๏ธ๐ถ๐ผโโ๏ธ๐ถ๐ผโโ๏ธNapita tu
Una roho ya peke ako we mdada,hapa nawaza kwa kutumia akili ya kichwa changu cha chini kuwa huwenda na sura yako ni nzur kama avatar๐๐barikiwa sana mwaya Antonnia ๐Lol Ndio naona saivi best wabheja sana!!!
Wapi Lovelovie Wigelekelo Mafian cartel Restless Hustler cocastic Saint Anne mmash Santos06 Glenn mambo kumekucha hukuuuu!
Nisubiri tuongozane mkuu namie naelekea huko uendako[emoji2214][emoji2214][emoji2214][emoji2214]
Kwakweli..masta mwenyewe anazingua kinonaa nawadeiz tuongozane huku Story mbilitatu tu ๐ถ๐ผโโ๏ธ๐ถ๐โ๏ธโ๏ธโ๏ธ!!Fuata nyuki ulambe asali
Hatimae umekuja,karibu sana wa nyumbani๐๐๐ Kinyaaa mkuu jitu haliogi ukiingizaa si nyumba yote itatema
Kuna yeyote humu amekufuata ๐ฅ kukuomba msaada wowote ule juu ya maisha yake!! Mtu kuwepo hewani muda mwingi wewe usiteseke bali kama uko bize endelea kuchapa kazi maana hiyo kazi inakusaidia weweUkisoma malalamiko ya wadau inaona kabisaa tuna kundi kuuubwa la jobless maana msijifanye wote ni walinzi mnaingia shift za usiku๐ ๐ ๐ .
Asubuhi, mchana, jioni na usiku watu wapo hewani, ufanisi wa kazi upo kweli au ndio mnahudhuria kazini na kusubiri muda ufike mtoke maana hata kama mtu kajiajiri/kaajiriwa ana-concentrate na kazi sangapi?