Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.

Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.

NAWASILISHA.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tutaamini vipi kama UMUGHAKA
Hajatia neno na id yake...
 
INawezekana. Maana mshikaji anachungulia tu na kusepa
 
Sidhani kama haya maelezo uliyotoa yeye kashindwa kutuambia kwa id yake
 
[emoji16][emoji16][emoji16] unaogopa nini sasa, huyo alikuwa na ratiba yake ya kuoga ndomana muda wote anawaka
Zamani sana tulikuwa tunafuga, siku hiyo naingia ndani akanirukia toka juu ya kabati kwa ghafla na ilikuwa giza macho yake yanawaka. Basi toka siku hiyo nawaogopa sana ingawa waliniambia alikuwa anataka mcheze tuu ila uwoga haujatoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…