[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.
Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.
NAWASILISHA.
Tutaamini vipi kama UMUGHAKAWAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.
Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.
NAWASILISHA.
mi niko tayariNani yupo tayr .....tuanze biashara ya paka????
INawezekana. Maana mshikaji anachungulia tu na kusepaWAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.
Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.
NAWASILISHA.
Sidhani kama haya maelezo uliyotoa yeye kashindwa kutuambia kwa id yakeWAkuu poleni sana na majukum. Huyu mshikaji niliwasiliana nae, anasema anashindwa kuwapa taarifa ya kuwa hataweza kuendelea na hii story. Anadai ni ya kweli kabisa hivyo baadhi ya watu wanaoifaham familia ya huyo mpemba walifikisha taarifa kwa familia na familia imempiga marufuku kuendelea.
Anaomba sana mumsamehe kwani hataweza tena kuendelea na story yake.
NAWASILISHA.
Mwanangu kuna karaha flani hivi unakapata ukiwa na hawa jamaa, kuna muda mnakuwa na bond yenye nguvu sanaView attachment 2486591View attachment 2486592
Uzuri paka hali chakula chenye sumuView attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?
Uzuri paka hali chakula chenye sumu
Wale wazee wa Moscow mnajua chakula kabla hujala unatakiwa ufanyaje[emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeua sana Paka kwa chakula chenye sumu.Uzuri paka hali chakula chenye sumu
Wale wazee wa Moscow mnajua chakula kabla hujala unatakiwa ufanyaje[emoji16][emoji16][emoji16]
Nimeua sana Paka kwa chakula chenye sumu.
Zamani sana tulikuwa tunafuga, siku hiyo naingia ndani akanirukia toka juu ya kabati kwa ghafla na ilikuwa giza macho yake yanawaka. Basi toka siku hiyo nawaogopa sana ingawa waliniambia alikuwa anataka mcheze tuu ila uwoga haujatoka.[emoji16][emoji16][emoji16] unaogopa nini sasa, huyo alikuwa na ratiba yake ya kuoga ndomana muda wote anawaka
Unavyotaka kuzuia hiko kipaka kisibebe Mimba unahisi ni sahihi?Unapata dhambi kubwa mno kuua paka au kiumbe kinachopumua unapata haki gan ya kutoa uhai kiumbe kingine hata mtu ushaua wewe
Una roho mbaya sana
Sasa azae nianze tafuta watu kuwagawa au wewe unaua loUnavyotaka kuzuia hiko kipaka kisibebe Mimba unahisi ni sahihi?
Me na wewe hatuna tofauti.
Hatuna tofauti, wote tuna roho mbayaSasa azae nianze tafuta watu kuwagawa au wewe unaua lo
Aku sitakiiii siwez kuwa kama weweHatuna tofauti, wote tuna roho mbaya
umughaka unazinguaBujibuji Simba Nyamaume Ambiele Kiviele episode imeshushwa njooni hapa
Mkanye tu kuwa asikubari kubeba mimba kabla ya kuolewaView attachment 2486777
Wangu huyu hapa siwezi muuza aisee ananipa raha mno ,nitumie dawa gani ya kuzuia asibebe mimba
Bado mdogo lakin ila Ndio anakaribia kukua?