Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kwa namna Farha (Maya) anavyomsifia Umughaka kwa shughuli nzuri,soon Ally mpemba anakatishiwa utajiri na anapewa Umughaka. Inaonekana burudani pekee anayoipenda Maya ni ngono,na tayari kampata dereva mzuri Umughaka,Mpemba anawekwa pembeni rasmi.
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kwa namna Farha (Maya) anavyomsifia Umughaka kwa shughuli nzuri,soon Ally mpemba anakatishiwa utajiri na anapewa Umughaka. Inaonekana burudani pekee anayoipenda Maya ni ngono,na tayari kampata dereva mzuri Umughaka,Mpemba anawekwa pembeni rasmi.
Tambua UMUGHAKA anasimulia yaliyopita 🤣 usije ukadhani yanatokea sasa hivi ndo anakuja kuandika.🤣🤣🤣🤣


Umughaka anaesimulia ndio yule alieenda Mbeya juzi hapa tukawa tunasubiri story yake na alienda kwa basi sio Audi🤣🤣🤣
 
Mkuu kipindi kile akiwa bado anamuamini shetani,kwa sasa amerudi kundini ndio maana anaenda mbeya na bus badala ya audi lake.
 
Ni sehem gan kwenye biblia pameandikwa "kulala na maiti/msukule ni kufuru"?????
 

Ndio maana nikasema maisha bila nidhamu, uvumilivu, utulivu huwezi kutoboa hata kama utakuwa na majini ya kukuletea magunia ya pesa. Watu huwa wanaanzia mbali sana. Hata hii JF imeanzia mbali sana Melo akiamua kuiuza kwa Zuckerberg, Elon Musk au Google atapata millions of dollar.
 
You will know the truth, and the truth will make you free." Bwana umughaka hakuijua kwer ila yeye alijua ni ukwer wakat ili ujue kama ni ukwer bible says tena mtaifahamu kweli, nayo hiyo kweli itawaweka huru.
 
Jamaa anajua kuachia story sehemu ambayo kila mtu anataka kujua kifuatacho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…