tongelao
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 780
- 2,161
Sasa wewe ndo abunuasi wenyeweHaiwezi kuonekana real story kwako coz umeilimit akili Yako kuamini hivyo!,
Amini nakuhakikishia! unachoulisha ubongo, ndicho ubongo wako anachokitafsiri! Akilini mwako.
Mtu mwenye akili timamu, anajua kutofautisha Kati ya upi mtama, na upi ulezi! Kwa ku- connect dots....!9
Mlinganyo wa matukio Toka story ya kwanza, unasadifu uhalisia wa anachokielezea hapa..
Hata baadhi ya maeneo aliyoyataja Kwa asilimia 85 nimefika baadhi ya hayo maeneo kuishi na kufanya Kazi...