Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Sasa wewe ndo abunuasi wenyewe
 
stori zake ni za kweli,hata kama anaongeza chumvi ni kidogo sana,,sio za kutunga kwa 100%•
 
Nikweli mkuu,mfano free mason!
 
Huyo farah ndio Maya. Oanisha matukio ya siku alipogongwa na jamaa alichelewa kuja kazini maana yake aliliwa mpk uchovu. Then anakuja msifia jamaa ni noma
Cha ajabu wakati Master anaambiwa awe anachukua 50,000 ya kuhemea makabeji,Farah alianza kuuliza kuwa mbona kila siku unachukua 50,000 mnabiashara gani na Ally
 
Inawezekana kwavile Umughaka alikuwa hajiusishi na wanawake sana kwahyo kibuyu kilikuwa kimejaa

Afu kwenye mgegedo hata ukilala na wale mademu wenye jasho kali linalonuka huwez kulisikia,utalisikia baadae akishaondoka pale unapobak peke yako
 
Cha ajabu wakati Master anaambiwa awe anachukua 50,000 ya kuhemea makabeji,Farah alianza kuuliza kuwa mbona kila siku unachukua 50,000 mnabiashara gani na Ally
alikua hajui kama jamaa ndiye anaye mwandalia makabegi mkuu.........,
kumbuka umugakha amemuona huyo kiumbe kwa mara ya kwanza alipotumwa na ally kwenda kufungua chumba kwa kuchelewa
 
Leteni na story za mapaka basi !
Juzi usiku wakati nimetoka kumcheat wife material wangu si nikaamua kupita ile njia ya lamboni kule nilikokutanaga na yule mrembo mwenye matako makubwa aisee nilikuta kuna mibonge ya paka inapandana halafu nilikuta stimu zishayapanda mpaka badala ya kulia myau myau yakawa yanalia maya maya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…