Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Upweke ni ugonjwa mbaya sana sasa mtu anataka apate faraja kupitia story za UMUGHAKA eti tunakoelekea Vijana tunaenda kuwa watu wa hovyo sanaa yaani. Kama mtu hatumi story fanya mambo mengine tu

Idiot indeed, aliyekuambia tunapata faraja kupitia story hii ni nani? am really sipendi mtu mwenye maringo kama mtoto wa kike kama umeamua kutoa story toa yote bila nyodo kwasababu hakuna mtu aliyemuomba huyu dada yako aje hapa kutoa story yake hapa.
 
Idiot indeed, aliyekuambia tunapata faraja kupitia story hii ni nani? am really sipendi mtu mwenye maringo kama mtoto wa kike kama umeamua kutoa story toa yote bila nyodo kwasababu hakuna mtu aliyemuomba huyu dada yako aje hapa kutoa story yake hapa.
Sometimes mambo hayaendi kama unavyotaka na ukiona hakuna Simulizi endelea na mambo mengine tu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ umenikumbusha kipind chs nyuma kidogo niliwahi ona ng'ombe mwenye kichwa kinacho fanana na binadamu kambi ya jeshi
 
Sometimes mambo hayaendi kama unavyotaka na ukiona hakuna Simulizi endelea na mambo mengine tu.

Mtoto wa kiume always hasusi wala kuleta nyodo angekua mtoto wa kike ndio anasimulia wala nisingecomplain hata kidogo cause ni asili yao kua na nyodo ila kwa mtoto wa kiume lazima tumuambie ukweli.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji1787] unatomba msukule unaonuka BAO zaidi ya Moja impossible

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mshikaji unabishana na hadithi? Ubishi peleka jukwaa la Great Thinkers, Jukwaa la Siasa na jukwaa la Intelligence.

Hapa ni kama kanisani, chochote anachosema UMUGHAKA hatupingi, tunaitikia ameeen papaaa, napokea...
 
Hizi story za watch out part2 huwa zinanikera Bora mtu asisimulie.
 
Antonnia kitalembwa To yeye mliisoma hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…