Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Amini siku atakapo poteza audience, maana sasa hivi amevimba kichwa kifala sana .itafika mahala tutampuuza Kama anavyopuuzwa mpwayungu village Nasoma tu heading nikiona mleta uzi ni huyo mpuuzi napita mbali mnoooUMUGHAKA TAKE CARE UNAWEZA KUPUNGUZA AUDIENCE PALE UNAPOKAA MUDA MREFU KUTOKA EPISODE MOJA MPAKA NYINGINE...
PSYCHOLOGICALLY MATAMANIO, UPENDO, TAMAA NA SHAUKU HUONGEZEKA TO THE ELASTIC LIMIT...IKISHAFIKA FIKA MWISHO HUPOROMOKA...
USIJE SHANGAA UNADONDOSHA EPISODE...ALAFU UKAPOKEA POOR RESPONSE KUTOKANA NA KUPUNGUA KWA AUDIENCE TOFAUTI NA ILIVYO HIVI SASA...
KITU KIREFU SANA NA KUCHUKUA MUDA MREFU ZAIDI HUPOTEZA MVUTO KADIRI MUDA UNAVYOZIDI KWENDA.
HII ITAATHIRI HATA UPANDE WAKO...KWA SABABU HATA WEWE KATIKA USIMULIAJI WAKO KUNA KITU UNAKIPATA NA KUKIPUNGUZA KWA UPANDE WAKO NI FAIDA VILEVILE...MWISHO WA SIKU NA WEWE INTEREST YA KUSIMULIA UTAPOTEZA KWA KUKOSA AUDIENCE...
HUJIULIZI KWANINI STORY ZINGINE HAZINA RESPONSE KAMA HII ULIYOPATA WEWE...ITS JUST BECAUSE TUNA EXPERIENCE NA STORY ZILIZOPITA ZILIISHA HARAKA...NA HII VILEVILE WE EXPECT ITAISHA HARAKA KAMA ZILE MBILI ZILIZOPITA...
OTHERWISE NA WEWE UTATUPOTEZA KAMA WENZAKO...ACHANA NA HUU UTARATIBU...ALIYEKUSHAURI HIVI KUWA WEEK AFTER WEEK HAKUPENDI NA HAKUTAKII MEMA...NA VILEVILE PENGINE ANAKUONEA WIVU KWA VILE ULIVYOTEKA AUDIENCE....FIKIRI...CHANGA KARATA ZAKO VEMA...
Ifike mahali na nyinyi mkue kaa...yaani mtu aache shughuli zake afanye kazi ya kuwaandikia, nyinyi mnamlipa shilingi ngapi? Muacheni afanye mambo yake akipata mda atawaandikia episode mpya ukiona anachelewa acha kufuatilia sio lazima maana yeye hanufaiki na chochote wewe ukisoma.Hata Amini siku atakapo poteza audience, maana sasa hivi amevimba kichwa kifala sana .itafika mahala tutampuuza Kama anavyopuuzwa mpwayungu village Nasoma tu heading nikiona mleta uzi ni huyo mpuuzi napita mbali mnooo
Anaendeshaje boda boda na alfwata mkononi,yale yale ya is it possibleNa kama kitu kipo real huwa kinahitaji muda halafu watu wanatukana na kupaniki pasipo kujua mazingira ya mwandishi yako vipi. Jamaa ni Dereva wa bodaboda muda wa kutulia na kuandika ni mchache kutokana na nature ya kazi yake. Watu wanatakiwa kuwa na subira tu.
Watu wanakesha humu MkuuMchaga mwenye vioja vyake
Kwani kakuita ili aje akuhadithie? Huenda alikua anaiandikia miti/mbuzi afu ww ndo ukajileta,, mana sijaona popote alipokutag!!!!Kama hapati hasara yoyote...aende akahadithie mbuzi huko au miti porini...
Watu arosto zinawatesa sana ***** dadeq[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaan mmekua mateja wa hadithi ya umugaka!!!!Hapangiwi na mtu kuhadithia...na sisi hatujamuomba aielete humu...
Kama alikuwa anaona hapati faida yoyote akahadithie ngedere porini...
Kama umeleta humu malizia...hutaki usilete kabisa...
Naona mnataka kututoa kwenye stori zetu za mapaka na kutupeleka kwenye stori zenu za mang'ombe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenikumbusha kipind chs nyuma kidogo niliwahi ona ng'ombe mwenye kichwa kinacho fanana na binadamu kambi ya jeshi
Kwani alfwata kamfunga mikono??Anaendeshaje boda boda na alfwata mkononi,yale yale ya is it possible
[emoji23][emoji23][emoji23]Natoka rasmi nitarudi baada ya miezi 2 najua atakuwa ameshafikisha episode 23
MnaanzaHivi mnaonaje jamii forum wakaanzisha nyuzi za kulipia au wangekuwa wanawalipa hata watoa story wenye audiences wengi kma inavokuwa youtube vile... The more audiences the more money
Ushaanza ushakunaku. Kakuomba?Hivi mnaonaje jamii forum wakaanzisha nyuzi za kulipia au wangekuwa wanawalipa hata watoa story wenye audiences wengi kma inavokuwa youtube vile... The more audiences the more money
Ni kweli kabisaHivi mnaonaje jamii forum wakaanzisha nyuzi za kulipia au wangekuwa wanawalipa hata watoa story wenye audiences wengi kma inavokuwa youtube vile... The more audiences the more money