Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

sehemu ya 21
Basi bwana,baada yakuona kwa macho yangu Farah alichokifanya,yaani kuingia chumbani kwa kaka yake bila kutumia ufunguo kama malaika,majini na wachawi wafanyavyo nilibaki kinywa wazi huku nikitafakari mimi ni mtu wa aina gani kukubali kuishi mazingira yaliyozungukwa na miujiza kama sio mauza uza

Nikakumbuka vile visa vya wachawi kule kwa baba mdogo headmaster, nikakumbuka kisa cha kuvua kule kambini kwa shemeji yangu ambako walikuwa wakifanya ushirikina wazi wazi nikiwashuhudia,tena nakumbuka kuna siku walimchinja mtoto ziwani huku nkishuhudia eti ili wapate samaki wengi

Nikakumbuka visa vya kipindi kile niko jambazi,jinsi nilivyopelekwa kwa mganga tukalimia meno mimi na msela wangu Mutatiro,nikakumbuka visa nilivyofanyiwa na mjomba Niko

Nikabaki tu nimeinamisha kichwa chini nikijiuliza ni ipi sababu ya mwenyezi mungu kuruhusu umughaka aje Duniani

Nikataka nifungue mlango ili niende kulala kule chumbani kwa Ally lakini nikapata hofu kuu kwa kutokujua aunt Farah atakuwa amepachikamo zana gani mpya nikafikia maamuzi ya kwenda kulala kwenye Audi yangu

Nilipofungua tu mlango wa gari ili nilale du sikuyaamini macho yangu kwa nilichokiona

Niliikuta ila shuka tuliyoitandika kitandani wakati nampelekea moto huyu Dada yake ally ikiwa imetandikwa kwenye siti za nyuma za gari.Nikabaki nimeduwaa tu nisijue kipi cha kufanya maana ndani hakulaliki na kwenye gari hakulaliki.Wakati nikiwa bado kwenye hiyo hali ya kuduwaa mara nikasikia sauti kama ya maya akiniita kwa jina langu la ulisyani(utotoni),mung'osi,mung'osi Maya akawa anaita nikaamua kupiga kimya lakini akawa sasa anaanza kugonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna kitu kinamuogopesha kukaa peke yake humo kwenye limjumba la kake yake mjalaana

Nikawa kama nimepatwa na ukichaa wa dakika mbili hivi,nikakimbilia kule mlangoni anakogonga maya tena nikarudi kule kwenye Audi yangu kwa speed ya bombardier (hili zoezi nililifanya mara kumi na mbili).Kiukweli nilikuwa kwenye state of confusion ambayo sijawahi kuwa nayo toka nizaliwe mimi umughaka

Baada ya kuona kelele za maya kugonga mlango ndio zimezidi na sasa alikuwa akilitaja jina langu la utoto kama vile mtu amtajavyo jina la bwana yesu ili amuokoe pindi akunapo na pepo mchafu,nikawa nimepata ujasiri wa ajabu sana,nikaamua niende niufungue tu mlango nimkamate maya na kumfungia huko huko chumbani kwake,halafu niende kule chumbani kwa bro Ally mpemba nikaangalie yule msagane(Farah) aliweka nini kisha nisubirie kitakachotokea maana haiwezekani niwe muoga kiasi hiki wakati nilitahiriwa bila ganzi wala nusu kaputi.Huyo mnyama umughaka nikajivisha ukomandoo na kuanza kuuelekea mlango wa nyumba,wakati nimekaribia kabisa kuufikia mlango nikasikia sauti za makelele ya maya zimekoma na kumekuwa na ukimya wa ajabu sana kana kwamba hakuna kilichotokea nikabaki nimeduwaa nisijue cha kufanya.Nikaamua tu nirudi kule kwenye Audi yangu niwashe AC nilale,kitu msichokijua wapenzi wasomaji licha ya kuwa mpenzi mkubwa wa soka vile vile mimi ni mpenzi mkubwa sana wa AC kiasi kwamba kuna kipindi hata sasa hivi nikiwa naendesha bodaboda huwa nalazimika kwenda dukani kwa Ally na kumlilia aniruhusu niingie kwenye ile Range yake ili japo nipate starehe ya AC hata kwa robo SAA tu jamani

Nikaiendea ile Audi yangu na kuufungua mlango kijasiri kabisa eti nikakuta ile shuka bwana aimo,nikaingia ndani na kuwasha AC kisha mwanaume nikalala huku nikifikiria kesho niende kule kwa kiheli nikamdorishie hili liaudi langu halafu baadae niende kule kwa yule muuza juice ninywe juice ya 20000 ili nione kama atanikubali haraka na mimi nijilie mzigo bwana kwani sh ngapi

Itaendelea
Ally mpemba anauliza kama unawashwa yaheee
 
Huu ndo upuuzi wa ngozi nyeusi vistory vitatu kashajiona super star kwasababu ushaona umateka fikra za watu hapa unapita kila siku unasoma comments unacheka tuu unaona unatukomoa fala wewe ungejua humu jamii forum kuna watu wanaweza kukudhamin ukachapisha vitabu ukawa umetoka kimaisha ila kwa dharau hizi huwezi kupata hata mdhamini fala wewe hata kama umetingwa na kazi sema watu wajue, from now am out na huu upuuzi endelea kudengua kama mtoto wa kike mbwa wewe. By the way sipo jobless nina kazi so watu msije sema sina kazi sema time kama hii nipo home nilikua napita kusoma story ya huyu kenge.
duh umeandika kwa uchungu mno. UMUGHAKA muonee huruma jamaa. Yani comment yako nimemithilisha na story ya sungura na ndizi, Baada ya kuruka sana na kushindwa kufikia ndizi akaamua aseme hazitaki hizo ndizi maana ni mbichi.
Itakuwa kidume umepiga jaramba ma page yote halafu hakuna muendelezo, ukaanza kumwaga nyongo sasa😀😀😀😀😀😀😀
 
sehemu ya 22 :
Nakuuliza wataka niletea umaskini miye masta,aliongea bro Ally kwa lafudhi yake ya kipemba akionekana kuwa mwenye jazba za kutosha.

Kabla hata sijafunua kinywa changu kumjibu akawa ameendelea kuongea.Masta umeshindwaje kusubiria mpaka ijumaaa ukamaliza haja zako za jimai kwa binti maya mpaka umeenda kulala na binti Rehema huku ukiwa umemvaa alfwata mkononi

Aliendelea kuongea bro Ally mpemba kwa jazba na muhemko ambao sio wa kawaida kabisa.Sasa masta wewe nimekupeleka unguja ukasilimu kwa hiari yako mwenyewe,kwa kinywa chako mwenyewe ukakubali kuwa muumini sasa kwa nini wafanya haya tena

Tena afadhali ungeyafanya haya mida ambayo sio ya maya wangu kupata chakula sasa wewe umeenda tapika wakati mwenzio ala

Bro Ally akawa kakata simu huku mimi nikiwa sijaelewa chochote alichokuwa amekizungumza na ukizingatia mimi sikuwa na uwezo wa kumpigia simu yake nikaamua tu kuiweka simu mezani na kurudi kumkumbatia Rehema wangu ambae ndio kaichukua nafasi ya Shamima mtoto wa kitanga,binti aliyefanya nipate zero advance licha ya kupata one ya 6 o-level

Baada ya kumpelekea Rehema moto wa kutosha kuunguza jengo la ghorofa 10 nilijikuta sasa nimechoka balaa nikajiliza pembeni ya Rehema na kupitiwana usingizi mzito

Nilipokuwa usingizini nikamuota Maya akiwa kajikunyata kwenye kona ya chumba chake huku eti akilia na kunilaumu sana kwa kosa nililomfanyia la kumsaliti kisa juice,akaendelea kulia mrembo Maya na kusema kama shida ilikuwa ni juice mbona hata yeye anayo nyingi sana tena yamchuruzika uken siku nzima,si ningesema tu anipatie ninywe


Itaendelea
 
sehemu ya 22 :
Nakuuliza wataka niletea umaskini miye masta,aliongea bro Ally kwa lafudhi yake ya kipemba akionekana kuwa mwenye jazba za kutosha.

Kabla hata sijafunua kinywa changu kumjibu akawa ameendelea kuongea.Masta umeshindwaje kusubiria mpaka ijumaaa ukamaliza haja zako za jimai kwa binti maya mpaka umeenda kulala na binti Rehema huku ukiwa umemvaa alfwata mkononi

Aliendelea kuongea bro Ally mpemba kwa jazba na muhemko ambao sio wa kawaida kabisa.Sasa masta wewe nimekupeleka unguja ukasilimu kwa hiari yako mwenyewe,kwa kinywa chako mwenyewe ukakubali kuwa muumini sasa kwa nini wafanya haya tena

Tena afadhali ungeyafanya haya mida ambayo sio ya maya wangu kupata chakula sasa wewe umeenda tapika wakati mwenzio ala

Bro Ally akawa kakata simu huku mimi nikiwa sijaelewa chochote alichokuwa amekizungumza na ukizingatia mimi sikuwa na uwezo wa kumpigia simu yake nikaamua tu kuiweka simu mezani na kurudi kumkumbatia Rehema wangu ambae ndio kaichukua nafasi ya Shamima mtoto wa kitanga,binti aliyefanya nipate zero advance licha ya kupata one ya 6 o-level

Baada ya kumpelekea Rehema moto wa kutosha kuunguza jengo la ghorofa 10 nilijikuta sasa nimechoka balaa nikajiliza pembeni ya Rehema na kupitiwana usingizi mzito

Nilipokuwa usingizini nikamuota Maya akiwa kajikunyata kwenye kona ya chumba chake huku eti akilia na kunilaumu sana kwa kosa nililomfanyia la kumsaliti kisa juice,akaendelea kulia mrembo Maya na kusema kama shida ilikuwa ni juice mbona hata yeye anayo nyingi sana tena yamchuruzika uken siku nzima,si ningesema tu anipatie ninywe


Itaendelea
Jukwaa liko wazi anzisha uzi wako tu kijana. Sijui manufaa unayoyatafuta hapa ni gani.
 
sehemu ya 22 :
Nakuuliza wataka niletea umaskini miye masta,aliongea bro Ally kwa lafudhi yake ya kipemba akionekana kuwa mwenye jazba za kutosha.

Kabla hata sijafunua kinywa changu kumjibu akawa ameendelea kuongea.Masta umeshindwaje kusubiria mpaka ijumaaa ukamaliza haja zako za jimai kwa binti maya mpaka umeenda kulala na binti Rehema huku ukiwa umemvaa alfwata mkononi

Aliendelea kuongea bro Ally mpemba kwa jazba na muhemko ambao sio wa kawaida kabisa.Sasa masta wewe nimekupeleka unguja ukasilimu kwa hiari yako mwenyewe,kwa kinywa chako mwenyewe ukakubali kuwa muumini sasa kwa nini wafanya haya tena

Tena afadhali ungeyafanya haya mida ambayo sio ya maya wangu kupata chakula sasa wewe umeenda tapika wakati mwenzio ala

Bro Ally akawa kakata simu huku mimi nikiwa sijaelewa chochote alichokuwa amekizungumza na ukizingatia mimi sikuwa na uwezo wa kumpigia simu yake nikaamua tu kuiweka simu mezani na kurudi kumkumbatia Rehema wangu ambae ndio kaichukua nafasi ya Shamima mtoto wa kitanga,binti aliyefanya nipate zero advance licha ya kupata one ya 6 o-level

Baada ya kumpelekea Rehema moto wa kutosha kuunguza jengo la ghorofa 10 nilijikuta sasa nimechoka balaa nikajiliza pembeni ya Rehema na kupitiwana usingizi mzito

Nilipokuwa usingizini nikamuota Maya akiwa kajikunyata kwenye kona ya chumba chake huku eti akilia na kunilaumu sana kwa kosa nililomfanyia la kumsaliti kisa juice,akaendelea kulia mrembo Maya na kusema kama shida ilikuwa ni juice mbona hata yeye anayo nyingi sana tena yamchuruzika uken siku nzima,si ningesema tu anipatie ninywe


Itaendelea
Ila wewe ni mwehuu 😆 😆 😆 😆
 
Back
Top Bottom