Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Ally mpemba anauliza kama unawashwa yaheee
 
duh umeandika kwa uchungu mno. UMUGHAKA muonee huruma jamaa. Yani comment yako nimemithilisha na story ya sungura na ndizi, Baada ya kuruka sana na kushindwa kufikia ndizi akaamua aseme hazitaki hizo ndizi maana ni mbichi.
Itakuwa kidume umepiga jaramba ma page yote halafu hakuna muendelezo, ukaanza kumwaga nyongo sasa😀😀😀😀😀😀😀
 
sehemu ya 22 :
Nakuuliza wataka niletea umaskini miye masta,aliongea bro Ally kwa lafudhi yake ya kipemba akionekana kuwa mwenye jazba za kutosha.

Kabla hata sijafunua kinywa changu kumjibu akawa ameendelea kuongea.Masta umeshindwaje kusubiria mpaka ijumaaa ukamaliza haja zako za jimai kwa binti maya mpaka umeenda kulala na binti Rehema huku ukiwa umemvaa alfwata mkononi

Aliendelea kuongea bro Ally mpemba kwa jazba na muhemko ambao sio wa kawaida kabisa.Sasa masta wewe nimekupeleka unguja ukasilimu kwa hiari yako mwenyewe,kwa kinywa chako mwenyewe ukakubali kuwa muumini sasa kwa nini wafanya haya tena

Tena afadhali ungeyafanya haya mida ambayo sio ya maya wangu kupata chakula sasa wewe umeenda tapika wakati mwenzio ala

Bro Ally akawa kakata simu huku mimi nikiwa sijaelewa chochote alichokuwa amekizungumza na ukizingatia mimi sikuwa na uwezo wa kumpigia simu yake nikaamua tu kuiweka simu mezani na kurudi kumkumbatia Rehema wangu ambae ndio kaichukua nafasi ya Shamima mtoto wa kitanga,binti aliyefanya nipate zero advance licha ya kupata one ya 6 o-level

Baada ya kumpelekea Rehema moto wa kutosha kuunguza jengo la ghorofa 10 nilijikuta sasa nimechoka balaa nikajiliza pembeni ya Rehema na kupitiwana usingizi mzito

Nilipokuwa usingizini nikamuota Maya akiwa kajikunyata kwenye kona ya chumba chake huku eti akilia na kunilaumu sana kwa kosa nililomfanyia la kumsaliti kisa juice,akaendelea kulia mrembo Maya na kusema kama shida ilikuwa ni juice mbona hata yeye anayo nyingi sana tena yamchuruzika uken siku nzima,si ningesema tu anipatie ninywe


Itaendelea
 
Jukwaa liko wazi anzisha uzi wako tu kijana. Sijui manufaa unayoyatafuta hapa ni gani.
 
Ila wewe ni mwehuu 😆 😆 😆 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…