Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Asante kipenzi Antonnia nimesoma.
Nimepata msamiati mpya kwa Kaka Umu Mfweni.
Inaonekana hatakiwi kupeleka moto, kwa mwanamke mwingine zaidi ya Maya. Utajiri wa hivi heeee πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»
Yaniiii ... tunapenda pesaa kumbe wengine ndio wanazipataga kwa masharti hivi kipenzi mimi pia utajiri wahivi hapanaaaa hapanaa!πŸ™Œ
 
Lee hatimae nimefika hapa
 
Acha kihere here tunga story Yani sio kurukia story ya mwenzako
 
Sema hajamtaja jina kwa hiyo sidhani kama ina mafhara sana

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Hii habari anayoieleza haipendezi halafu na yeye katoa location anaishi Mwanza na amesema huyo mtu ni tajiri yaani Majasusi wakiamua kufanya kazi yao hawashindwi na huyu anayezungumzia mambo ya siri ya families za watu anaingia kwenye mtego haraka sana. Kifupi tusiwe tunazungumzia mambo ya watu humu kwenye mitandao.
 
Ooh kama ametaja location na hizo description zingine ni rahisi watu kumfahamu
 
Hilo lipo wazi ,nimekupa tu Angalizo kwamba, kina ngosha wana mbinu zao zinazoweza kukufanya uvunje kiapo chako, be careful about wasukuma
Weeee thubutruuuuuuuu!!! Yaniii kumuacha huyu nitakua na ugonjwa wa akiliiii labda au nimerogwa!! Kajua kunichanganya walai Ana vitu ameiizzinngggg sio kidogooooo!! Kwake sisikiii wala sitaki kusikia cha msukuma wala cha mtangaaaa! 😎!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…