Sio lazima niamini kupitia kwa mtu, siku Ile Yesu alipopandishwa mlimani na shetani niliamini utajiri ni wa shetani. Mtu mwenye akili timamu anamuomba shetani utajiri. Tunaojikita kwa Mungu tutakufa masikini.
Vipi yule Ayubu aliyeuliwa watoto wake na kisha Mungu kumpatia watoto wengineMwenye utajiri wa Mungu unitajie, nipe mda nichambue, nitakuambia kama kweli ni wa Mungu. Akupe wewe ni nani? una vichwa viwili ili uwe tofauti na binadamu wengine? Kama wewe ni mkristu zingatia tu Yesu alipopelekwa pale mlimani na shetani utajua utajiri ni wa nani.
Mbona siku inakaribia kuisha sasa bila episodeSijasemea sekta hio mkuu!!
Nilimaanisha Kwenye mambo mengi tu!!
Yaniiii acha tuamini atakuja tu !Mbona siku inakaribia kuisha sasa bila episode
Naona Agent wa lucifer upo kazin!![emoji107][emoji107]Hadithi nyingine za Biblia ni za sungura, wewe tumia akili yako utagundua utajiri asili yake ni nini! Hata kama Yesu hangepelekwa mlimani utagundua mwenyewe utajiri ni katika ulimwengu wa roho .
Huu uongo sasaHao agent wa shetani ni hao wamekuletea teknologia na unaitumia. Nyakati za mwisho utashangaa!! "Kumbe nilikuwa namtumikia shetani"
Nikafikili ni chawa wakeYaniiii acha tuamini atakuja tu !
Nilikuwa bize mbaya,i promise next episode.Sasa hiv hata unitag
Khakhakhaaaa.. Hapana!Nikafikili ni chawa wake
Wametengenezewa Wa Africa hizo story mbona China, Japan, Korea zote hawaamini Quran au Biblia na kila siku Mu Africa anayeamini hivyo vitabu yupo huko kuomba misaada ya Kifedha, Teknolojia hata dawa? Kuna rafiki yangu Mjerumani alikuwa ananiambia hata kwao Vijana hawaendi Makanisani wanaoenda ni Wazee tu miaka 90+na Makanisa mengi yamegeuzwa Bar.Hadithi nyingine za Biblia ni za sungura, wewe tumia akili yako utagundua utajiri asili yake ni nini! Hata kama Yesu hangepelekwa mlimani utagundua mwenyewe utajiri ni katika ulimwengu wa roho .
Haipendezi hii Mkuu unachukuje picha ya mtu unapost bila ridhaa yake?Hata kama wewe ni UMUGHAKA
Na huyu ndio Rey unafanyaje Sasa[emoji23][emoji23]View attachment 2498609