Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

@Demi njoo umuone steve
 
uyu jamaa ako anatatizo, Pisi zote za town na uHandsome
 
Nmecheka kisenge[emoji1787]
 
Kweli mkuu hili limura tulipigie kura maana sio lizinguaji kama mpwayungu village
 
Naona UMUGHAKA ameamua kutubadilishia upepo baada ya ile comment iliyotaka apigiwe kura ya mtu wa hovyo sana kwa kutapeliwa kila wakati ameamua saa hii amgeuzie kibao Steve eti ndio kaibiwa vitu vya ndani, kwa matukio ya hadithi zake zote tatu inaonekana kabisa Umughaka ndio alitapeliwa vitu na demu.
 
Punguza kiherehere mkuu
 
Umeonaa eh alivyotapeliwa kirahisi milion 9 za dhuluma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…