Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 09.




Mwenye duka "Mambo vipi?"

Mimi "Shwari"

Mwenye duka "Jamaa yako anahama nini!"

Mimi "Nani?"

Mwenye duka "Jamaa yako na Mmakonde wake!"

Mimi "Steve?"

Mwenye duka "Eeh!"

Mimi "Wanahama lini?"

Mwenye duka "Naona wanapakia vitu kwenye Suzuki carry"

Mimi "Mbona hajaniambia!"

Mwenye duka "Nyie si marafiki!,ina maana rafiki yako anahama wewe hujui!"

Mimi "Labda wameona waondoke kimya kimya kaka"

Mwenye duka "Sawa bhana baadae"


Baada ya huyo mwenye duka kukata simu nilibaki kushangaa kwasababu zilikuwa ni sababu zipi zinafanya Steve ahame bila kunipa taarifa kama mshikaji wake wa karibu?,nilidhani uenda aliamua kuhama kwasababu alishachoka maneno mengi kuhusu huyo mkewe yaliyokuwa yakizungumzwa hapo mtaani,niliamua kumpigia simu ili kufahamu kilichokuwa kinaendelea na kwanini asiniage kama rafiki yake?

Nilipopiga simu yake ikawa inaita tu bila kupokelewa,nikapiga tena lakini ikawa haipokelewi,baada ya dakika 15 jamaa akanipigia yeye mwenyewe.

Steve "Kaka nilikuwa bize na mteja,nambie mwanangu"

Mimi "Uko Tandika?"

Steve "Yeah niko Tandika"

Mimi "Duuu mi nadhani uko maskani!"

Steve "Mapema yote hii kaka nyumbani nitafute nini?"

Mimi "Kwani pale nyumbani unahama?"

Steve "Nahama?,nahama naenda wapi?"

Mimi "Mbona nimepigiwa simu na mzee beda anasema mkeo anapakia vyombo kwe gari hivyo alidhani mnahama!"

Steve "Unasema?"

Mimi "Mpigie mzee beda umuulize"


Baada ya mazungumzo hayo ambayo ni kama yalimshitua Steve,alikata simu akawa amempigia yule jamaa aliyekuwa na duka kando ya nyumba tulivyokuwa tumepanga.Haukupita muda Steve akawa amenipigia simu tena.


Steve "Kaka ngoja kwanza niwahi nyumbani"

Mimi "Ni kweli?"

Steve "Ni kweli kaka"

Mimi "Anapeleka wapi vyombo au anatoroka?"

Steve "Ngoja niwahi kaka!"

Jamaa alionekana kupagawa sana na asijue ni kitu gani cha kufanya,kiukweli yule demu nilishamshauri sana kama mshikaji wake aachane nae lakini jamaa nikama alikuwa amerogwa,yule demu alikuwa akimfanyia vituko vya kila aina lakini Steve alikuwa haambiliki wala ashauriki,sikuwahi kuelewa ni kitu gani kilimfanya Steve apagawe kwa kile kitoto cha kimakonde.Pasipokuelewa ni kitu gani kilikuwa kinaendelea,mimi niliendelea kupiga zangu kazi kama kawaida.

Ilipofika mida ya saa 11 jioni,Steve akawa amenipigia simu tena akiwa analia kana kwamba kafiwa.

Steve "Kaka Zubeda kaondoka"

Mimi "Acha kulia mwanangu nakuja muda siyo mrefu"

Steve "Kaka Zuu wangu wamemchukua"

Mimi "Nakuja kaka wewe nisubiri"


Jamaa alikuwa akilia kama tahira,sikujua Steve alikuwaga akisimbuliwa na kitu gani kwasababu jamaa alikuwa na sura ya kirembo(Handsome) na kiukweli ungemuona usingedhani kama alikuwa mpumbavu wa kulilia mwanamke kiasi kile.Ilipofika saa 11 : 30 niliamua kukunja ile meza pamoja na mwamvuli nikapeleka mahali ambapo nilikuwa natunzia kila siku,mwaka ule ilipokuwa ikifika saa 12 : 00 jioni na usajili pia ulikuwa unasitishwa,sasa wakati naondoka yule brother wa lile duka la simu(Sitamtaja jina lake halisi kwasababu maalumu,hivyo nitampatia jina la Ally Mpemba) akawa ameniita na mara zote nikiwa pale alikuwa akiniita "Master",alipenda kuniita kwa utani hivyo kwasababu alikuwa akiona shughuli niliyokuwa nikiifanya ndipo akawa ananiita hivyo Master,alikuwaga ananiambia "Aisee wewe nakukubali sana,wewe ni master wa hizi kazi".Kwahiyo ikaenda kimzaha mzaha hivyo hadi akawa ananiita master,jamaa alikuwa ni mpemba lakini vilevile alikuwa mwarabu,nadhani tunafahamu jamaa wanavyokuwaga.

Ally Mpemba "Mbona wawahi kufunga leo,kunani!"

Mimi "Ndiyo muda wenyewe huu kaka"

Ally mpemba "Aaah Master siyo kawaida yako!"

Mimi "Kuna ishu naiwahi maskani kaka"

Ally mpemba "Kesho nikitoka kuswali,tuonane basi!"

Mimi "Tutaonana kaka,si utakuwepo?"

Ally mwarabu "Nadhani nitakuwa kule Aggrey,hapa atakuwepo dada yako"

Mimi "Sawa kaka haina tatizo"

Sasa kumbe mara zote mimi nimekuwa nikifikiria yule Aunt ninayemkuta pale dukani anayependa kujifunika Nikabu ni mkewe kumbe alikuwa ni dada yake;baada ya mazungumzo na Ally niliondoka zangu kwenda kufukuzana na magari ya Gongo la mboto.

Namshukuru Mungu niliingia Gongo la mboto mida ya saa 1 usiku,nilipofika pale nyumbani nilikuta Steve amekaa kwenye mlango wa chumba chake,nilipitiliza moja kwa moja hadi kwa Steve.

Mimi "Vipi?"

Steve "Ali siyo poa kaka"

Niliingia ndani ya kile chumba nikakuta vitu muhimu vyote vimekombwa na yule demu wake,alichokuwa ameacha ni vyombo vya kupikia tu,lakini TV chogo,friji,jiko la gesi,mashuka na vitu vidogo vidogo vyote alikomba.

Mimi "Aiseee,sasa utafanyaje?"

Steve "Nampigia simu zangu hapokei!"

Mimi "Kwani mligombana jana?"

Steve "Tangu siku ile kaka huwezi amini sijagombana nae"

Mimi "Kwani kwao ni wapi?"

Steve "Kwao Mtwara kaka ila yupo dada yake pale Mombasa ndipo alipokuwa anakaa kabla sijamchukua"

Mimi "Dada yake ushampigia simu?"

Steve "Nimempigia akaniambia huyo hawezi kwenda sehemu nyingine zaidi ya kwa bwana ake wa zamani kwasababu hapa mjini hana ndugu mwingine tofauti na yeye"

Mimi "Kwahiyo na wewe umekubali aondoke na vyombo vyako kwenda kwa bwana ake huyo?"

Steve "Sasa kaka nitafanyaje?"

Kiukweli nilitamani kumzibua mabao ya kutosha yule jamaa kwa upumbavu alokuwa akiongea mbele yangu lakini niliamua kuwa mtulivu kwasababu mambo yao yalikuwa hayanihusu,kilichokuwa kinanikwaza ni namna Steve alikuwa akiumia lakini kila ukimuongelea huyo demu vibaya ni kama anachukia,sikujua yule jamaa alipewa nini na yule demu aisee!.

Mimi "Huyo mshikaji wake unamfahamu?"

Steve "Kama ndiye huyo dada yake aliyeniambia namfahamu kaka na mara kadhaa tu nimekuwa nikimfata hapo"

Mimi "Daaah ila wewe jamaa nae,sasa unafahamu kabisa demu wako anakusaliti halafu bado unaendelea nae kweli,hata kama ni kupenda mwanangu wewe umepitiliza"

Steve "Nisindikize kaka mi nikafate vyombo vyangu tu"

Mimi "Ni wapi?"

Steve "Ni hapo Pugu kajiungeni"

Sasa nilitoka nje kwenda kupiga strori kadhaa na yule jamaa wa dukani na kweli alisema ile Suzuki carry ilielekea uelekeo wa njia ya Pugu na jamaa pia alishangaa namna Steve alivyokuwa bwege kiasi kile.

Tuliondoka huo usiku kuelekea Pugu kajiungeni,tulipofika Steve aliamua kuniongoza hadi hapo kwenye hiyo nyumba aliyokuwa anakaa huyo jamaa ambaye alikuwa anamgonga huyo demu wake.Tulipofika Steve akaanza kugonga kile chumba ambacho kilikuwa kimefungwa kwa ndani,baada ya kugonga sana alitoka jamaa mmoja chokoraa tu akiwa kifua wazi.

Jamaa "Vipi"

Steve "Poa,Zuu yupo?"

Jamaa "Zuu?,Zuu yupi?"

Steve "Sadi hebu achana maswali ya kisenge,ina maana wewe leo humjui Zuu?"

Jamaa "Zuu wapo wengi sijui wewe unamtafuta yupi!"

Steve "Demu wangu"

Jamaa "Sasa demu wako hapa kafata nini!"

Muda huo niko pembeni nasikiliza yale malumbano nilikuwa nimechulia kishenzi,kibaya zaidi kuna majirani ambao nao walikuwa wamepanga kwenye ile nyumba walikuwa nje wakipika huku wakisikiliza na kujionea lile sekeseke.Baada ya kuona wanaigiza niliamua kusogea karibu na kumuuliza swali yule dogo.

Mimi "Wewe zuu unamjua au humjui?"

Jamaa "Brother,huyo Zuu anayemuongelea huyu ni demu wangu"

Mimi "Yupo au hayupo?"

Jamaa "Yupo!"

Mimi "Basi muite"

Jamaa baada ya kuona niko serious alifunga ule mlango akarudi ndani kisha akawa ametoka na kile kidemu.Baada ya kutoka Steve alibaki kujing'ata ng'ata hata kuongea ni kama alishindwa.Baada ya kuona jamaa haongei anabaki kushangaa ilibidi niingilie kati.

Mimi "Vitu vya jamaa viko wapi?"

Zubeda "Vitu gani?"

Mimi "Kwani wewe umechukua vitu gani?"

Zubeda "Vitu nilivyochukua ni vyangu,mmh kuna swali lingine!"

Mimi "Steve hebu pambana na demu wako mi naondoka"

Steve "Kaka usiniache"

Mimi "Kilichotuleta huku ni vitu na unasikia anasema si vyako,sasa hapa tunafanya nini?"

Steve "Zuu hivyo vitu ni vyako unauhakika?"

Zubeda "Nishasema vitu nilivyochukua ni vyangu,vyako nimekuachia nadhani umevikuta"

Steve "Naomba nichukue vitu vyangu nisije kufanya vurugu hapa"

Zubeda "Weeeee ishia hapo hapo,ina maana ulikuwa unanitomba bure!"

Aliendelea "Ina maana ulikuwa unanifira bure?"

Zubeda "Acha ujinga firauni wewe"

Aliendelea "Yaani ulidhani huu mwili niwa kushikwa bure bure tu!"

Yale maneno machafu yalipelekea wale kina mama kuanza kucheka,nilimwambia Steve tuondoke,japo jamaa alikuwa akitetemeka lakini niliamua kumuondoa lile eneo na kuondoka zetu,kiukweli kile kidemu hakikuwaga na aibu hata kidogo na nilikuwa namshangaa sana Steve anawezaje kuwaacha mademu wakali wa pale ofisini akaenda kutembea na kile kichakubimbi.

Mimi "Vitu vinanunuliwa we tuondoke!"

Steve "Kaka ila Zuu nampenda,siwezi kuondoka nikamuacha kaka ni bora nife"

Mimi "Yaani unaona bora ufe kwa ajili ya mwanamke?"

Mimi "Ok,rudi ukafe!"

Niliondoka zangu lile eneo nikamuacha jamaa akiwa amekaa chini machozi yakimtoka kama tahira.Baada ya kufika nyumbani nilipika msosi nikala kisha nikaingia chumbani kulala.


Itaendelea.........
@Demi njoo umuone steve
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 09.




Mwenye duka "Mambo vipi?"

Mimi "Shwari"

Mwenye duka "Jamaa yako anahama nini!"

Mimi "Nani?"

Mwenye duka "Jamaa yako na Mmakonde wake!"

Mimi "Steve?"

Mwenye duka "Eeh!"

Mimi "Wanahama lini?"

Mwenye duka "Naona wanapakia vitu kwenye Suzuki carry"

Mimi "Mbona hajaniambia!"

Mwenye duka "Nyie si marafiki!,ina maana rafiki yako anahama wewe hujui!"

Mimi "Labda wameona waondoke kimya kimya kaka"

Mwenye duka "Sawa bhana baadae"


Baada ya huyo mwenye duka kukata simu nilibaki kushangaa kwasababu zilikuwa ni sababu zipi zinafanya Steve ahame bila kunipa taarifa kama mshikaji wake wa karibu?,nilidhani uenda aliamua kuhama kwasababu alishachoka maneno mengi kuhusu huyo mkewe yaliyokuwa yakizungumzwa hapo mtaani,niliamua kumpigia simu ili kufahamu kilichokuwa kinaendelea na kwanini asiniage kama rafiki yake?

Nilipopiga simu yake ikawa inaita tu bila kupokelewa,nikapiga tena lakini ikawa haipokelewi,baada ya dakika 15 jamaa akanipigia yeye mwenyewe.

Steve "Kaka nilikuwa bize na mteja,nambie mwanangu"

Mimi "Uko Tandika?"

Steve "Yeah niko Tandika"

Mimi "Duuu mi nadhani uko maskani!"

Steve "Mapema yote hii kaka nyumbani nitafute nini?"

Mimi "Kwani pale nyumbani unahama?"

Steve "Nahama?,nahama naenda wapi?"

Mimi "Mbona nimepigiwa simu na mzee beda anasema mkeo anapakia vyombo kwe gari hivyo alidhani mnahama!"

Steve "Unasema?"

Mimi "Mpigie mzee beda umuulize"


Baada ya mazungumzo hayo ambayo ni kama yalimshitua Steve,alikata simu akawa amempigia yule jamaa aliyekuwa na duka kando ya nyumba tulivyokuwa tumepanga.Haukupita muda Steve akawa amenipigia simu tena.


Steve "Kaka ngoja kwanza niwahi nyumbani"

Mimi "Ni kweli?"

Steve "Ni kweli kaka"

Mimi "Anapeleka wapi vyombo au anatoroka?"

Steve "Ngoja niwahi kaka!"

Jamaa alionekana kupagawa sana na asijue ni kitu gani cha kufanya,kiukweli yule demu nilishamshauri sana kama mshikaji wake aachane nae lakini jamaa nikama alikuwa amerogwa,yule demu alikuwa akimfanyia vituko vya kila aina lakini Steve alikuwa haambiliki wala ashauriki,sikuwahi kuelewa ni kitu gani kilimfanya Steve apagawe kwa kile kitoto cha kimakonde.Pasipokuelewa ni kitu gani kilikuwa kinaendelea,mimi niliendelea kupiga zangu kazi kama kawaida.

Ilipofika mida ya saa 11 jioni,Steve akawa amenipigia simu tena akiwa analia kana kwamba kafiwa.

Steve "Kaka Zubeda kaondoka"

Mimi "Acha kulia mwanangu nakuja muda siyo mrefu"

Steve "Kaka Zuu wangu wamemchukua"

Mimi "Nakuja kaka wewe nisubiri"


Jamaa alikuwa akilia kama tahira,sikujua Steve alikuwaga akisimbuliwa na kitu gani kwasababu jamaa alikuwa na sura ya kirembo(Handsome) na kiukweli ungemuona usingedhani kama alikuwa mpumbavu wa kulilia mwanamke kiasi kile.Ilipofika saa 11 : 30 niliamua kukunja ile meza pamoja na mwamvuli nikapeleka mahali ambapo nilikuwa natunzia kila siku,mwaka ule ilipokuwa ikifika saa 12 : 00 jioni na usajili pia ulikuwa unasitishwa,sasa wakati naondoka yule brother wa lile duka la simu(Sitamtaja jina lake halisi kwasababu maalumu,hivyo nitampatia jina la Ally Mpemba) akawa ameniita na mara zote nikiwa pale alikuwa akiniita "Master",alipenda kuniita kwa utani hivyo kwasababu alikuwa akiona shughuli niliyokuwa nikiifanya ndipo akawa ananiita hivyo Master,alikuwaga ananiambia "Aisee wewe nakukubali sana,wewe ni master wa hizi kazi".Kwahiyo ikaenda kimzaha mzaha hivyo hadi akawa ananiita master,jamaa alikuwa ni mpemba lakini vilevile alikuwa mwarabu,nadhani tunafahamu jamaa wanavyokuwaga.

Ally Mpemba "Mbona wawahi kufunga leo,kunani!"

Mimi "Ndiyo muda wenyewe huu kaka"

Ally mpemba "Aaah Master siyo kawaida yako!"

Mimi "Kuna ishu naiwahi maskani kaka"

Ally mpemba "Kesho nikitoka kuswali,tuonane basi!"

Mimi "Tutaonana kaka,si utakuwepo?"

Ally mwarabu "Nadhani nitakuwa kule Aggrey,hapa atakuwepo dada yako"

Mimi "Sawa kaka haina tatizo"

Sasa kumbe mara zote mimi nimekuwa nikifikiria yule Aunt ninayemkuta pale dukani anayependa kujifunika Nikabu ni mkewe kumbe alikuwa ni dada yake;baada ya mazungumzo na Ally niliondoka zangu kwenda kufukuzana na magari ya Gongo la mboto.

Namshukuru Mungu niliingia Gongo la mboto mida ya saa 1 usiku,nilipofika pale nyumbani nilikuta Steve amekaa kwenye mlango wa chumba chake,nilipitiliza moja kwa moja hadi kwa Steve.

Mimi "Vipi?"

Steve "Ali siyo poa kaka"

Niliingia ndani ya kile chumba nikakuta vitu muhimu vyote vimekombwa na yule demu wake,alichokuwa ameacha ni vyombo vya kupikia tu,lakini TV chogo,friji,jiko la gesi,mashuka na vitu vidogo vidogo vyote alikomba.

Mimi "Aiseee,sasa utafanyaje?"

Steve "Nampigia simu zangu hapokei!"

Mimi "Kwani mligombana jana?"

Steve "Tangu siku ile kaka huwezi amini sijagombana nae"

Mimi "Kwani kwao ni wapi?"

Steve "Kwao Mtwara kaka ila yupo dada yake pale Mombasa ndipo alipokuwa anakaa kabla sijamchukua"

Mimi "Dada yake ushampigia simu?"

Steve "Nimempigia akaniambia huyo hawezi kwenda sehemu nyingine zaidi ya kwa bwana ake wa zamani kwasababu hapa mjini hana ndugu mwingine tofauti na yeye"

Mimi "Kwahiyo na wewe umekubali aondoke na vyombo vyako kwenda kwa bwana ake huyo?"

Steve "Sasa kaka nitafanyaje?"

Kiukweli nilitamani kumzibua mabao ya kutosha yule jamaa kwa upumbavu alokuwa akiongea mbele yangu lakini niliamua kuwa mtulivu kwasababu mambo yao yalikuwa hayanihusu,kilichokuwa kinanikwaza ni namna Steve alikuwa akiumia lakini kila ukimuongelea huyo demu vibaya ni kama anachukia,sikujua yule jamaa alipewa nini na yule demu aisee!.

Mimi "Huyo mshikaji wake unamfahamu?"

Steve "Kama ndiye huyo dada yake aliyeniambia namfahamu kaka na mara kadhaa tu nimekuwa nikimfata hapo"

Mimi "Daaah ila wewe jamaa nae,sasa unafahamu kabisa demu wako anakusaliti halafu bado unaendelea nae kweli,hata kama ni kupenda mwanangu wewe umepitiliza"

Steve "Nisindikize kaka mi nikafate vyombo vyangu tu"

Mimi "Ni wapi?"

Steve "Ni hapo Pugu kajiungeni"

Sasa nilitoka nje kwenda kupiga strori kadhaa na yule jamaa wa dukani na kweli alisema ile Suzuki carry ilielekea uelekeo wa njia ya Pugu na jamaa pia alishangaa namna Steve alivyokuwa bwege kiasi kile.

Tuliondoka huo usiku kuelekea Pugu kajiungeni,tulipofika Steve aliamua kuniongoza hadi hapo kwenye hiyo nyumba aliyokuwa anakaa huyo jamaa ambaye alikuwa anamgonga huyo demu wake.Tulipofika Steve akaanza kugonga kile chumba ambacho kilikuwa kimefungwa kwa ndani,baada ya kugonga sana alitoka jamaa mmoja chokoraa tu akiwa kifua wazi.

Jamaa "Vipi"

Steve "Poa,Zuu yupo?"

Jamaa "Zuu?,Zuu yupi?"

Steve "Sadi hebu achana maswali ya kisenge,ina maana wewe leo humjui Zuu?"

Jamaa "Zuu wapo wengi sijui wewe unamtafuta yupi!"

Steve "Demu wangu"

Jamaa "Sasa demu wako hapa kafata nini!"

Muda huo niko pembeni nasikiliza yale malumbano nilikuwa nimechulia kishenzi,kibaya zaidi kuna majirani ambao nao walikuwa wamepanga kwenye ile nyumba walikuwa nje wakipika huku wakisikiliza na kujionea lile sekeseke.Baada ya kuona wanaigiza niliamua kusogea karibu na kumuuliza swali yule dogo.

Mimi "Wewe zuu unamjua au humjui?"

Jamaa "Brother,huyo Zuu anayemuongelea huyu ni demu wangu"

Mimi "Yupo au hayupo?"

Jamaa "Yupo!"

Mimi "Basi muite"

Jamaa baada ya kuona niko serious alifunga ule mlango akarudi ndani kisha akawa ametoka na kile kidemu.Baada ya kutoka Steve alibaki kujing'ata ng'ata hata kuongea ni kama alishindwa.Baada ya kuona jamaa haongei anabaki kushangaa ilibidi niingilie kati.

Mimi "Vitu vya jamaa viko wapi?"

Zubeda "Vitu gani?"

Mimi "Kwani wewe umechukua vitu gani?"

Zubeda "Vitu nilivyochukua ni vyangu,mmh kuna swali lingine!"

Mimi "Steve hebu pambana na demu wako mi naondoka"

Steve "Kaka usiniache"

Mimi "Kilichotuleta huku ni vitu na unasikia anasema si vyako,sasa hapa tunafanya nini?"

Steve "Zuu hivyo vitu ni vyako unauhakika?"

Zubeda "Nishasema vitu nilivyochukua ni vyangu,vyako nimekuachia nadhani umevikuta"

Steve "Naomba nichukue vitu vyangu nisije kufanya vurugu hapa"

Zubeda "Weeeee ishia hapo hapo,ina maana ulikuwa unanitomba bure!"

Aliendelea "Ina maana ulikuwa unanifira bure?"

Zubeda "Acha ujinga firauni wewe"

Aliendelea "Yaani ulidhani huu mwili niwa kushikwa bure bure tu!"

Yale maneno machafu yalipelekea wale kina mama kuanza kucheka,nilimwambia Steve tuondoke,japo jamaa alikuwa akitetemeka lakini niliamua kumuondoa lile eneo na kuondoka zetu,kiukweli kile kidemu hakikuwaga na aibu hata kidogo na nilikuwa namshangaa sana Steve anawezaje kuwaacha mademu wakali wa pale ofisini akaenda kutembea na kile kichakubimbi.

Mimi "Vitu vinanunuliwa we tuondoke!"

Steve "Kaka ila Zuu nampenda,siwezi kuondoka nikamuacha kaka ni bora nife"

Mimi "Yaani unaona bora ufe kwa ajili ya mwanamke?"

Mimi "Ok,rudi ukafe!"

Niliondoka zangu lile eneo nikamuacha jamaa akiwa amekaa chini machozi yakimtoka kama tahira.Baada ya kufika nyumbani nilipika msosi nikala kisha nikaingia chumbani kulala.


Itaendelea.........
uyu jamaa ako anatatizo, Pisi zote za town na uHandsome
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 09.




Mwenye duka "Mambo vipi?"

Mimi "Shwari"

Mwenye duka "Jamaa yako anahama nini!"

Mimi "Nani?"

Mwenye duka "Jamaa yako na Mmakonde wake!"

Mimi "Steve?"

Mwenye duka "Eeh!"

Mimi "Wanahama lini?"

Mwenye duka "Naona wanapakia vitu kwenye Suzuki carry"

Mimi "Mbona hajaniambia!"

Mwenye duka "Nyie si marafiki!,ina maana rafiki yako anahama wewe hujui!"

Mimi "Labda wameona waondoke kimya kimya kaka"

Mwenye duka "Sawa bhana baadae"


Baada ya huyo mwenye duka kukata simu nilibaki kushangaa kwasababu zilikuwa ni sababu zipi zinafanya Steve ahame bila kunipa taarifa kama mshikaji wake wa karibu?,nilidhani uenda aliamua kuhama kwasababu alishachoka maneno mengi kuhusu huyo mkewe yaliyokuwa yakizungumzwa hapo mtaani,niliamua kumpigia simu ili kufahamu kilichokuwa kinaendelea na kwanini asiniage kama rafiki yake?

Nilipopiga simu yake ikawa inaita tu bila kupokelewa,nikapiga tena lakini ikawa haipokelewi,baada ya dakika 15 jamaa akanipigia yeye mwenyewe.

Steve "Kaka nilikuwa bize na mteja,nambie mwanangu"

Mimi "Uko Tandika?"

Steve "Yeah niko Tandika"

Mimi "Duuu mi nadhani uko maskani!"

Steve "Mapema yote hii kaka nyumbani nitafute nini?"

Mimi "Kwani pale nyumbani unahama?"

Steve "Nahama?,nahama naenda wapi?"

Mimi "Mbona nimepigiwa simu na mzee beda anasema mkeo anapakia vyombo kwe gari hivyo alidhani mnahama!"

Steve "Unasema?"

Mimi "Mpigie mzee beda umuulize"


Baada ya mazungumzo hayo ambayo ni kama yalimshitua Steve,alikata simu akawa amempigia yule jamaa aliyekuwa na duka kando ya nyumba tulivyokuwa tumepanga.Haukupita muda Steve akawa amenipigia simu tena.


Steve "Kaka ngoja kwanza niwahi nyumbani"

Mimi "Ni kweli?"

Steve "Ni kweli kaka"

Mimi "Anapeleka wapi vyombo au anatoroka?"

Steve "Ngoja niwahi kaka!"

Jamaa alionekana kupagawa sana na asijue ni kitu gani cha kufanya,kiukweli yule demu nilishamshauri sana kama mshikaji wake aachane nae lakini jamaa nikama alikuwa amerogwa,yule demu alikuwa akimfanyia vituko vya kila aina lakini Steve alikuwa haambiliki wala ashauriki,sikuwahi kuelewa ni kitu gani kilimfanya Steve apagawe kwa kile kitoto cha kimakonde.Pasipokuelewa ni kitu gani kilikuwa kinaendelea,mimi niliendelea kupiga zangu kazi kama kawaida.

Ilipofika mida ya saa 11 jioni,Steve akawa amenipigia simu tena akiwa analia kana kwamba kafiwa.

Steve "Kaka Zubeda kaondoka"

Mimi "Acha kulia mwanangu nakuja muda siyo mrefu"

Steve "Kaka Zuu wangu wamemchukua"

Mimi "Nakuja kaka wewe nisubiri"


Jamaa alikuwa akilia kama tahira,sikujua Steve alikuwaga akisimbuliwa na kitu gani kwasababu jamaa alikuwa na sura ya kirembo(Handsome) na kiukweli ungemuona usingedhani kama alikuwa mpumbavu wa kulilia mwanamke kiasi kile.Ilipofika saa 11 : 30 niliamua kukunja ile meza pamoja na mwamvuli nikapeleka mahali ambapo nilikuwa natunzia kila siku,mwaka ule ilipokuwa ikifika saa 12 : 00 jioni na usajili pia ulikuwa unasitishwa,sasa wakati naondoka yule brother wa lile duka la simu(Sitamtaja jina lake halisi kwasababu maalumu,hivyo nitampatia jina la Ally Mpemba) akawa ameniita na mara zote nikiwa pale alikuwa akiniita "Master",alipenda kuniita kwa utani hivyo kwasababu alikuwa akiona shughuli niliyokuwa nikiifanya ndipo akawa ananiita hivyo Master,alikuwaga ananiambia "Aisee wewe nakukubali sana,wewe ni master wa hizi kazi".Kwahiyo ikaenda kimzaha mzaha hivyo hadi akawa ananiita master,jamaa alikuwa ni mpemba lakini vilevile alikuwa mwarabu,nadhani tunafahamu jamaa wanavyokuwaga.

Ally Mpemba "Mbona wawahi kufunga leo,kunani!"

Mimi "Ndiyo muda wenyewe huu kaka"

Ally mpemba "Aaah Master siyo kawaida yako!"

Mimi "Kuna ishu naiwahi maskani kaka"

Ally mpemba "Kesho nikitoka kuswali,tuonane basi!"

Mimi "Tutaonana kaka,si utakuwepo?"

Ally mwarabu "Nadhani nitakuwa kule Aggrey,hapa atakuwepo dada yako"

Mimi "Sawa kaka haina tatizo"

Sasa kumbe mara zote mimi nimekuwa nikifikiria yule Aunt ninayemkuta pale dukani anayependa kujifunika Nikabu ni mkewe kumbe alikuwa ni dada yake;baada ya mazungumzo na Ally niliondoka zangu kwenda kufukuzana na magari ya Gongo la mboto.

Namshukuru Mungu niliingia Gongo la mboto mida ya saa 1 usiku,nilipofika pale nyumbani nilikuta Steve amekaa kwenye mlango wa chumba chake,nilipitiliza moja kwa moja hadi kwa Steve.

Mimi "Vipi?"

Steve "Ali siyo poa kaka"

Niliingia ndani ya kile chumba nikakuta vitu muhimu vyote vimekombwa na yule demu wake,alichokuwa ameacha ni vyombo vya kupikia tu,lakini TV chogo,friji,jiko la gesi,mashuka na vitu vidogo vidogo vyote alikomba.

Mimi "Aiseee,sasa utafanyaje?"

Steve "Nampigia simu zangu hapokei!"

Mimi "Kwani mligombana jana?"

Steve "Tangu siku ile kaka huwezi amini sijagombana nae"

Mimi "Kwani kwao ni wapi?"

Steve "Kwao Mtwara kaka ila yupo dada yake pale Mombasa ndipo alipokuwa anakaa kabla sijamchukua"

Mimi "Dada yake ushampigia simu?"

Steve "Nimempigia akaniambia huyo hawezi kwenda sehemu nyingine zaidi ya kwa bwana ake wa zamani kwasababu hapa mjini hana ndugu mwingine tofauti na yeye"

Mimi "Kwahiyo na wewe umekubali aondoke na vyombo vyako kwenda kwa bwana ake huyo?"

Steve "Sasa kaka nitafanyaje?"

Kiukweli nilitamani kumzibua mabao ya kutosha yule jamaa kwa upumbavu alokuwa akiongea mbele yangu lakini niliamua kuwa mtulivu kwasababu mambo yao yalikuwa hayanihusu,kilichokuwa kinanikwaza ni namna Steve alikuwa akiumia lakini kila ukimuongelea huyo demu vibaya ni kama anachukia,sikujua yule jamaa alipewa nini na yule demu aisee!.

Mimi "Huyo mshikaji wake unamfahamu?"

Steve "Kama ndiye huyo dada yake aliyeniambia namfahamu kaka na mara kadhaa tu nimekuwa nikimfata hapo"

Mimi "Daaah ila wewe jamaa nae,sasa unafahamu kabisa demu wako anakusaliti halafu bado unaendelea nae kweli,hata kama ni kupenda mwanangu wewe umepitiliza"

Steve "Nisindikize kaka mi nikafate vyombo vyangu tu"

Mimi "Ni wapi?"

Steve "Ni hapo Pugu kajiungeni"

Sasa nilitoka nje kwenda kupiga strori kadhaa na yule jamaa wa dukani na kweli alisema ile Suzuki carry ilielekea uelekeo wa njia ya Pugu na jamaa pia alishangaa namna Steve alivyokuwa bwege kiasi kile.

Tuliondoka huo usiku kuelekea Pugu kajiungeni,tulipofika Steve aliamua kuniongoza hadi hapo kwenye hiyo nyumba aliyokuwa anakaa huyo jamaa ambaye alikuwa anamgonga huyo demu wake.Tulipofika Steve akaanza kugonga kile chumba ambacho kilikuwa kimefungwa kwa ndani,baada ya kugonga sana alitoka jamaa mmoja chokoraa tu akiwa kifua wazi.

Jamaa "Vipi"

Steve "Poa,Zuu yupo?"

Jamaa "Zuu?,Zuu yupi?"

Steve "Sadi hebu achana maswali ya kisenge,ina maana wewe leo humjui Zuu?"

Jamaa "Zuu wapo wengi sijui wewe unamtafuta yupi!"

Steve "Demu wangu"

Jamaa "Sasa demu wako hapa kafata nini!"

Muda huo niko pembeni nasikiliza yale malumbano nilikuwa nimechulia kishenzi,kibaya zaidi kuna majirani ambao nao walikuwa wamepanga kwenye ile nyumba walikuwa nje wakipika huku wakisikiliza na kujionea lile sekeseke.Baada ya kuona wanaigiza niliamua kusogea karibu na kumuuliza swali yule dogo.

Mimi "Wewe zuu unamjua au humjui?"

Jamaa "Brother,huyo Zuu anayemuongelea huyu ni demu wangu"

Mimi "Yupo au hayupo?"

Jamaa "Yupo!"

Mimi "Basi muite"

Jamaa baada ya kuona niko serious alifunga ule mlango akarudi ndani kisha akawa ametoka na kile kidemu.Baada ya kutoka Steve alibaki kujing'ata ng'ata hata kuongea ni kama alishindwa.Baada ya kuona jamaa haongei anabaki kushangaa ilibidi niingilie kati.

Mimi "Vitu vya jamaa viko wapi?"

Zubeda "Vitu gani?"

Mimi "Kwani wewe umechukua vitu gani?"

Zubeda "Vitu nilivyochukua ni vyangu,mmh kuna swali lingine!"

Mimi "Steve hebu pambana na demu wako mi naondoka"

Steve "Kaka usiniache"

Mimi "Kilichotuleta huku ni vitu na unasikia anasema si vyako,sasa hapa tunafanya nini?"

Steve "Zuu hivyo vitu ni vyako unauhakika?"

Zubeda "Nishasema vitu nilivyochukua ni vyangu,vyako nimekuachia nadhani umevikuta"

Steve "Naomba nichukue vitu vyangu nisije kufanya vurugu hapa"

Zubeda "Weeeee ishia hapo hapo,ina maana ulikuwa unanitomba bure!"

Aliendelea "Ina maana ulikuwa unanifira bure?"

Zubeda "Acha ujinga firauni wewe"

Aliendelea "Yaani ulidhani huu mwili niwa kushikwa bure bure tu!"

Yale maneno machafu yalipelekea wale kina mama kuanza kucheka,nilimwambia Steve tuondoke,japo jamaa alikuwa akitetemeka lakini niliamua kumuondoa lile eneo na kuondoka zetu,kiukweli kile kidemu hakikuwaga na aibu hata kidogo na nilikuwa namshangaa sana Steve anawezaje kuwaacha mademu wakali wa pale ofisini akaenda kutembea na kile kichakubimbi.

Mimi "Vitu vinanunuliwa we tuondoke!"

Steve "Kaka ila Zuu nampenda,siwezi kuondoka nikamuacha kaka ni bora nife"

Mimi "Yaani unaona bora ufe kwa ajili ya mwanamke?"

Mimi "Ok,rudi ukafe!"

Niliondoka zangu lile eneo nikamuacha jamaa akiwa amekaa chini machozi yakimtoka kama tahira.Baada ya kufika nyumbani nilipika msosi nikala kisha nikaingia chumbani kulala.


Itaendelea.........
Nmecheka kisenge[emoji1787]
 
OUT OF TOPIC:
Tumpigieni KURA UMUGHAKA aweze Kushinda kwenye Mashindano ya Jamii Forum Entertainment. Hii ndo njia ya kumlipa kwa jinsi anavotuburudisha. Mpaka sshv tumepiga kura watu 14 tu, please Lets Support him.

Kweli mkuu hili limura tulipigie kura maana sio lizinguaji kama mpwayungu village
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 09.




Mwenye duka "Mambo vipi?"

Mimi "Shwari"

Mwenye duka "Jamaa yako anahama nini!"

Mimi "Nani?"

Mwenye duka "Jamaa yako na Mmakonde wake!"

Mimi "Steve?"

Mwenye duka "Eeh!"

Mimi "Wanahama lini?"

Mwenye duka "Naona wanapakia vitu kwenye Suzuki carry"

Mimi "Mbona hajaniambia!"

Mwenye duka "Nyie si marafiki!,ina maana rafiki yako anahama wewe hujui!"

Mimi "Labda wameona waondoke kimya kimya kaka"

Mwenye duka "Sawa bhana baadae"


Baada ya huyo mwenye duka kukata simu nilibaki kushangaa kwasababu zilikuwa ni sababu zipi zinafanya Steve ahame bila kunipa taarifa kama mshikaji wake wa karibu?,nilidhani uenda aliamua kuhama kwasababu alishachoka maneno mengi kuhusu huyo mkewe yaliyokuwa yakizungumzwa hapo mtaani,niliamua kumpigia simu ili kufahamu kilichokuwa kinaendelea na kwanini asiniage kama rafiki yake?

Nilipopiga simu yake ikawa inaita tu bila kupokelewa,nikapiga tena lakini ikawa haipokelewi,baada ya dakika 15 jamaa akanipigia yeye mwenyewe.

Steve "Kaka nilikuwa bize na mteja,nambie mwanangu"

Mimi "Uko Tandika?"

Steve "Yeah niko Tandika"

Mimi "Duuu mi nadhani uko maskani!"

Steve "Mapema yote hii kaka nyumbani nitafute nini?"

Mimi "Kwani pale nyumbani unahama?"

Steve "Nahama?,nahama naenda wapi?"

Mimi "Mbona nimepigiwa simu na mzee beda anasema mkeo anapakia vyombo kwe gari hivyo alidhani mnahama!"

Steve "Unasema?"

Mimi "Mpigie mzee beda umuulize"


Baada ya mazungumzo hayo ambayo ni kama yalimshitua Steve,alikata simu akawa amempigia yule jamaa aliyekuwa na duka kando ya nyumba tulivyokuwa tumepanga.Haukupita muda Steve akawa amenipigia simu tena.


Steve "Kaka ngoja kwanza niwahi nyumbani"

Mimi "Ni kweli?"

Steve "Ni kweli kaka"

Mimi "Anapeleka wapi vyombo au anatoroka?"

Steve "Ngoja niwahi kaka!"

Jamaa alionekana kupagawa sana na asijue ni kitu gani cha kufanya,kiukweli yule demu nilishamshauri sana kama mshikaji wake aachane nae lakini jamaa nikama alikuwa amerogwa,yule demu alikuwa akimfanyia vituko vya kila aina lakini Steve alikuwa haambiliki wala ashauriki,sikuwahi kuelewa ni kitu gani kilimfanya Steve apagawe kwa kile kitoto cha kimakonde.Pasipokuelewa ni kitu gani kilikuwa kinaendelea,mimi niliendelea kupiga zangu kazi kama kawaida.

Ilipofika mida ya saa 11 jioni,Steve akawa amenipigia simu tena akiwa analia kana kwamba kafiwa.

Steve "Kaka Zubeda kaondoka"

Mimi "Acha kulia mwanangu nakuja muda siyo mrefu"

Steve "Kaka Zuu wangu wamemchukua"

Mimi "Nakuja kaka wewe nisubiri"


Jamaa alikuwa akilia kama tahira,sikujua Steve alikuwaga akisimbuliwa na kitu gani kwasababu jamaa alikuwa na sura ya kirembo(Handsome) na kiukweli ungemuona usingedhani kama alikuwa mpumbavu wa kulilia mwanamke kiasi kile.Ilipofika saa 11 : 30 niliamua kukunja ile meza pamoja na mwamvuli nikapeleka mahali ambapo nilikuwa natunzia kila siku,mwaka ule ilipokuwa ikifika saa 12 : 00 jioni na usajili pia ulikuwa unasitishwa,sasa wakati naondoka yule brother wa lile duka la simu(Sitamtaja jina lake halisi kwasababu maalumu,hivyo nitampatia jina la Ally Mpemba) akawa ameniita na mara zote nikiwa pale alikuwa akiniita "Master",alipenda kuniita kwa utani hivyo kwasababu alikuwa akiona shughuli niliyokuwa nikiifanya ndipo akawa ananiita hivyo Master,alikuwaga ananiambia "Aisee wewe nakukubali sana,wewe ni master wa hizi kazi".Kwahiyo ikaenda kimzaha mzaha hivyo hadi akawa ananiita master,jamaa alikuwa ni mpemba lakini vilevile alikuwa mwarabu,nadhani tunafahamu jamaa wanavyokuwaga.

Ally Mpemba "Mbona wawahi kufunga leo,kunani!"

Mimi "Ndiyo muda wenyewe huu kaka"

Ally mpemba "Aaah Master siyo kawaida yako!"

Mimi "Kuna ishu naiwahi maskani kaka"

Ally mpemba "Kesho nikitoka kuswali,tuonane basi!"

Mimi "Tutaonana kaka,si utakuwepo?"

Ally mwarabu "Nadhani nitakuwa kule Aggrey,hapa atakuwepo dada yako"

Mimi "Sawa kaka haina tatizo"

Sasa kumbe mara zote mimi nimekuwa nikifikiria yule Aunt ninayemkuta pale dukani anayependa kujifunika Nikabu ni mkewe kumbe alikuwa ni dada yake;baada ya mazungumzo na Ally niliondoka zangu kwenda kufukuzana na magari ya Gongo la mboto.

Namshukuru Mungu niliingia Gongo la mboto mida ya saa 1 usiku,nilipofika pale nyumbani nilikuta Steve amekaa kwenye mlango wa chumba chake,nilipitiliza moja kwa moja hadi kwa Steve.

Mimi "Vipi?"

Steve "Ali siyo poa kaka"

Niliingia ndani ya kile chumba nikakuta vitu muhimu vyote vimekombwa na yule demu wake,alichokuwa ameacha ni vyombo vya kupikia tu,lakini TV chogo,friji,jiko la gesi,mashuka na vitu vidogo vidogo vyote alikomba.

Mimi "Aiseee,sasa utafanyaje?"

Steve "Nampigia simu zangu hapokei!"

Mimi "Kwani mligombana jana?"

Steve "Tangu siku ile kaka huwezi amini sijagombana nae"

Mimi "Kwani kwao ni wapi?"

Steve "Kwao Mtwara kaka ila yupo dada yake pale Mombasa ndipo alipokuwa anakaa kabla sijamchukua"

Mimi "Dada yake ushampigia simu?"

Steve "Nimempigia akaniambia huyo hawezi kwenda sehemu nyingine zaidi ya kwa bwana ake wa zamani kwasababu hapa mjini hana ndugu mwingine tofauti na yeye"

Mimi "Kwahiyo na wewe umekubali aondoke na vyombo vyako kwenda kwa bwana ake huyo?"

Steve "Sasa kaka nitafanyaje?"

Kiukweli nilitamani kumzibua mabao ya kutosha yule jamaa kwa upumbavu alokuwa akiongea mbele yangu lakini niliamua kuwa mtulivu kwasababu mambo yao yalikuwa hayanihusu,kilichokuwa kinanikwaza ni namna Steve alikuwa akiumia lakini kila ukimuongelea huyo demu vibaya ni kama anachukia,sikujua yule jamaa alipewa nini na yule demu aisee!.

Mimi "Huyo mshikaji wake unamfahamu?"

Steve "Kama ndiye huyo dada yake aliyeniambia namfahamu kaka na mara kadhaa tu nimekuwa nikimfata hapo"

Mimi "Daaah ila wewe jamaa nae,sasa unafahamu kabisa demu wako anakusaliti halafu bado unaendelea nae kweli,hata kama ni kupenda mwanangu wewe umepitiliza"

Steve "Nisindikize kaka mi nikafate vyombo vyangu tu"

Mimi "Ni wapi?"

Steve "Ni hapo Pugu kajiungeni"

Sasa nilitoka nje kwenda kupiga strori kadhaa na yule jamaa wa dukani na kweli alisema ile Suzuki carry ilielekea uelekeo wa njia ya Pugu na jamaa pia alishangaa namna Steve alivyokuwa bwege kiasi kile.

Tuliondoka huo usiku kuelekea Pugu kajiungeni,tulipofika Steve aliamua kuniongoza hadi hapo kwenye hiyo nyumba aliyokuwa anakaa huyo jamaa ambaye alikuwa anamgonga huyo demu wake.Tulipofika Steve akaanza kugonga kile chumba ambacho kilikuwa kimefungwa kwa ndani,baada ya kugonga sana alitoka jamaa mmoja chokoraa tu akiwa kifua wazi.

Jamaa "Vipi"

Steve "Poa,Zuu yupo?"

Jamaa "Zuu?,Zuu yupi?"

Steve "Sadi hebu achana na maswali ya kisenge,ina maana wewe leo humjui Zuu?"

Jamaa "Zuu wapo wengi sijui wewe unamtafuta yupi!"

Steve "Demu wangu"

Jamaa "Sasa demu wako hapa kafata nini!"

Muda huo niko pembeni nasikiliza yale malumbano nilikuwa nimechukia kishenzi,kibaya zaidi kuna majirani ambao nao walikuwa wamepanga kwenye ile nyumba walikuwa nje wakipika huku wakisikiliza na kujionea lile sekeseke.Baada ya kuona wanaigiza niliamua kusogea karibu na kumuuliza swali yule dogo.

Mimi "Wewe zuu unamjua au humjui?"

Jamaa "Brother,huyo Zuu anayemuongelea huyu ni demu wangu"

Mimi "Yupo au hayupo?"

Jamaa "Yupo!"

Mimi "Basi muite"

Jamaa baada ya kuona niko serious alifunga ule mlango akarudi ndani kisha akawa ametoka na kile kidemu.Baada ya kutoka Steve alibaki kujing'ata ng'ata hata kuongea ni kama alishindwa.Baada ya kuona jamaa haongei anabaki kushangaa ilibidi niingilie kati.

Mimi "Vitu vya jamaa viko wapi?"

Zubeda "Vitu gani?"

Mimi "Kwani wewe umechukua vitu gani?"

Zubeda "Vitu nilivyochukua ni vyangu,mmh kuna swali lingine!"

Mimi "Steve hebu pambana na demu wako mi naondoka"

Steve "Kaka usiniache"

Mimi "Kilichotuleta huku ni vitu na unasikia anasema si vyako,sasa hapa tunafanya nini?"

Steve "Zuu hivyo vitu ni vyako unauhakika?"

Zubeda "Nishasema vitu nilivyochukua ni vyangu,vyako nimekuachia nadhani umevikuta"

Steve "Naomba nichukue vitu vyangu nisije kufanya vurugu hapa"

Zubeda "Weeeee ishia hapo hapo,ina maana ulikuwa unanitomba bure!"

Aliendelea "Ina maana ulikuwa unanifira bure?"

Zubeda "Acha ujinga firauni wewe"

Aliendelea "Yaani ulidhani huu mwili niwa kushikwa bure bure tu!"

Yale maneno machafu yalipelekea wale kina mama kuanza kucheka,nilimwambia Steve tuondoke,japo jamaa alikuwa akitetemeka lakini niliamua kumuondoa lile eneo na kuondoka zetu,kiukweli kile kidemu hakikuwaga na aibu hata kidogo na nilikuwa namshangaa sana Steve anawezaje kuwaacha mademu wakali wa pale ofisini akaenda kutembea na kile kichakubimbi.

Mimi "Vitu vinanunuliwa we tuondoke!"

Steve "Kaka ila Zuu nampenda,siwezi kuondoka nikamuacha kaka ni bora nife"

Mimi "Yaani unaona bora ufe kwa ajili ya mwanamke?"

Mimi "Ok,rudi ukafe!"

Niliondoka zangu lile eneo nikamuacha jamaa akiwa amekaa chini machozi yakimtoka kama tahira.Baada ya kufika nyumbani nilipika msosi nikala kisha nikaingia chumbani kulala.


Itaendelea.........
Naona UMUGHAKA ameamua kutubadilishia upepo baada ya ile comment iliyotaka apigiwe kura ya mtu wa hovyo sana kwa kutapeliwa kila wakati ameamua saa hii amgeuzie kibao Steve eti ndio kaibiwa vitu vya ndani, kwa matukio ya hadithi zake zote tatu inaonekana kabisa Umughaka ndio alitapeliwa vitu na demu.
 
Naona UMUGHAKA ameamua kutubadilishia upepo baada ya ile comment iliyotaka apigiwe kura ya mtu wa hovyo sana kwa kutapeliwa kila wakati ameamua saa hii amgeuzie kibao Steve eti ndio kaibiwa vitu vya ndani, kwa matukio ya hadithi zake zote tatu inaonekana kabisa Umughaka ndio alitapeliwa vitu na demu.
Punguza kiherehere mkuu
 
Naona UMUGHAKA ameamua kutubadilishia upepo baada ya ile comment iliyotaka apigiwe kura ya mtu wa hovyo sana kwa kutapeliwa kila wakati ameamua saa hii amgeuzie kibao Steve eti ndio kaibiwa vitu vya ndani, kwa matukio ya hadithi zake zote tatu inaonekana kabisa Umughaka ndio alitapeliwa vitu na demu.
Umeonaa eh alivyotapeliwa kirahisi milion 9 za dhuluma

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom