Brother ungepunguza kimasihara kwenye huu uzi ingekuwa vizuri sanaangetumia zake boda boda na dalala, angeendelea kujitombear zake Rehema.. kwa raha zake.. Kuna matajiri wengi wanaishi kiajabu ajabu kuepuka kunasa kwenye mitego..
Pesa huwa inachanganya aiseeMpaka anafikia huko kote ni kutofikiria kwake na kutokuwa na maamuzi. Mtu anaambiwa unisitiri anakubali haya bila hata kujua how atamsitiri. Fanya hiki au kile ni kukubali tuu haya.
Hata tamaa ya pesa kutanguliza mbele alizidi.
Ngoja tuone episode ijayo kama atachomoa au vipi maana hadithi zake mnachofikiria yeye anakuja kupangua inakuwa tofauti kabisa. Kama watu waliivyohisi maya kachukia master kulala na mwanamke mwingine kumbe sababu ni tofauti.
Brother ungepunguza kimasihara kwenye huu uzi ingekuwa vizuri sana
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Ni vile tu maisha haya ni siri ya mtu ila ingekuwa unapata wasaa wa kuyafahamu naamini usingemlaumu huyu ambaye Leo hii boda boda na hii ni Baada ya kutoka huko anakutusimulia! Wapo watu maisha yao ndio huko huko na wanaona aibu kutoka maana watafilisikaMpaka anafikia huko kote ni kutofikiria kwake na kutokuwa na maamuzi. Mtu anaambiwa unisitiri anakubali haya bila hata kujua how atamsitiri. Fanya hiki au kile ni kukubali tuu haya.
Hata tamaa ya pesa kutanguliza mbele alizidi.
Ngoja tuone episode ijayo kama atachomoa au vipi maana hadithi zake mnachofikiria yeye anakuja kupangua inakuwa tofauti kabisa. Kama watu waliivyohisi maya kachukia master kulala na mwanamke mwingine kumbe sababu ni tofauti.
Yatupasa kuwa makini sana, binaadamu hawaaminiki
Kuna Tajiri mmoja na mjua, starti lake ame limasta nahisi anaenda kufa na hela za mizimu labda zitakuja sambaratika akifa.. ni ku master weakness tu
Kuna Tajiri mmoja na mjua, starti lake ame limasta nahisi anaenda kufa na hela za mizimu labda zitakuja sambaratika akifa.. ni ku master weakness tu
Uwe unanitag na mm mkuuPendaelli Santos06 Mafian cartel Poker kiduku mpapaso Restless Hustler Kambi ya Fisi Doctor G Labani og leadermoe St anne mambo tayareeeeee hukuuuuu
Kwa mganga sio darasani mkuu,Hata wewe Leo ukipelekwa tu police kuhoji inakuwa ngumu sembuse kwa mgangaKitu kingine ninachojiuliza wewe UMUGHAKA kwanini huwa huulizi maswali?? Wewe kila kitu ukiambiwa ni ndio tuu. Hata kama ni kiu ya utajiri wewe lazima una shida mahali.
Hivi serious unaambiwa umekosea inabidi utoe kafara ya kuua bila hata kujua outcome yake unakubali tuu sawa??
Hata kama yule dada hukuna na attachment nae still uma shida wewe.
Huulizi maswali hutaki kujua chochote zaidi ya kupelekeshwa tuu ndio maana tunaonekanaga wajinga kwa watu wachache kama nyie. You dont think, dont reason kabisa.
Mkuu tambua kwanza kila mtu anapoamua kufanya jambo Fulani, intention yake huwa ni nzuriMpaka anafikia huko kote ni kutofikiria kwake na kutokuwa na maamuzi. Mtu anaambiwa unisitiri anakubali haya bila hata kujua how atamsitiri. Fanya hiki au kile ni kukubali tuu haya.
Hata tamaa ya pesa kutanguliza mbele alizidi.
Ngoja tuone episode ijayo kama atachomoa au vipi maana hadithi zake mnachofikiria yeye anakuja kupangua inakuwa tofauti kabisa. Kama watu waliivyohisi maya kachukia master kulala na mwanamke mwingine kumbe sababu ni tofauti.
Yes exactly na huu udhaifu wa master umeonekana kwenye story zake za nyuma pia kama ile ya mchawi wa kijijini kwao napo alionyesha udhaifu sana wa kupelekwa pelekwa tu na yule binti Monica bila kureason na kuweka misimamo.Kitu kingine ninachojiuliza wewe UMUGHAKA kwanini huwa huulizi maswali?? Wewe kila kitu ukiambiwa ni ndio tuu. Hata kama ni kiu ya utajiri wewe lazima una shida mahali.
Hivi serious unaambiwa umekosea inabidi utoe kafara ya kuua bila hata kujua outcome yake unakubali tuu sawa??
Hata kama yule dada hukuna na attachment nae still uma shida wewe.
Huulizi maswali hutaki kujua chochote zaidi ya kupelekeshwa tuu ndio maana tunaonekanaga wajinga kwa watu wachache kama nyie. You dont think, dont reason kabisa.
Kitu kingine ninachojiuliza wewe UMUGHAKA kwanini huwa huulizi maswali?? Wewe kila kitu ukiambiwa ni ndio tuu. Hata kama ni kiu ya utajiri wewe lazima una shida mahali.
Hivi serious unaambiwa umekosea inabidi utoe kafara ya kuua bila hata kujua outcome yake unakubali tuu sawa??
Hata kama yule dada hukuna na attachment nae still uma shida wewe.
Huulizi maswali hutaki kujua chochote zaidi ya kupelekeshwa tuu ndio maana tunaonekanaga wajinga kwa watu wachache kama nyie. You dont think, dont reason kabisa.
Kuna jamaa mmoja alikuwa na pesa sana.Hili ni kweli, utajiri wa masharti tumeona watu wana kwepa, kwa njia hiyo. Kuna matajiri wengi wakubwa mzee hawatumii magazine hapa mjini ? wengine hawali vizuri. kama ingekuwa ni real asingetumia gari mkenge wa rehema asinge uvaa