Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Pole sana next time ukipokea kazichome moto. Hii dunia ina mambo ya hovyo sana nakumbuka kipindi Cha nyuma 2014 kuna nyumba nilikuwa nimepanga huyo Mama mwenye nyumba kuna siku niliota ndoto anampa Chakula dogo aniletee kile Chakula nilipokea nikakiweka mezani likaanza kutoa Mende weusi wengi sana kweli kuna siku ya Idd kaniletea Chakula siku kila nilienda kuki flash chooni tu. Vya bure havina maana kabisa turidhike na kile tulichonacho

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Acha tu
 
Kitu kingine ninachojiuliza wewe UMUGHAKA kwanini huwa huulizi maswali?? Wewe kila kitu ukiambiwa ni ndio tuu. Hata kama ni kiu ya utajiri wewe lazima una shida mahali.
Hivi serious unaambiwa umekosea inabidi utoe kafara ya kuua bila hata kujua outcome yake unakubali tuu sawa??
Hata kama yule dada hukuna na attachment nae still uma shida wewe.
Huulizi maswali hutaki kujua chochote zaidi ya kupelekeshwa tuu ndio maana tunaonekanaga wajinga kwa watu wachache kama nyie. You dont think, dont reason kabisa.
Hapa hata Mimi nashangaa jambo la hatar HV halaf huulizi maswali,...
 
🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂! Umeogopaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Ukute unapanda Kumbe umekalia vitoto vichangaaaa au vichwa vya watuuu nyieee🙌🙌🙌!!
Nasemajeeee Mimi huyu🙌🏼 teeeena🙌🏼 bora nichape lapa kutoka posta hadi mapinga. Ona rehema anaenda kufa kisa mserereko. Akhaa😂
 
Back
Top Bottom