Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

@Demi
 
@wilsonwizzo3

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Shetani ni mbaya sana
 
Ndio maana matajiri wengi wenye utajiri wa kishirikina ni vigumu kusaidia watu sababu wanapitia magumu
Hii story na ukiangalia na maisha ya ndugu zetu waarabu hasa wenye Asili ya visiwani unaona ina ukweli kwa zaidi ya Asilimia 90
Kuna Masharti mengine ni kusaidia watu yaani unaambiwa kila atakaetaka msaada mpe ndio utajiri wako unaongezeka
 
Aiseee, noma sana Lucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…