Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Wanawake wa JF ni wabovu hata filter zinawakataa, waacheni tu waweke profile za kina Beyonce wapate nao watu wa kuchat nao
 
Chizi huyo bila Maarifa
 
Ukumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.


Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?
Sio Mimi sio mubaya aisee najitambua kama hawatutaki hata sisi hatuwataki Love Doctor To yeye
 
Wewe jamaa bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Uchambuzi yakinifu kabisa mkuu ✌️✌️!
 
Nimewawazia hao wadada mliokutana nao then nikawaonea huruma kama watasoma hapa watajisikiaje masikini.
 
Nimewawazia hao wadada mliokutana nao then nikawaonea huruma kama watasoma hapa watajisikiaje masikini.
Usiwaseme vibaya mkuu, hiyo ni kwa maoni yako. huyo demu unayesema anamtindi kuna mtu anaweza akamuona mzuri tu. Mfano mimi sipendi matako makubwa, sipendi demu mweupe, napenda demu mwenye umbo na rangi kama ya msanii ruby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…