Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Tena yule jamaa alisema usione zile profile picture zinavutia vile mara wanajichatisha uwaone kuwa n pisikali kumbe n sura mbovu hatari Ila wanaichukulia JF Kama sehemu ya kujifariji mana hawana sehemu ya kupata faraja zaidi ya kukutana na madomo zege ya jf na kuchatishana.

Sasa nauliza inamana Hawa madem wanaojichatisha n kweli n sura ngumu na hawana watu wakuwafariji mpaka waje humu wakutane na madomo zege a.k.a nyuki wa mashineni na kupeana faraja?
Wanawake wa JF ni wabovu hata filter zinawakataa, waacheni tu waweke profile za kina Beyonce wapate nao watu wa kuchat nao
 
Kipi kinachokusababisha uanze kuwaita watu Misukule?
Upweke unakusumbua ndugu VIKTIM nakushauri kuondoka hasira na kupaniki kusiko na sababu fanya hivi

Vuta pumzi ndefu kisha hesabu 1 mpaka 5 kisha iache pumzi polepole itoke huku unahesabu 1 mpaka 5 kwa muda wa dakika 5 utaona mabadiliko mwilini ikiwemo mapigo ya moyo kushuka

Zoezi la kupiga miayo (YAWNING) piga miayo mfululizo kwa muda wa dakika 2

Zoezi la kuvuta pumzi polepole kaa kwa utulivu vuta pumzi polepole sana kisha unaiachia pumzi itoke polepole sana

Fanya mazoezi ya viungo,tembea mara kwa mara,kunywa maji mengi,epuka pombe, punguza matumizi ya chai ya rangi au kahawa,pata usingizi wa kutosha,fanya kazi kisha pumzika.

Utakaa sawa na utakuwa na amani ya moyo.
Chizi huyo bila Maarifa
 
Ukumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.


Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?
Sio Mimi sio mubaya aisee najitambua kama hawatutaki hata sisi hatuwataki Love Doctor To yeye
 
sehemu ya 24:

Niwe muwazi baada ya kumtajia Farah jina Zahra alionekana kama kupatwa na hudhuni sana sijui kwa nini ?

Nikaamua sasa nibadilishe maelezo na kumuomba angalau anifunulie nikabu yake niuone uso wake kabla sijamueleza nilimfahamu vipi Zahra

Alifikiria kama kwa dakika mbili kisha akaniauliza,hivi master siku hizi una shida gani kichwani maana umekuwa ukiniuliza maswali ya kiajabu ajabu sana mpaka nashindwa kukuelewa au ulikuja kuzuga zuga huku kwenye kusajili line ili uichimbue vizuri familia yetu,sasa kwa mfano sasa hivi unataka uuone uso wangu ili iweje ?

Nikaamua kumjibu tu kwa mkato" kama unataka nikueleze japo kwa ufupi ni vipi nimemjua Zahra nifunulie hiyo nikabu yako niuone uso wake"

Nikapiga hatua taratibu kuiendea meza yangu ila nikamsikia Farah akiniita kwa sauti ya hudhuni "master master master" nikageuka fasta akanionesha ishara ya kurudi nikarudi fasta dukani

Farah huku akionesha kulengwa lengwa na machozi akaniambia tafadhali master nieleze japo kwa ufupi ni vipi ulimfahamu zahra, ndugu yangu wa damu aliyekufa kifo cha ajabu sana


Itaendelea......
Wewe jamaa bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Uchambuzi wa story ya UMUGHAKA mpaka tulipofikia ep 23....


Kitendo Cha umughaka kushindwa kutoa kafara ....sio yeye Bali binti alilindwa na MUNGU

That's y tunashauriwa kumkumbuka MUNGU katika maisha yetu coz sometime tunakufa vifo ambavyo sio vyetu

Tunaishi kwenye jamii ambayo Ina Kila aina ya ushirikina

References

Movie ya Rango (animation)

" Always people believe in something .....they believe that tomorrow Will be better than yesterday & today"

You control water (magic [emoji16][emoji16][emoji16] ) ......you control everything
Uchambuzi yakinifu kabisa mkuu ✌️✌️!
 
Mimi binafsi nimekutana na members wawili wa kike wa humu jf, wote wawili hawakuwa na mvuto. Mmoja alikuwa bonge mweusi ana maziwa makubwa hivi na nyuma kapigwa pasi, sikumtafakari sana maana tulikuwa tunafanya mabadilishano ya bidhaa kwa pesa. Mwingine alikuwa mfupi mweupe angalau alikua na muonekano, humu jf profile picture yake kamuweka mwanamke mrembo sana tofauti na yeye alivyo.

So kwangu kwa kutumia sample ya hao wawili nimeconclude kuwa wanawake humu wengi wao sio wazuri, labda wenzangu kama walikutana na warembo.
Nimewawazia hao wadada mliokutana nao then nikawaonea huruma kama watasoma hapa watajisikiaje masikini.
 
Nimewawazia hao wadada mliokutana nao then nikawaonea huruma kama watasoma hapa watajisikiaje masikini.
Usiwaseme vibaya mkuu, hiyo ni kwa maoni yako. huyo demu unayesema anamtindi kuna mtu anaweza akamuona mzuri tu. Mfano mimi sipendi matako makubwa, sipendi demu mweupe, napenda demu mwenye umbo na rangi kama ya msanii ruby
 
Back
Top Bottom