Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Kudadadeki nina siri zako halafu unaanza kuniletea ujeuri...

Liwalo na liwe..

Stori ni nzuri kwa kweli hongera mtunzi.
 
Msikie huyu,πŸ˜‚πŸ˜‚
katika kipindi nipo kwenye peak ya mapenzi ndiyo hichi ndiyo maana hata humu sipo nimeteqwa, likinikuta jambo narudi humu tena maana ndiyo pa kupunguzia machungu..!!
Hivi yule yule jamaa ambaye ulikuja unanililia na unataka ujitoe uhai maana mateso anayokupa ni zaidi ya mkuki wa moto moyoni ndo huyu unaemzungumzia hapa kuwa amekuteka na Penzi amelikoleza....?

Yule yule uliyesema amesababisha uwaone vidume wote ni mbwa ndio huyu aliyekufikisha KIBO ya mapenzi kiasi kwamba umepagawa...huambiliki?

Lahaulah!!!!! Pamoja na kukwambia uachane nae ndo kwanza umenigeuka?

Ngoja nishike jembe nikalime
 
Turkey ukafanye nini wewe baby zu wengine tunapenda macho tu hata hapohapo kwenye niqab sasa utakua kila siku unarud turkey, ukirekebisha shape na sura tunaanza kupenda urefu , ukirud mrefu tunaanza kupenda mashavu si utamaliza nauli
 
Usiwaseme vibaya mkuu, hiyo ni kwa maoni yako. huyo demu unayesema anamtindi kuna mtu anaweza akamuona mzuri tu. Mfano mimi sipendi matako makubwa, sipendi demu mweupe, napenda demu mwenye umbo na rangi kama ya msanii ruby
Sio mimi nimewasema vibaya mkuu, mwenyewe nimewaonea huruma incase wakapita kusoma hapa watajisikiaje. Tunakosoana uumbaji wa Mungu as if tunaweza umba.
 
Mkuu nadhani shida yako ni nyota.

Binafsi nimekuwa close sana na wadada watatu (3) kutoka JF ambao hata kesho Jf ikifungwa nitakuwa proud sana kukutana nao.

Kwanza ni warembo, afu wako smart upstairs na ni watu ambao tunaexchange ideas, tunajoke na mambo mbalimbali ya maisha.

Wawili nimekutana nao face to face nyakati tofauti and I was proud to have met them and am so sure hata wao huko wanafurahia kumfahamu Fohadi.

Point yangu ni moja. Usifanye Generalization. Pili uzuri wa kitu upo kwenye macho ya mtazamaji. Pengine we unamuona huyo dada ni flatscreen ila kuna mtu mmoja kutoka sehemu moja ya dunia anateseka kwa ajili yake.

Tatu badili mindset yako, sio LAZIMA kwenye engagement ya mwanamke na mwanamme kutokee mahusiano. Ruhusu muda mwingine kupata new friends, business partners au exposure na ujifunze vitu kupitia wao pia. Life is so sweet when you create new friends.

Kingine, huko uliko umezungukwa na pisi kibao ambazo unaziona na kuzifanyia analysis hata kabla hujaziapproach. Sasa kwanini uhangaike kubet kwa anonymous? Yaan unatafuta pisi kwa kuangalia avatar?

Tahadhari tu. Kuna wanawake humu wana miandiko ya Kiume na vice versa. Kuna ndugu yetu mmoja (Mungu amrehemu) 98% ya wana JF tulijua ni mwanamke kwa aina ya threads alizokuwa analeta humu. Na usikute ukawa mmoja wa watu mliomfata PM kumnyapia...Ila siku amefariki ndo tukajua kumbe alikuwa mwanamme.

So, sio kila unayekutana naye unataka awe mwanajamii na wewe (mjamiiane), sometimes nenda na dhamira nyingine, pata exposure afu acha mambo mengine yatokee naturally in Long run.

Hizi betting unazofanya ndio maana unaokota hao unaowaita Wabovu maana hata huku duniani kwenye Mikeka betting ni ngumu.

Nakuacha na misemo hii

1. Expectations and reality are totally different....Punguza matarajio, utapata warembo.

2. The more you need them, the more you lose. Fanya kama unaipotezea hiyo dhamira yako afu uone kama hujakutana na pisi
 
mtseeeeuuuuw' maphiiii...!!
Acha uongo uende mbinguni mdogo wangu mzuri, sijawahi kukuletea kesi yoyote ya mtoto wa mama mkwe wangu na unajua hili vyema...!!
 
[emoji4][emoji4] unataka kutuoa kilazima mkuu
 
Asipoelewa hapa hawezi kuelewa tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…