Upo nao Kila sikuMbona mi watu wa jamii forum huwa sikutani nao ...nikiwa kwenye mwendo Kasi au haice huwa nachungulia chatings siwaoni [emoji23]
Uli wa hehe none?Ekaye ndakimenya gusa!
Mbae ndamubhehela wiwachu nva iyo nyene! Igasulo!Uli wa hehe none?
Ni by coincidence nishakutana na mmoja tulikaa siti moja toka Mwanza- Dar december hii yeye alipandia Singida akashuka dodoma....basi njia nzima anaongea na simu anaongea na mpenzi wake. Ikatokea 3 days after kuna mtu akaanzisha uzi anaomba ushauri mambo yale yale alikuwa anaongea kwa simu kumuuliza kumbe ndio yeye ila pale pale sikumjua.Mbona mi watu wa jamii forum huwa sikutani nao ...nikiwa kwenye mwendo Kasi au haice huwa nachungulia chatings siwaoni [emoji23]
Kabisa siku haijaisha badoNaamini masta hajafa ! Nne kasoro hii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!
[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Kweli sema usingizi sasaaa umenijaa kama wote hapaaaπ΄!!Kabisa siku haijaisha bado
leo Bila Bila,master hajaweka episode,, nmetoka kuchungulia kule kijiweni sikuoni [emoji2]Naamini masta hajafa ! Nne kasoro hii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!
[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Mkuu kuna kijiwe kingine? Niungeni na mimi [emoji120]leo Bila Bila,master hajaweka episode,, nmetoka kuchungulia kule kijiweni sikuoni [emoji2]
Mkuu samahani kwa swali chonganishi,mwanza ulifanikiwa kurudi na ankoli??Ni by coincidence nishakutana na mmoja tulikaa siti moja toka Mwanza- Dar december hii yeye alipandia Singida akashuka dodoma....basi njia nzima anaongea na simu anaongea na mpenzi wake. Ikatokea 3 days after kuna mtu akaanzisha uzi anaomba ushauri mambo yale yale alikuwa anaongea kwa simu kumuuliza kumbe ndio yeye ila pale pale sikumjua.
Hapa akiweka ntaikuta kesho nishavimbiwa wali ndondo hapa napumulia masikio tuπππππ!leo Bila Bila,master hajaweka episode,, nmetoka kuchungulia kule kijiweni sikuoni [emoji2]
Ishi na watu vzr mkuu, mstue madam AntonniaMkuu kuna kijiwe kingine? Niungeni na mimi [emoji120]
powa nakusoma best,,,, pumzika,,, ! mm nachungulia tu na kutoka [emoji2]Hapa akiweka ntaikuta kesho nishavimbiwa wali ndondo hapa napumulia masikio tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]!
Kule juzikati kulivamiwa nikasema nipumzike parudi kwenye mstari kwanzaa !!
Pamevamiwaaaa juzi ilikua vurugumechi matusi kwakwenda mbele aiseeehhh!!powa nakusoma best,,,, pumzika,,, ! mm nachungulia tu na kutoka [emoji2]
Niliishakutana nao kadhaa, mmoja wapo ilikuwa njemba ina sura ngumu kama komando yoso lakini humu anachangia kama demu.Mbona mi watu wa jamii forum huwa sikutani nao ...nikiwa kwenye mwendo Kasi au haice huwa nachungulia chatings siwaoni [emoji23]