Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mbona mi watu wa jamii forum huwa sikutani nao ...nikiwa kwenye mwendo Kasi au haice huwa nachungulia chatings siwaoni [emoji23]
Ni by coincidence nishakutana na mmoja tulikaa siti moja toka Mwanza- Dar december hii yeye alipandia Singida akashuka dodoma....basi njia nzima anaongea na simu anaongea na mpenzi wake. Ikatokea 3 days after kuna mtu akaanzisha uzi anaomba ushauri mambo yale yale alikuwa anaongea kwa simu kumuuliza kumbe ndio yeye ila pale pale sikumjua.
 
Naamini masta hajafa ! Nne kasoro hii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!


[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
Kabisa siku haijaisha bado
 
Naamini masta hajafa ! Nne kasoro hii[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!!


[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
leo Bila Bila,master hajaweka episode,, nmetoka kuchungulia kule kijiweni sikuoni [emoji2]
 
Ni by coincidence nishakutana na mmoja tulikaa siti moja toka Mwanza- Dar december hii yeye alipandia Singida akashuka dodoma....basi njia nzima anaongea na simu anaongea na mpenzi wake. Ikatokea 3 days after kuna mtu akaanzisha uzi anaomba ushauri mambo yale yale alikuwa anaongea kwa simu kumuuliza kumbe ndio yeye ila pale pale sikumjua.
Mkuu samahani kwa swali chonganishi,mwanza ulifanikiwa kurudi na ankoli??
 
Back
Top Bottom