huku kwetu
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 146
- 195
Hahaaaaa ungekuwa mbali sana mkuuSasa tunaenda bampa to bampa lol
Nimeukazania huu Uzi kwa siku3 mpaka nimemaliza page zote zaidi ya elf5
Lait ningekua serious na maisha kama nilivokazana kwenye uzi huu[emoji23]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
Nyingi au ndogo?Maximum elfu 30 ??????
Upo serious?
Wewe hebu ingia hapo uangalie mazingira yakoje utuhabarisheYeah nimepita leo huo Mgahawa unaitwa TARIM RESTAURANT
Nitag kwenye hizo story nikiwa free niwe napitisha machoYan huwez amini bestie,nipo humu deile😂,sema kuna story flan hv za nyuma sana za SteveMollel zilinipitaga saiv ndo nashinda Nazo,humu kwa. UMUGHAKA huwa nachungulia kisha natupia macho pia kidogo kwa singanojr na kurud kule kwa SteveMollel ,ila nakushukuru kwa kunikumbuka🙏
Unataka kwenda kula chakula chenye damu za watu mkuu huogopi?Mkuu huo mtaa kuelekea sokoni pana mgahawa mmoja tu. Nyama choma pale ni zile za kupakwa rangi na ni laini sana.
Wali biriani nk vinapatikana pale. Kumbukumbu zangu nimekula pale kama mara 4.
Aisee nawahurumia sana wale wafanyakazi. Sijui nijitahidi niende kula tena pale ili niweze kuwashawisi wafanyakazi wa pale wausome uzi huu wa Umughaka huenda wakanusurika.
You have the guts, mi hata sitaki kuusogeleaNipo k.koo
Naenda kuutafuta mgahawa
NdiyoKwamba waliocheki huu uzi ni watu 1M??
Jana niliona Wapemba kibao wanakunywa juice na raia wengine waswahili walikuwa wanakula Chipsi na mishikaki. Leo nitakunywa juice pale 😂😂😂Wewe hebu ingia hapo uangalie mazingira yakoje utuhabarishe
Utafanyaje sasa nasikia hata migahawa ya njiani tukiwa safari inauza vitu vya ajabu sana. Nyama za watu na sisi tunaona Nyama ya kawaida hata vile vinywaji ni damu zile. Vyakula wanatawaza ndio wanapikia yale maji.Unataka kwenda kula chakula chenye damu za watu mkuu huogopi?
Utafanyaje sasa nasikia hata migahawa ya njiani tukiwa safari inauza vitu vya ajabu sana. Nyama za watu na sisi tunaona Nyama ya kawaida hata vile vinywaji ni damu zile. Vyakula wanatawaza ndio wanapikia yale maji.
Hata zile bites ni vinyesi vya mbuziMsosi Full Kinyesi aka M.A.V.i.
Uombepo na kazi kabisa wakutoe kafara😅😅😅Nipo k.koo
Naenda kuutafuta mgahawa
Dah [emoji38][emoji38][emoji38]Hata zile bites ni vinyesi vya mbuzi
Sasa tunaenda bampa to bampa lol
Nimeukazania huu Uzi kwa siku3 mpaka nimemaliza page zote zaidi ya elf5
Lait ningekua serious na maisha kama nilivokazana kwenye uzi huu[emoji23]
Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
pale wanauza mipande ya kuku imenona balaaa.......Huo Mgahawa nahisi kama ni ule ulokua unatazamana na Mabasi ya Tegeta zaman🤔
Na mishkaki yao inavutia balaa… ila sijui Mmiliki wa Mgahawa ni kabila gnpale wanauza mipande ya kuku imenona balaaa.......
aisee hua nikipita natamani niingie nipate mipaja ile ila rohp ilikua inasita