Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Yan huwez amini bestie,nipo humu deile😂,sema kuna story flan hv za nyuma sana za SteveMollel zilinipitaga saiv ndo nashinda Nazo,humu kwa. UMUGHAKA huwa nachungulia kisha natupia macho pia kidogo kwa singanojr na kurud kule kwa SteveMollel ,ila nakushukuru kwa kunikumbuka🙏
Nitag kwenye hizo story nikiwa free niwe napitisha macho
 
Mkuu huo mtaa kuelekea sokoni pana mgahawa mmoja tu. Nyama choma pale ni zile za kupakwa rangi na ni laini sana.
Wali biriani nk vinapatikana pale. Kumbukumbu zangu nimekula pale kama mara 4.
Aisee nawahurumia sana wale wafanyakazi. Sijui nijitahidi niende kula tena pale ili niweze kuwashawisi wafanyakazi wa pale wausome uzi huu wa Umughaka huenda wakanusurika.
Unataka kwenda kula chakula chenye damu za watu mkuu huogopi?
 
Back
Top Bottom