Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Chezea wadada wa mtwara hasa masasi ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alisagiwa limbwata la kimakonde [emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichakubimbi 😅😅😅

ili neno limenikumbusha kanda ya ziwa enzi hizo -maana yake kimalaya
 
in
Duu pole sana, lakini tukirudi nyuma kabisa UMUGHAKA, hiyo hela chanzo chake ulikopata ni pesa ya ukakasi yawezekana Mungu alitaka uwe msafi [emoji3][emoji3] kwahiyo ilirudi kwao, ila pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
una akili sana,wengi wana laumu tu,ooh utampaje mtu m9,kirahisi hivyo we mjinga,kumbe hawajui ukiua kwa upanga,na wewe utauwawa kwa upanga,maisha ni mzunguko,yale unayofanyia wengine yawe mabaya au mazuri,siku moja yatakurudia tu na nyongeza juu,hiyo ni kanuni ya maumbile ya asili ambayo Mungu ameifanya,inajiendesha yenyewe automatic,upende usipende lazima siku moja yatakurudia tu...
 
heri ya christmas mkuu karibu malinyi tumwage mpunga mvua imechanganya matrekta yakugombania n'gombe wakugombania kila mwenye kitendea kazi anaringa
 
Niliwahi kuwa team leader wa kampuni ya Airtel. Unayosimulia yote kuhusu kusajili line, footsoldier, gate meeting pamoja na kamisheni naamin kuwa haya unayosimulia ni kweli na siyo ya kutunga mzee.

Endelea kususha episodes za kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…