Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Nimekwambia screen short mahali ambapo niliandika nikasema nilimaliza form 6 mwaka 2019,Acha blah blah za kijinga.

Hivi huwa mnawezaje kuweka mabando yenu kutwa kujazana kwenye nyuzi za wanaume tena mwanaume mwenyewe wa kikurya na kuja kujichekesha chekesha?,How comes?.

Kwa bahati mbaya kutembea na mwanaume mwenzio ni Dhambi na laana vinginevyo ungeenda kuhadithia mashoga zako!
Achana nae huyo.....anakuchosha tu, ukijibizanq na mpumbavu na wewe unaonekana mpumbavu....muache abwabwaje lkn usimjibu, plz!
 
Nimekwambia screen short mahali ambapo niliandika nikasema nilimaliza form 6 mwaka 2019,Acha blah blah za kijinga.

Hivi huwa mnawezaje kuweka mabando yenu kutwa kujazana kwenye nyuzi za wanaume tena mwanaume mwenyewe wa kikurya na kuja kujichekesha chekesha?,How comes?.

Kwa bahati mbaya kutembea na mwanaume mwenzio ni Dhambi na laana vinginevyo ungeenda kuhadithia mashoga zako!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti kujichekesha
 
Jaman we km unaona ni kamba potezea tuache ss tunaoamini tufwatilie

Baby UMUGHAKA wapotezee usiwape airtime.
Tunaokufwatilia na kupenda story zako ni wengi kuliko wanaokupinga
[emoji16]
20230205_100931.jpg
 
Sasa umu hujasema kuhusu maya na farah sijui zahara alikuwa mtu mmoja?au hukujua
Maya ni ndugu wa zahara ambaye aliuliwa na Ally akamfanya msukule wake wa kumletea utajiri. Unakumbuka kipindi master anamuuliza zahara kuhusu kuwa na ndugu pacha ... ndo akajibiwa alishakufa. Alipoulizwa alimuonea wapi yeye akapotezea kwamba ni kwenye album aliyooneshwa na Ally
 
Maya ni ndugu wa zahara ambaye aliuliwa na Ally akamfanya msukule wake qa kumletea utajiri. Unakumbuka kipindi master anamuuliza zahara kuhusu kuwa na ndugu pacha ... ndo akajibiwa alishakufa. Alipoulizwa alimuonea wapi yeye akapotezea kwamba ni kwenye album aliyooneshwa ba Ally

Ahaaaa Sawa
 
Back
Top Bottom