babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Hii umenikumbusha kwa Mara ya kwanza kupanda Nissan Patrol moja ya bosi wetu Ladwa ile badae ikaibiwa na kupelekea matukio kule Moshi.kwa mara ya kwanza mwanaume kutoka Kijiji cha Mogabiri huko Ukuryani Tarime nikapanda Range,
Huyo Ladwa ni mzungu?Hii umenikumbusha kwa Mara ya kwanza kupanda Nissan Patrol moja ya bosi wetu Ladwa ile badae ikaibiwa na kupelekea matukio kule Moshi.
Nilipanda kibahati tu kuna issue ilikua tutoke ofisini kwake Nyerere road mpaka hotelini kwao O bay.
Aloo nadhani kale kasafari ilikua kama tunaenda peponi.
Ndo nilijua kwamba kuna watu wanaishi sie wasindikizaji tu.
Wahindi Ladwa construction enzi hizoHuyo Ladwa ni mzungu?
Nipo mkuu,naipiga kimya kimya,ila nawe nae unashusha mawe sana fala weππMkuu mmash Glenn ,goroko77
Mko wapi jamaa lenu ameshusha vipande vyake vipyaa vya siku kuuu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kimya kimya mkuu,ila asante kuniitaπ
Na mwandiko wako naujua vema sanaπ
Achaneni nae huyo Mwendawazimu. Ataiga ID yangu ila IQ yangu, Uchambuzi wangu na Uwasilishaji wangu wa Masuala Mtambuka hapa JamiiForums kamwe hatoweza Kuiga, Kuniiga na Kuyaiga.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Wanakuomba omba tu kiboxWana tabia mbaya
Atakua anatafuta mabeki3 anakula kimya kimya bila kuhadithia,mabeki 3 hawanaga gharama kubwa sana,ni buku 2 tu ya vochaKuna watu wana kipaji cha kusave kutimiza malengo.
Lakini we UMUGHAKA unawezaje kuishi bia demu? Zaidi ya yule Monica mchawi kule kijijini hujawahi simulia kuhusu mwanamke mwingine
Una mitego sana ππLoh basi sawaaaaa.π
Ndoto zako zinakuwaga ni za kweli siku zote?
Mseng anakula mavi halaf dem anabwatuka liveJamaa anamng'ang'ania zuu wewe unamuona bwege kumbe anazibua mtaro [emoji851][emoji851]! Funzo usiingilie mapenzi ya watu
Kwaiyo konde nae alipewa mavi na KjπKuna nguvu kubwa sana katika jicho, huyo Steve simshangai.. hata hamo hukuona alivyokuwa bwege kwa kjl
πndo maana unarusha mabomu ya nyuklia tu,unajua Mura hasusi,πππAcha ujinga ww mwana katoa maoni yake unawasiwasi Kama umughaka ata gairi kuendele ndio maana unashambulia watu
Kwa taarifa yako umughaka hasusagi hata umtukane Bado atakuja tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Na wana mbolea kali sana,ukipanda mbegu chap!Atakua anatafuta mabeki3 anakula kimya kimya bila kuhadithia,mabeki 3 hawanaga gharama kubwa sana,ni buku 2 tu ya vocha
Yani na haka kakonyagi nilopiga najikuta nacheka tu,halafu cjui hata nacheka nini mkuu,πππMkuu, "risasi" ilifyatuka tu, sikukukusudia nilicho kuambia! Sorry!
Zuu we!,jmn Zu,dah......Lucha kuna sehemu inabidi upite kwa speed ukianza kusoma, zuu amezingua
Chuma SUBARU Forester man,Nimepita hapa Gongo la mboto, nikakumbuka hii story ya UMUGHAKA na ile nyumba alipanga hapa.View attachment 2456678
Umasikini wangu mkubwa unanitosha.Kwa nini tusifungue kesi dhidi yake ili tupige hela mkuu?