Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

We unamponda sana UMUGHAKA lakini kwenye huu uzi wake umepiga kambi
 
Sema we bwn mdogo kama kweli ni docta nawahurumia sana wagonjwa wako,ila huenda ni dr wa mifugo maana haiwezekani ukawa kivuruge namna hii,kiherehere kama sijui nn kutwa kuponda muandishi na story yake lkn kila uchwao upo hapa,em jirekebishe aisee.
 
Sio kila mtu anauwezo huo na hayo madude yanachagua watu na watu..

Na wapemba wengi ndio kazi zao hizo wanatembea hadi oman huko kwenda kufanya mishe hizo za madudu hayo
Waganga wa tiba za majini wanatajirikia sana Oman. Ila sasa ukienda lazima wakujaribu kwanza kwa kukupiga JINI ili waone uwezo wako.
 
We unamponda sana UMUGHAKA lakini kwenye huu uzi wake umepiga kambi
Ndio namponda ,yeye umughaaka anajuwa alichokifanya kwenye Uzi wangu fln aliniboromoshea matus mazito Kia's kwamba siwez kuandika Happ ,hapo ndipo bifu na umughaaka ulianza na mm ingawa Ni mshabiki wake ila aliniudhi Sana [emoji38]

Ndio maana awezi kunijibu mm hapa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…