We unamponda sana UMUGHAKA lakini kwenye huu uzi wake umepiga kambiNdio shidaa yake kila sehemu lazm atoe boko ,Sasa mtu unaelekezwa funga na Kisha fungua saa fln wee unaenda kuangaika na tv na kuchungulia nyumba za watu
I'll ukimbuambia ukweli wapambe na wafuasi wake watukujia juu hatari
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu kama hawa wapo sana huu ana mdisi mtu kumbe moyoni anampendaWe unamponda sana UMUGHAKA lakini kwenye huu uzi wake umepiga kambi
☺️[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Sema we bwn mdogo kama kweli ni docta nawahurumia sana wagonjwa wako,ila huenda ni dr wa mifugo maana haiwezekani ukawa kivuruge namna hii,kiherehere kama sijui nn kutwa kuponda muandishi na story yake lkn kila uchwao upo hapa,em jirekebishe aisee.Ndio shidaa yake kila sehemu lazm atoe boko ,Sasa mtu unaelekezwa funga na Kisha fungua saa fln wee unaenda kuangaika na tv na kuchungulia nyumba za watu
I'll ukimbuambia ukweli wapambe na wafuasi wake watukujia juu hatari
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa simuamini kama atafanya hii kazi ya ally mpemba vizuri bila kuharibu.. yaani nmepoteza hadi amani hapa nilipo..
Nahisi ataharibu then Sisi wote humu jf tuonekane hatuna maana.
Usikute inapiga hadi mirungi.Majini ya Mpemba ni vegetarians, yanagonga mbogamboga tu[emoji1787][emoji1787]
Waganga wa tiba za majini wanatajirikia sana Oman. Ila sasa ukienda lazima wakujaribu kwanza kwa kukupiga JINI ili waone uwezo wako.Sio kila mtu anauwezo huo na hayo madude yanachagua watu na watu..
Na wapemba wengi ndio kazi zao hizo wanatembea hadi oman huko kwenda kufanya mishe hizo za madudu hayo
Eee kumbe sio rahisi rahisi..Waganga wa tiba za majini wanatajirikia sana Oman. Ila sasa ukienda lazima wakujaribu kwanza kwa kukupiga JINI ili waone uwezo wako.
Ndio, ukienda kichwa kichwa unarudi marehemu.Eee kumbe sio rahisi rahisi..
Sasa tuliaa mkuu nakujuwa uchizi wako [emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hayo tuliyamaliza na yule demu.....usitake kunichafua.
Ndio namponda ,yeye umughaaka anajuwa alichokifanya kwenye Uzi wangu fln aliniboromoshea matus mazito Kia's kwamba siwez kuandika Happ ,hapo ndipo bifu na umughaaka ulianza na mm ingawa Ni mshabiki wake ila aliniudhi Sana [emoji38]We unamponda sana UMUGHAKA lakini kwenye huu uzi wake umepiga kambi