Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Sema we bwn mdogo kama kweli ni docta nawahurumia sana wagonjwa wako,ila huenda ni dr wa mifugo maana haiwezekani ukawa kivuruge namna hii,kiherehere kama sijui nn kutwa kuponda muandishi na story yake lkn kila uchwao upo hapa,em jirekebishe aisee.
Hmn mkuu huyu jamaa yenu nyoko Sana mm nitadeal nae na nitakuwa mkozoaji wake Hadi mwisho

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Dah..na hayo maudenda ya hilo dubwasha ukayapiga deki[emoji21][emoji21][emoji42]

But ni nini hilo linamaliza kabichi kubwa tano na mboga za majani?
 
Ila dunian kuna watu wa KILA aina duuuh
 
Hongera sana sheikh
 
UMUGHAKA ondoa hamu ya kukiona hicho kiumbe, kitakutoa uhai
 
Jamaa haaminiki huyu kapewa maelekezo ya kufungua na kufunga chumba ashakua mwenyeji na tv anawasha anaangalia, haya kaelezwa awe analala kwenye Aud4 yeye kajiongeza anawasha na AC usiku kucha yaani kila sehemu hua lazima aharibu mambo.
Jamaa atatuletea shida sana huyu. Ni vyema azingatie maelekezo ya Mpemba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…