Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Mbona kama siwaelewi ivi

Au wewe ndiye ALLY MPEMBA[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Mshukuru Mungu una kwako. Mara nyingi wanaokaa kwa watu hawana pa kwenda. Wanalazimika tu wafanyeje sasa
 
Mbona una michezo ya hatari hvyo😳😳
 
Umughaka leo umetulisha kidogo kama misukule ya Mpemba,yaani unapewa hamsini we unatulisha elfu 20[emoji23]
 
Uncle mura UMUGHAKA umesema ulikaa kuangalia liTv la Ally Mpemba ndipo kelele zikaanza huko kwenye chumba cha misukule ambamo umesema kulikuwa na kitanda kilichotandikwa vizuri sana
vp victim habari za masiku kaka nilikuwa naomba unikumbushe ile story yako ya kaka mwarabu nimeitafuta sioni kichwa cha habar kinasemaje ili niisome tena mana niliipendaga sana kaka ntashukuru mungu akupe maisha marefu
 
Yaani ww ndoo unajipunguzia sifa kwa Wana jf maana kikawaida ya mwanadamu do jambo kama lako likishatokea unasamehe au unampa mhusika yanayokuhusu inshu inaishia hapo sasa ww kujikuta mdomo mdomo tunaanza kukutafsiri vingine ...kama inshu ndogo ilitokea huko unataka kuaminisha watu wote tukuamini ww kama VVIP mkuu Utasubiri SANA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…