baby zu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2015
- 1,816
- 4,770
Hahahaha nae unafkiri boya ndo maana siku ya kwanza kumtime alijikuta kalala mpk asubhiMimi kwa akili zangu navyo jijua huyo kiumbe hadi muda huu ningekua tayari nimeshamjua ningejificha hata nje na tochi nikiskia anakula tu nafungua mlango na kumulika