Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Yeah πKhakhakhaaa Maharage π€£π€£π€£π€£
Ni Jirani yangu. Kuna Taarifa mabaya imetufikia hivi punde kuhusu member UMUGHAKA inaumiza Sana π’π’π’uyu mwamba inabid atafutwe na jeshi la police haiwezekani akatusubirisha kiasi imi
Kafanyaje tena?Ni Jirani yangu. Kuna Taarifa mabaya imetufikia hivi punde kuhusu member UMUGHAKA inaumiza Sana [emoji22][emoji22][emoji22]
Amefika 2023 salama
Akili zako sasa ππ€£π€£π€£π€£ watu tukaanza pata mshtuko πππ!Amefika 2023 salama
π π π π ππΎAkili zako sasa ππ€£π€£π€£π€£ watu tukaanza pata mshtuko πππ!
2023 ikawe ya kheri kwake Umughaka the master!βοΈ
Yeye nadhani alishangaa kutumwa Ile 40M kwa yule dada. Wakati yule dada angeweza kumuwekea Ally mpemba direct kwa bank account Yake pia.Anaropoka na kujidai mjuaji, watu tunabeba mpaka m 100 kupeleka bank yeye anashangaa m 40! Ujuaji ukizidi unabadilika kuwa upumbavu!
Yasije kuwa kama yale ya mpwayungu village , tulisubiria mpaka leo hii 2023 toka 2022 ila wapMaster sijui amekwama Wapi asee
Asibadili gia angani tu kwakweli ! Tunamuamini Umu hawezi kutuangushaYasije kuwa kama yale ya mpwayungu village , tulisubiria mpaka leo hii 2023 toka 2022 ila wap
Msenge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa chakufanya ni kumfuata physically then nampa hela ya hesabu ya kutwa nzima siku hiyo. halafu namwambia tukae hapa unisimulie hadithi yote.[emoji23][emoji23][emoji119]
Na kwako pia mkuuHappy new year...!
Master anapiga pesa za boda jana na leo abiria ni wengiHivi master bado hajashusha episode au mi ndo nimepitwaa??
Antonio na Antonnia kwanini tusifunge ndoa na tutafute jini la kutupa pesa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!