Hili shati likishika moto huponi maana linayeyuka kama nailoniBraza nimependa shati lako.
Hebu mpokee mgeni huko[emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkorofi wewe
Nina mume pa kumlaza hapapo mkuuHebu mpokee mgeni huko[emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Nina mume pa kumlaza hapapo mkuu
kwa hiyo atakula upepo,au siyo mkuu..Huyu UMUGHAKA shida yake ndio hii. Kwani kusema leo niko safarini sitaweka chochote inam-cost nini? Au angeweka ratiba kwa mfano aseme "kila siku saa moja usiku naweka mwendelezo" kusingekuwa na manung'uniko haya ya wateja wake. Mpaka watu wanakata tamaa bhana..[emoji35]
Na wewe Tunga story yako , tuone kama itaenda viral kama ya mwambaNimekuja kuona namna mnavyohangaikia mwendelezo wa hadithi za kutunga
🤣 🤣 🤣
Pouwa bro.Mimi nilikua kwa nyuma_ uyo abiria mwenzangu.
Kuna namna ya kuondoa hilo tatizo la uogaNina shida ya uoga tu yani imekua sehemu ya maisha yangu uoga
Vipi mkuuKuna namna ya kuondoa hilo tatizo la uoga
Gabby akitoka muende mkavamie Ally mpemba mchukue pesaHello!.
Hope mko poa.
Ndugu zangu wa mkoa wa Mbeya,nimeingia usiku huu hapa Mbeya na nitakuwa hapa kwa siku kadhaa,hivyo kwa atakaye taka kuonana na mimi ani-pm ili tufahamiane.
Jumapili nategemea kwenda Gereza la Ruanda kumuona na kumsalimia Mshikaji wangu Gabriel (Gabi).Huu umekuwa utamaduni wangu kila mwanzo wa mwaka kuja kumjulia hali jamaa yangu aliyehukumiwa miaka 30.
Nawapenda sana!.
Wathubutuu ,,Atawatoa kafara!!Gabby akitoka muende mkavamie Ally mpemba mchukue pesa